Piga simu kupitia Whatsapp?
Baada ya Facebook kununua Whatsapp kwa bilioni 19 dola za kimarekani, sasa huduma hiyo itaanzisha huduma ya kupiga simu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Piga mswaki, piga deki, piga amani
Mimi sipendi barua ya vitisho, hata kidogo. Na sipendi zaidi iwapo mtishaji hana hata uthubutu wa kutaja yeye ni nani. Ndiyo maana nilikasirika kupata barua jana. Sijui ilitoka kwa nani, lakini bila shaka mtaweza kuhisi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvPy8hjJCNdjd8IskEyD5EdyPe8Nm-hIAPBUaQajYvBfhSWUy9wrtfGjZCd1OOxYXr287KReZK4FqclrW8GxM4Ah/GlobalWatsApp.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo526 Dec
Muda si mrefu utaanza kupiga na kupokea simu kwa WhatsApp!
WhatsApp inajipanga kuongeza upigaji na upokeaji simu (voice calls) kwenye app yake kwa mara ya kwanza. Watumiaji wa app hiyo wataweza kupiga simu kwa watu walionao kwenye contacts vile vile kama wanavyoweza kuwatumia ujumbe. Mtandao wa Uholanzi, AndroidWorld umeweka screenshots za majaribio ya huduma hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0vXUJAVN6GleWEWSiheF8Etnb-kOVq0aF1RoSCrDPe36guK5byUUonaoee2sXzQE4cJwSIGaSISbiShyliFwKS/Pic1.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA WHATSAPP, FACEBOOK NA TWITTER BURE KUPITIA VIFURUSHI VYA YATOSHA
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayoongoza kwa kutoa huduma bora imezindua huduma ya kibunifu itakayowawezesha wateja wake kupata na kuunganishwa kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook, Whatsapp na twitter BURE kupitia huduma ya Airtel yatosha. Akiongelea kuhusu huduma hiyo Mkuu wa kitengo cha mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya alisema†sasa ni bure kabisa kwa wateja wetu wote wa Airtel kuunganishwa na...
11 years ago
Dewji Blog01 May
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Gyl25AtTU0E/U2Jku4i0ItI/AAAAAAAANss/_ODM5Bz_hKU/s1600/diamondFlyer55.png)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9bir_jqGd8Y/default.jpg)
BUNGENI LEO KUPITIA SIMU TV
SIMUtv: Naibu waziri wa mambo ya ndani Mh.Silima akijibu swali juu ya hali ya ugaidi hapa nchini licha ya kifo cha kiongozi wa kundi la kigaidi Osama bin Ladden https://youtu.be/9bir_jqGd8YSIMUtv: Tamko la serikali juu ya wakulima waliotumia sera za kilimo nchini Mkatika kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mazao ya kilimo. http://youtu.be/CVv08Qx_0cQSIMUtv: Serikali imeombwa kuwashirikisha wadau mbalimbali toka sekta binafsi kuwekeza katika usafiri visiwani ili kurahisisha huduma za...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/zFRWtB0lbKo/default.jpg)
MATUKIO YA BUNGE LEO KUPITIA SIMU TV
TBC.Baada ya malumbano Bungeni Leo yaliyopelekea kuahirishwa kwa Bunge, haya ni baadhi ya matukio yaliyotekea Bungeni.SIMUtv: Hivi ndivyo timbwili lilivyozuka bungeni leo hadi kupelekea kuahirishwa kwa kikao cha bunge.Tazama hapa. http://youtu.be/zFRWtB0lbKoSIMUtv: Naibu Waziri Tamisemi Mhe Majaliwa akijibu swali Bungeni Juu ya maegesho ya magari katika miji mbalimbali nchini. http://youtu.be/CTJ9oznbgEESIMUtv: Mbunge aibana serikali juu ya upotevu wa fedha za umma kama inavyoainisha...
10 years ago
Habarileo04 Sep
Wanaopotosha, kukashifu kupitia simu wasakwa
POLISI imeanza operesheni ya kuchunguza watu wanaojihusisha na udanganyifu au upotoshaji wa aina yoyote kupitia simu za mikononi au mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuchukua hatua za kisheria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania