Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Nani Alisema Wazazi Hawana Mvuto?-Kajala

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies anaesifika kuwa figa matata ya kiafrika, Kajala Masanja ‘Kay’ amebandika picha akiwa katika pozi matata (Hiyo hapo juu) na kuachia swali  ambalo bila shaka jibu lake lipo wazi wazi.

Kajala ambae ni mama wa mtoto mmoja ameuliza “Who said moms can't be SEXY???...”

Bila shaka wewe mwenyewe umejionea hapo juu,  hebu mpe majibu.

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

NANI MBUNGE MREMBO MWENYE MVUTO 2014?

Urembo na mvuto kwenye macho ya binadamu huwezi kuvitenganisha. Wakati kule mjengoni Dodoma wakiendelea kupika bajeti ya serikali ya mwaka 2014/15, Over the Weekend tunakuletea Shindano la Nani Mbungwe Mrembo mwenye mvuto 2014? Ukiwa shabiki namba moja wa safu hii unapata nafasi ya kutuma jina au majina ya wabunge wanaostahili kuingia kwenye kinyang’anyiro hiki. Andika jina la mbunge husika kisha tuma kwenda namba 0713 750...

 

10 years ago

Bongo Movies

Eti Chuchu Hancy Wa Ray Hutupia Picha Za Mvuto Zaidi Mitandaoni!!!

Mitandao ya kijamii  imekua  ni sehemu muhimu sana kwa watu mashuhuri na hasa kwenye upande wa  burudani ,kuwafikia mashabiki na wapenzi wao kwa wingi zaidi ambao kwakiasi kikubwa ndio wanaowafanya wang’are . Kama ilivyo kwa kila mtu huko mitandaoni, mastaa anao wana  uhuru wakuweka kile anachoona kinafaa kwake na kwa mashabiki wake.

Vile vile mashabiki wao wanaweza kuwa na maoni au mawazo mbalimbali juu ya mastaa wao. Leo tumekutana na shabiki  na mpenzi wa filamu za hapa TZ na vilevile ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Kajala Akipata Matibabu Hospitali

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, muongozaji wa filamu maarufu Lamata ambaye ni rafiki wa karibu wa staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja ameweka picha hii  ya ikimuonyesha Kajala akiwa hospital amelala kwenye kitanda maalumu tayari kuingizwa kwenye kifaa cha kitabibu zaidi.

Kwenye picha hiyo Lamata alimpa pole Kakala  na kumpa matumaini kwa kuandika;

‘Pole @new_kajala utapona mungu yupo nawe siku zote za maisha yako’

Bongomovies.com haijathibitisha kama ni kweli au ni maigizo.

Kama ni...

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Kajala Akijiachia na Dada Yake Diamond!

HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza.

Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona ambapo pia kuna fununu kuwa hata familia ya Diamond imebariki uhusiano wake na Mbongo Fleva huyo na wanampa ushirikiano wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

JE Kajala Ame-Break The Internet Kwa Picha Hizi?!!!

Leo ikiwa ni siku ya mapumziko, tusherekea miaka 53 ya uhuru wa Tanganyika ambayo iliungana na Zanzibar na sasa inaitwa Tanzania, akionekana mwenye furaha kwa tabasamu na pozi mbalimbali maeneo ya ufukweni , Kajala Masanja  ambae ni muigizaji na mkurugenzi wa K entertainments, aliziweka picha zake hizi mtandaoni na kuandika “Wee unaniona hapa me najiona mbaaaaali” akiashilia kuwa mwenye furaha na amani tele.

Kilichofanya nizilete hapa ni likes na  comments za  ‘Followers’ wake ambao kwa kwa...

 

11 years ago

Bongo Movies

PICHA: Lunch party ya birthday ya kajala ilivyokuwa leo mchana

Tazama picha za lunch ya mwanadada Kajala ilivyokuwa leo kwenye birthday yake.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Filamu ya ‘Mbwa Mwitu’ ya Kajala yazinduliwa Mlimani City

Msanii wa filamu nchini, Kajala Masanja jana amefanikiwa kuzindua filamu yake mpya ‘Mbwa Mwitu’ ndani ya ukumbi wa sinema wa Mlimani City jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali wa filamu pamoja na wanamuziki. Kajala akizungumza na waandishi wa habari Akizungumza na Bongo5 kwenye uzinduzi huo, Kajala amesema filamu hiyo ni maalum kwaajili […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Kajala Awatolea Uvivu Waliozikosoa Picha Zake, Eti Hazina Maadili

Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la Kiafrika zaidi, Kajala Masanja aliamua kuwatolea uvivu baadhi ya mashabiki wachache ambao walikuwa wakimshabulia kwa –comments kuwa picha hizi alizoziweka mtandaoni akiwa ufukweni, hazina maadili kwasababu amevaa nguo ambazo zinaonyesha sehemu kubwa ya mwili wake.

Baada ya mjadala wa picha zake kupamba moto huku wengine wakiona zipo sawa na wachache wakisema kuwa hazina maadili, Kajala aliingilia kati na kufafanua kuwa picha hizo alipiga wakati akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani