Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamu, lakini unajua Madhara yake?

Wanaharakati wameanza juhudi za kutaka sekta ya chakula na viywaji kupunguza kiwango cha sukari katika bidhaa zao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Mapenzi ya mdomo sawa, lakini unajua kansa ya koo?

f79776428c810d2e492c35bf2e5b8b37MAPENZI kwa njia ya mdomo yamekuwa yakizidi kuongezeka siku hadi siku na kwa kasi kubwa hasa miongoni mwa vijana.

Mapenzi haya au kwa lugha nyingine ngono ya kinywa (oral sex) ni ile tabia ya wahusika kunyonyana ndimi na sehemu nyingine nyeti. Wengi wanaamini ni uhodari wa kisasa wakati huu wa sayansi na teknolojia.

Lakini pamoja na wengi kuitumia njia hii kukamilisha furaha yao ya mapenzi, tabia hii huchangia wahusika kupata magonjwa mbalimbali, hususan ugonjwa mbaya wa kansa ya koo.

sexKUNDI...

 

10 years ago

BBCSwahili

Picha binafsi na madhara yake

Wafanyakazi wa kitengo cha zimamoto nchini Urusi,Ilya Bykov na Rostislav Krylov waliamua kuselfika mbele ya jengo linaloteketea.

 

11 years ago

Mwananchi

Maambukizi ya chlamydia na madhara yake

Magonjwa ya zinaa yapo. mengi yanaambukizwa kwa urahisi kabisa kwa kufanya tendo la ngono.

 

9 years ago

GPL

UPUNGUFU WA MADINI YA MANGANIZI (MAGNESIUM) NA MADHARA YAKE

Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa karibu asilimia 80 ya watu duniani wanakabiliwa na upungufu wa madini aina ya manganizi (Magnesium) na ni chanzo cha matatizo mengi ya kiafya mwilini. Upungufu wa madini haya una athari nyingi mwilini ikiwemo kudhoofisha kinga ya mwili, mfumo wa usagaji chakula, shinikizo la damu, viungo vya mwili na mambo mengine. Kuna mambo mengi yanachangia tatizo hili la upungufu wa madini haya, miongoni mwa...

 

9 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya

Leo tutaona njia maarufu ambazo zipo katika matangazo mbalimbali ikiwamo magazeti, mabango ya matabibu wa kienyeji, mitandaoni pamoja na zile zilizoshindwa kukidhi vigezo vya kutumika na kuingizwa katika miongozo ya matibabu ya Shirika la Afya Duniani (WHO).

 

11 years ago

GPL

KUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE

Mwandishi Eric Shigongo WIKI ijayo siku kama ya leo Jumanne, Bunge Maalum la Katiba linatarajiwa kuketi mjini Dodoma kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba kukiwa na wasiwasi kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), hawataingia kikaoni. Ninachosema ni kwamba Ukawa kukataa kurejea katika vikao vya Bunge hilo kwa kushikilia msimamo wa kutaka ijadiliwe Rasimu ya Katiba ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Sinde...

 

5 years ago

Michuzi

TAEC:MIONZI INA FAIDA KUBWA NA SIYO MADHARA PEKE YAKE



Profesa Lazaro Busagala,Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu ya nchini (TAEC) akizungumza na washiriki wa mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano kutoka Serengeti Breweries mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.

Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia

Ajali za barabarani zimekuwa ni janga kubwa kwa taifa letu. Ajali hizi kwa muda wa hivi karibuni zimeongezeka sana na kusababisha watu kufariki dunia, kupotelewa mali, kupata majeraha, kupata ulemavu wa kudumu na watu wengi wamejikuta maskini kwa sababu ya ajali za barabarani. Wengine wanafia njiani wakihangaika kupata haki zao.

 

9 years ago

Global Publishers

Kuoa wake wanne sawa, lakini mpe mkeo haki yake!

15_forgotten_habits_of_happy_couples_01Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu wote ambao mmekuwa pamoja katika mada zangu ninazotoa kila wiki, kwa wale wagonjwa poleni sana.

Leo nimeamua kuja na mada hii kwa sababu nimepata malalamiko kutoka kwa msomaji wangu aliyeamua kunywa sumu baada ya kuona mume wake ameoa bila kumwambia na kusubiri kuambiwa na jirani yake aliyempelekea umbeya.

Hivi wanaume mnadhani ni sahihi kuoa bila kuwaandaa wake zenu? Je, dini inasemaje katika suala hili, hakika kama wewe ni muumini wa dini inayoruhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani