Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA ZINGINESHEILA MGAZA AKAMATA NONDOZ

 Sheila Mgaza akiwa katika picha ya pamoja na ndugu jamaa siku ya kukamata nondo chuo kikuu cha Maryland May 16, 2015. Familia ya Sheila ikinunua maua ya pongezi watakayomzawadia baada ya kukamata nondo ya MBA Sheila akipongezwa na mmoja ya wanafamilia, Sheila akiwa katika picha ya pamoja na familia yake.Picha zote na Tito MazaliPicha zaidi bofya soma zaidi
 Wanafamilia wakimpongeza Sheila kwa kumzwadia maua. Familia ikifurahi na Sheila Mama na mwana katika picha ya pamoja Ndugu wakifurahia...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

STANLEY KICHAI AKAMATA NONDOZ

Stanley Kichai mkaazi wa DMV akiwa amekamata Nondo kama anavyoonekana kwenye picha

 

10 years ago

Vijimambo

DOREEN PAMBE AKAMATA NONDOZ YA SHERIA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO

\Doreen Pambe katika pozi siku ya Ijumaa Desemba 5, 2014 siku alipokamata Nondo ya sheria (LLB) Chuo kikuu cha Mzumbe kilichopo Morogoro.Doreen Pambe katika picha ya pamoja na baba yake mzee Pambe siku alipokamata Nondo ya Sheria kutoka chuo kikuu cha Mzumbe kilichopo Morogoro.Doreen Pambe katika picha na mama na baba.Doreen Pambe akipata picha ya upendeleo baada ya kukamata nondo ya sheria kutoka chuo kikuu cha Mzumbe kilichopo Morogoro.Doreen Pambe akiwa na wahitimu wenzake katika picha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

JOSEPHINE MGAZA AGOMBEA VITI MAALUM TANGA

Mgombe ubunge viti maalumu mkoa wa  Tanga. Wanawake ni nguzo ya maendeleo.

DHAMIRA YANGU
1. Kuwaunganisha wanawake wote Wa mkoa Wa tanga
2. Kujenga jumuiya imara ya UWT. 3. Kusaidia na kuboresha maisha ya wanawake Wa makundi         mbalimbali
4. Kuwa mtetezi na mwakilishi Wa wanawake katika masuala ya kijamii na kiuchumi.
5. Kusaidia uanzishwaji Wa miradi ya kiuchumi ili kupambana na umasikini.
6. Nitakuwa mtumishi wenu  na sio kiongozi. Nichague Mimi nikawatumikie kwa manufaa ya wanawake...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais amteua Mgaza Balozi Saudi Arabia

Rais Jakaya Kikwete amemteua Hemed Iddi Mgaza kuwa Balozi wa Tanzania Saudi Arabia.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amteua Mgaza kuwa Balozi Saudi Arabia

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue jana imesema uteuzi huo ulianza Machi 27.Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amemteua Hemed Iddi Mgaza kuwa Balozi wa Tanzania Saudi Arabia. Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue jana imesema uteuzi huo ulianza Machi 27.Kabla ya uteuzi huo, Mgaza alikuwa Ofisa Mambo ya Nje Mkuu, Daraja la Pili na Mkuu wa Utawala katika Ubalozi wa Tanzania Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).  ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Denzel Deogratius Rweyunga alamba Nondoz ya darasa saba St. Florence Academy

Mwanafunzi Denzel Deogratius Rweyunga akipokea cheti chake kutoka kwa mgeni rasmi, Dr Selina Mathias wakati wa mahafali ya kumaliza darasa la saba yaliyofanyika jana St. Florence Academy Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Denzel Deogratius Rweyunga akiondoka jukwaa kuu kwa furaha baada ya kutunukiwa cheti cha kuhitimu darasa la saba na mgeni rasmi, Dr Selina Mathias (katikati). Kulia mwenye miwani ni mmiliki wa shule hiyo, mama Asey na mwenye suti ni mwalimu mkuu, Wilson Kakanga.

Picha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE

 Kijana Datius akiwa katika Picha ya Pamoja na Baba yake Mzazi (nyuma ya babu yake aliyevaa miwani) Babu zake na dada zake wakati alipotunukiwa nondo yake ya elimu kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha DUCE hapo jana Datius Akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake Mzazi (Kushoto) pamoja na Babu yake mdogo (kulia) Akivishwa taji na Dada yake aitwaye NeemaAkiwa na Dada mara baada ya kulamba nondoz.Picha Zote na Josephat Lukaza wa http://www.josephatlukaza.com

 

10 years ago

Vijimambo

ANNA MAKOYE AKAMATA NONDOOZ

 Anna Makoye akiwa na mumewe bwana Dotto Mallongo wakipata picha ya pamoja mara baada ya mahafali ya 10 ya chuo kikuu cha kimataifa cha Virginia(Virginia international University) kilichopo Fairfax siku ya Jumapili May 10, 2015. Anna Makoye amekamata Nondo ya Masters of Business Administration in human resources. Kutoka kushoto ni dada raia wa Nigeria, professor Victoria Ashiru, Anna Makoye na Dotto Mallongo, wakiwa katika picha ya pamoja katika mahafali ya 10 ya Virginia international...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE

 Kijana Datius akiwa katika Picha ya Pamoja na Baba yake Mzazi (nyuma ya babu yake aliyevaa miwani) Babu zake na dada zake wakati alipotunukiwa nondo yake ya elimu kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha DUCE hapo jana Datius Akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake Mzazi (Kushoto) pamoja na Babu yake mdogo (kulia) Akivishwa taji na Dada yake aitwaye NeemaAkiwa na Dada mara baada ya kulamba nondoz.Picha Zote na Josephat Lukaza wa http://www.josephatlukaza.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani