Picha: CNN wafanya interview na Diamond, Dar
Sio kitu kilichozoeleka kwa shirika la habari maarufu duniani CNN kumfuata msanii wa Afrika nchini mwake kwaajili ya kumhoji. Diamond akiwa na mwandishi na cameraman wa CNN CNN wametua Dar na kufanya interview na muimbaji wa Nana, Diamond Platnumz. Staa huyo ameshare picha kwenye mtandao wa Instagram na kuandika: Thanks alot @CNN it was a […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM01 May
11 years ago
Bongo507 Aug
Picha: Jokate amfanyia interview ex wake Diamond, mashabiki wadai wanaoneana aibu!
10 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Diamond na Zari the Boss Lady wafanya kweli!
10 years ago
CloudsFM01 May
Picha: Interview ya Zari na Diamond ikiendelea muda huu endelea kutuma maswali yako hapa ‪#‎PB360‬ ‪#‎ZariAllWhiteParty‬
![](http://api.ning.com/files/vlKUFPodnGWNFdGEQSuZgvf8Tkwqd5A1Of4mTXBhfSUP8ymf2PyamFlzA-B258TvGKM72y2wZGgk71n4Eu6dgYR4UUsll3Yk/zari6.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/vlKUFPodnGWoOEssREugtGocRDLAmwklCnGOKduYpPZNWCagfqAOt3lhqk8fTfWBCxyzkMV92gGpWSYlewKV*OqNhajmdK9K/zari5.jpg?width=750)
10 years ago
CloudsFM15 Aug
9 years ago
Bongo526 Dec
Sold Out: Diamond Platnumz apafunga Dar Live (Picha)
![24](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/24-300x194.jpg)
Ilikuwa ni siku ya Christmas, ni Diamond Platnumz stejini na Dar Live ndiyo uwanja wa show, unategemea nini?
Ni sold out, ukinyanyua mguu mmoja huwezi kuurudisha tena, nyomi la kufa mtu.
Well, hitmaker huyo wa Utanipenda, jana amedhihirisha kuwa ni nyumbani ndiko anakopendwa zaidi kwa kuufunga uwanja wa Dar Live uliopo Mbagala.
Ilikuwa ni show ya mtu mmoja iliyovuta maelfu ya mashabiki wa muziki kumshuhudia akiimba wimbo wake mpya Utanipenda na hits zake zingine. Hizi ni picha za show...
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Picha:Hiki Ndicho Alichokifanya Diamond Ndani ya Dar Live
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alifanya shoo baab’kubwa usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
Na hizi ni baadahi ya picha za shoo hiyo.
9 years ago
Bongo504 Dec
Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’
![12298834_430293703831416_1645961294_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298834_430293703831416_1645961294_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar
Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.
Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/RSGyd7u8wHo/default.jpg)