Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha:Shoo ya Diamond Bujumbura Burundi yafana

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Shoo ya Diamond Kwenye Born2Win Concert Nchini Uganda

Usiku wa jana msanii Diamond Platinum alitumbuiza kwenye tamsasha kubwa ‘Born 2 Win Concert’ jijIni Kampala, Uganda.
Mbali na Diamond msanii Patoranking naye alitumbuiza kwenye tamasha hilo.

Hizi ni baadhi ya picha za Diamond akitumbuiza kwenye tamasha hilo.

DIAMOND13

Diamond1341 DIAMOND134 DIAMOND288 DIAMOND186

 

 

10 years ago

GPL

SHOO YA USIKU WA ISHI KISTAA YAFANA DAR

Baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva, Rich Mavoko (wa kwanza kutoka kushoto), Linah,Barnaba, Joh Makini wakiwa kwenye pozi na mmoja wa mashabiki wao ndani ya Ukumbi wa Escape One katika shoo ya Usiku wa Ishi Kistaa iliyofanyika usiku wa kuamkia leo. Msanii wa Hip Hop, Izzo Business akisaini kwenye moja ya bango la shoo hiyo muda mfupi baada ya kuwasili mahali hapo.… ...

 

10 years ago

GPL

MAANDAMANO YAIBUKA UPYA MJINI BUJUMBURA, BURUNDI

Waandamanaji mjini Bujumbura wakikimbia hovyo baada ya kurushiwa risasi za moto na polisi.
Waandamanaji wakionesha msimamo wao wa kumtaka Rais Pierre Nkurunziza kutogombea tena nafasi hiyo muhula ujao.
Jeshi la Polishi na wanajeshi…

 

10 years ago

GPL

MAREKANI YAFUNGA UBALOZI WAKE MJINI BUJUMBURA-BURUNDI

Jengo la ubalozi wa Marekani nchini Burundi lililopo mjini Bujumbura. Ubalozi wa malekani nchini Burundi. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff Rathke. Serikali ya Marekani kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imetangaza kufunga ubalozi wake wa mjini Bujumbura,…

 

10 years ago

GPL

POLISI WAWILI WAUAWA KWA GURUNETI BUJUMBURA, BURUNDI

Taswira za machafuko nchini Burundi wakati wa maandamano ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea tena katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi wawili wameuawa katika machafuko yanayoendelea nchini Burundi katika mwendelezo wa maandamano ya wapinzani ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi ya Burundi imetangaza...

 

10 years ago

GPL

BASI LACHOMWA MOTO NA WAANDAMANAJI MJINI BUJUMBURA, BURUNDI

Vurugu za kuchoma moto vitu mbalimbali zikiendelea. Waandamanaji wakiendeleza maandamano mjini Bujumbura. Magurudumu yakichomwa moto, barabara ikiwa imefungwa na waandamanaji. Bujumbura,…

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond akacha shoo ya zari

hhjNasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

MUSA MATEJA

Habari ya mjini! Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amezua utata kwa mashabiki wake baada ya kukacha kuzama kwenye pati iliyokuwa imeandaliwa na mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Guvnor jijini Kampala, Uganda ambapo wawili hao walikwenda pamoja kwa lengo la kushirikiana kwenye makamuzi ya shoo ya pati hiyo iliyokwenda kwa jina la Zari All White Ciroc Party.

12298790_913147808763757_2141814560_n

Wageni...

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha 5 za Shoo ya Funga Mwaka ya king Kiba Machakos, Kenya

Usiku wa kuamkia leo, mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba aka Balozi wa wanyama alifanya shoo kubwa ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016 mjini machakos nchni Kenya.

Akiwa na wacheza shoo wake, 4real Dancers  balozi king Kiba alifanya shoo kali ya kihistoria jionee

KIBA543 KIBA32 ALI KIBA33 KIBA5661 KIBA566 ALI KIBA65

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani