Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STANLEY KICHAI AKAMATA NONDOZ

Stanley Kichai mkaazi wa DMV akiwa amekamata Nondo kama anavyoonekana kwenye picha

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINESHEILA MGAZA AKAMATA NONDOZ

 Sheila Mgaza akiwa katika picha ya pamoja na ndugu jamaa siku ya kukamata nondo chuo kikuu cha Maryland May 16, 2015. Familia ya Sheila ikinunua maua ya pongezi watakayomzawadia baada ya kukamata nondo ya MBA Sheila akipongezwa na mmoja ya wanafamilia, Sheila akiwa katika picha ya pamoja na familia yake.Picha zote na Tito MazaliPicha zaidi bofya soma zaidi
 Wanafamilia wakimpongeza Sheila kwa kumzwadia maua. Familia ikifurahi na Sheila Mama na mwana katika picha ya pamoja Ndugu wakifurahia...

 

10 years ago

Vijimambo

DOREEN PAMBE AKAMATA NONDOZ YA SHERIA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO

\Doreen Pambe katika pozi siku ya Ijumaa Desemba 5, 2014 siku alipokamata Nondo ya sheria (LLB) Chuo kikuu cha Mzumbe kilichopo Morogoro.Doreen Pambe katika picha ya pamoja na baba yake mzee Pambe siku alipokamata Nondo ya Sheria kutoka chuo kikuu cha Mzumbe kilichopo Morogoro.Doreen Pambe katika picha na mama na baba.Doreen Pambe akipata picha ya upendeleo baada ya kukamata nondo ya sheria kutoka chuo kikuu cha Mzumbe kilichopo Morogoro.Doreen Pambe akiwa na wahitimu wenzake katika picha ya...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Dr. Livingstone Meets Stanley


Dr. Livingstone Meets Stanley
AllAfrica.com
About 7 kms from Kigoma town, is the oldest town in western Tanzania, Ujiji that houses a cultural educational backdrop. Stretching for nearly one kilometer in Ujiji, is a 'stone' paved road named after Dr. David Livingstone. The street leads to the Dr.

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA STANLEY MABESI 'NINJA' AMFAGILIA KOCHA SUPER D


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa katika picha na pamoja na bondia wa zamani Stanley Mabesi 'Ninja' wa pili kushoto ambaye kwa sasa anaishi nchini Holland mji wa amsterdam wengine ni mashabiki wa mchezo wa masumbwi Picha na SUPER D BOXING NEWSKocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwa pamoja na bondia wa zamani Stanley Mabesi 'Ninja' ambaye kwa sasa anaishi nchini Holland mji wa amsterdam Picha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Magali, Peter Luse Na Stanley Msungu Wazindua Filamu ya Dini

Waigizaji wa filamu, Peter Luse, Mzee Magali na Stanley Msungu wamezindua filamu  ya kidini  inayotambulika kwa jina la Behind The Pastors.

Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Princess Hall, Sinza-Mapambano, jijini Dar,  ambapo mtunzi wa filamu hiyo alisema madhumuni ya kuandaa filamu hiyo ni kubainisha changamoto wanazokutana nazo watumishi wa Mungu kama visa, ugomvi wa madhabahuni na ushirikina.

GPL

 

9 years ago

Dewji Blog

Denzel Deogratius Rweyunga alamba Nondoz ya darasa saba St. Florence Academy

Mwanafunzi Denzel Deogratius Rweyunga akipokea cheti chake kutoka kwa mgeni rasmi, Dr Selina Mathias wakati wa mahafali ya kumaliza darasa la saba yaliyofanyika jana St. Florence Academy Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Denzel Deogratius Rweyunga akiondoka jukwaa kuu kwa furaha baada ya kutunukiwa cheti cha kuhitimu darasa la saba na mgeni rasmi, Dr Selina Mathias (katikati). Kulia mwenye miwani ni mmiliki wa shule hiyo, mama Asey na mwenye suti ni mwalimu mkuu, Wilson Kakanga.

Picha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE

 Kijana Datius akiwa katika Picha ya Pamoja na Baba yake Mzazi (nyuma ya babu yake aliyevaa miwani) Babu zake na dada zake wakati alipotunukiwa nondo yake ya elimu kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha DUCE hapo jana Datius Akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake Mzazi (Kushoto) pamoja na Babu yake mdogo (kulia) Akivishwa taji na Dada yake aitwaye NeemaAkiwa na Dada mara baada ya kulamba nondoz.Picha Zote na Josephat Lukaza wa http://www.josephatlukaza.com

 

10 years ago

Vijimambo

ANNA MAKOYE AKAMATA NONDOOZ

 Anna Makoye akiwa na mumewe bwana Dotto Mallongo wakipata picha ya pamoja mara baada ya mahafali ya 10 ya chuo kikuu cha kimataifa cha Virginia(Virginia international University) kilichopo Fairfax siku ya Jumapili May 10, 2015. Anna Makoye amekamata Nondo ya Masters of Business Administration in human resources. Kutoka kushoto ni dada raia wa Nigeria, professor Victoria Ashiru, Anna Makoye na Dotto Mallongo, wakiwa katika picha ya pamoja katika mahafali ya 10 ya Virginia international...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE

 Kijana Datius akiwa katika Picha ya Pamoja na Baba yake Mzazi (nyuma ya babu yake aliyevaa miwani) Babu zake na dada zake wakati alipotunukiwa nondo yake ya elimu kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha DUCE hapo jana Datius Akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake Mzazi (Kushoto) pamoja na Babu yake mdogo (kulia) Akivishwa taji na Dada yake aitwaye NeemaAkiwa na Dada mara baada ya kulamba nondoz.Picha Zote na Josephat Lukaza wa http://www.josephatlukaza.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani