Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA: Kutana na Zuwena na Erick Kutoka kwenye Movie ya Girlfriend

Ni zaidi ya miaka kumi imepita toka movie ya Girlfriend kutoka, itabaki kuwa ni moja kati ya movie aliyoleta hamasa kubwa kwa wadau kuingia kwenye utengenezaji wa filamu zakibongo,leo hii tasnia ya filamu imekua na filamu kibao zimeshatoka lakini wengi wanasema kuwa movie ya Girlfriend  kwao ndio bora zaidi kwa movie za kibongo.

Wewe je unaikumbuka hii? Nani alikufurahisha zaidi?  Karibu tukumbushane

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA : Movie Mpya ya Richie..Hakika Itakuwa Kwenye Viwango vya Juu!!

Kupitia mtandaoni, mwigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini, Single Mtambalike “Richie” alitupia baadhi ya picha za kwenye movie mpya ambayo itakwenda kwa jina la “NDIO HIVYO” .

Wadau wengi wameonyesha kuisubiri kwahamu kubwa kwani picha hizi za awali zimeonyesha kuwa movie hiyo itakuwa kwenye kiwango cha juu zaidi tofauti na movie nyingi ambazo huwa hazina uhalisia hasa linapokwuja swala la kuigiza “sini”za mahakamani , gerezani na hata polisi.

Lakini hii sasa ninaonekana itakuja na...

 

9 years ago

MillardAyo

Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja

Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano. Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufuli alituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19… Wale Mawaziri na […]

The post Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Ludacris amchumbia girlfriend wake raia wa Gabon kwa ‘style’

Hatimaye rapper Ludacris amemchumbia girlfriend wake wa miaka minne, Eudoxie Fabiola Agnan. Kufanya hivyo, rapper huyo alichukua ndege binafsi hadi Costa Rica akiwa na watu wake wa karibu akiwemo binamu yake Monica na mumewe Shannon Brown. Wakati ndege hiyo ipo juu ya uwanja wa mkubwa, Eudoxie aliangalia chini na kuona maneno: Eudoxie, Will You Marry […]

 

10 years ago

Bongo5

Tazama picha ambazo hujaziona kutoka kwenye show ya Diamond, Rwanda

Diamond Platnumz amefanikiwa kupiga show ya kufa mtu jijini Kigali katika siku ya mwaka mpya, January 1. Diamond alitumbuiza na live band na alipewa support na muimbaji wa Yamoto Band, Aslay. Kwenye show hiyo, Diamond alisindikizwa na wasanii wakubwa wa huko wakiwemo King James, Urban Boyz, Jay Polly na Knowles. Hizi ni picha za show […]

 

9 years ago

MillardAyo

Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar…..

Headlines za bomoabomoa zimeendelea tena leo Dec 18 ambapo zoezi hilo limeendela kwenye wilaya ya Kinondoni na kubomoa nyumba za wakazi waliokuwa wakiishi maeneo hatarishi hasa bonde la Msimbazi lililopo Kinondoni Hizi ni picha 20 za tukio zima la ubomoaji linaloendelea muda huu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar….. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani