PICHA: Kutana na Zuwena na Erick Kutoka kwenye Movie ya Girlfriend
Ni zaidi ya miaka kumi imepita toka movie ya Girlfriend kutoka, itabaki kuwa ni moja kati ya movie aliyoleta hamasa kubwa kwa wadau kuingia kwenye utengenezaji wa filamu zakibongo,leo hii tasnia ya filamu imekua na filamu kibao zimeshatoka lakini wengi wanasema kuwa movie ya Girlfriend kwao ndio bora zaidi kwa movie za kibongo.
Wewe je unaikumbuka hii? Nani alikufurahisha zaidi? Karibu tukumbushane
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies27 Jan
PICHA : Movie Mpya ya Richie..Hakika Itakuwa Kwenye Viwango vya Juu!!
Kupitia mtandaoni, mwigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini, Single Mtambalike “Richie” alitupia baadhi ya picha za kwenye movie mpya ambayo itakwenda kwa jina la “NDIO HIVYO” .
Wadau wengi wameonyesha kuisubiri kwahamu kubwa kwani picha hizi za awali zimeonyesha kuwa movie hiyo itakuwa kwenye kiwango cha juu zaidi tofauti na movie nyingi ambazo huwa hazina uhalisia hasa linapokwuja swala la kuigiza “sini”za mahakamani , gerezani na hata polisi.
Lakini hii sasa ninaonekana itakuja na...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja
Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano. Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufuli alituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19… Wale Mawaziri na […]
The post Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/W1CmzZqM2D8/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/RkIAOKyR5HU/default.jpg)
10 years ago
Bongo528 Dec
Picha: Ludacris amchumbia girlfriend wake raia wa Gabon kwa ‘style’
10 years ago
Bongo502 Jan
Tazama picha ambazo hujaziona kutoka kwenye show ya Diamond, Rwanda
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar…..
Headlines za bomoabomoa zimeendelea tena leo Dec 18 ambapo zoezi hilo limeendela kwenye wilaya ya Kinondoni na kubomoa nyumba za wakazi waliokuwa wakiishi maeneo hatarishi hasa bonde la Msimbazi lililopo Kinondoni Hizi ni picha 20 za tukio zima la ubomoaji linaloendelea muda huu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar….. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rDB3iD7BXsM/default.jpg)