Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Siku Mashetani Yangu Yakinipanda Nitawambia Kitu-Kitale

Hii ni moja ya picha iliyosabisha mafuriko ya COMMENTS na LIKES  mtandaoni. Hawa ni mastaa wa hapa Bongo, Kitale ‘mkudesimba’ na Vj Penny.

Kitale alibandika picha hii kwenye ukurasa wake na kuiandikia “Kuna siku mashetani yng yakinikalia vibaya nitawambia kitu” kisha kum- tag penny na kumalizia naneno haya….UfundiPelekaVeta ….MapenziAuPesa.

Mashbiki wengi walishusha komenti za kumtaka Kitale awambie hicho kitu, huku wengine wasimshauri achukue mrembo penny kwani watatengeneza bonge la...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Kitale Ft. Mide Zo & Stanbakora – Kitu Kidogo

Mchekeshaji Kitale ambaye pia ni msanii wa bongo Fleva amechaia wimbo mpya unaitwa “Kitu Kidogo” amewashirikisha Midezo na Stanbakora. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU

Stori: Imelda Mtema
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio. Video Queen ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Batuli Amshukia Kitale Kwa Kuvujisha Picha Hizi Mtandaoni

Staa wa mrembo wa Bongo Movie, Batuli ameonyesha kuchukizwa kwake kwa kitendo cha staa mwenzake, Kitale kuvujisha picha hizi  akiwa faragha na mwigizaji chipukizi, Stanbakora ikiwa ni kati ya moja ya kipande cha kazi yao mpya, kwa madai kuwa anaipa ‘promo’.

Kupitia ukurasa wake mtandao Batuli ameeleza kuwa Kitale alimpa picha hizo Mateja ambaye ndiye aliezisambaza kwenye mtandao wa Instagram.

“Kwanza mniwie radhi Watanzania mnachokiona na kinachoelezewa ni vitu viwili tofauti mwenye akili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha za Stan Bakora Akibanjuka Garini Zaleta Balaa, Kitale Aingilia Kati!

Picha za Msanii wa vichekesho anaeibukia, Stan Bakora akiwa anabanjuka na mwanamke ndani ya gari zimesambaa kwa kasi mtandaoni  na kupelekea msanii mwenzake, Kitale “Mkude Simba”  ambaye ndiye aliemtoa kisanii kuingilia kati na kumshukia Mateja Musa ambaye anadaiwa kuziweka picha hizo mtandaoni.

“@matejamusa wewe ni Ndugu yangu lakini leo umenikosea kwa ulichokiandika kwenye acount yko ya insta kuhusu @stanbakora umenikosea plz! naomba ufute zile picha haraka nakupigia cm yng upokei sio poa...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)

Kuvuja kwa mkanda wake wa ngono hakujamzuia Zari ‘the Bosslady’ Tlale kufurahia muda bora na wanae wakati huu wa likizo za sikukuu za Christmass. Zari mwenye watoto watatu, ameonesha kutoyumbishwa na kusambaa kwa mkanda huo na leo amepost picha akiwa na wanae wakifurahia chakula pamoja. “Current situation…… school is closed most offices are closed, time […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: TBT Yangu Enzi Zamchipukio Wangu-Wolper

Haya jamani hii ni tbt yangu mwenyewe, nimejiweka mwenyewe, sitak tbt za uwongo za edtng sasa hii ni tbt yangu enzi zamchipukio wangu mwenyewe na unywele wangu nakale kamwili pale kati hips vip jamani Mungu bwana kumbe ukinyimwa tako hips unapewa ukinyiwa hips tako unapewa ukinyimwa guu, rangi yamtume ambayo aina 360 unapewa. haya jacq wolper masawe na hips zake, mdoli wake na visindano vyake pale kati ingawa paka leo vpo vile vile kasoro ubonge tuu. anawambia hellow fansii i love instagram...

 

5 years ago

BBCSwahili

Gaurav Agrawal : 'Jinsi picha yangu ilivyoharibu simu za Android'

Gaurav Agrawal anasema kuwa ilikuwa jioni moja alipoipiga picha mandhari nzuri lakini hakudhamiria kusababisha madhara kwa watumiaji.

 

10 years ago

GPL

BI HARUSI APANDISHA MASHETANI KANISANI!

Chande Abdallah na Deogratius Mongela Mshtuko! Bi harusi Agnes Omari (26) amezua kizaazaa baada ya kudaiwa kupandisha mashetani kanisani wakati akivishwa pete ya ndoa, hali iliyosababisha tendo la kufungishwa ndoa kusimama kwa muda kwa ajili ya kutafuta msaada wa maombi. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1N3uS9D

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani