Wanaopotosha, kukashifu kupitia simu wasakwa
POLISI imeanza operesheni ya kuchunguza watu wanaojihusisha na udanganyifu au upotoshaji wa aina yoyote kupitia simu za mikononi au mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuchukua hatua za kisheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9bir_jqGd8Y/default.jpg)
BUNGENI LEO KUPITIA SIMU TV
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Piga simu kupitia Whatsapp?
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/zFRWtB0lbKo/default.jpg)
MATUKIO YA BUNGE LEO KUPITIA SIMU TV
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Dk. John Magufuli aomba kura kupitia simu
CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli (pichani) kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.
Ujumbe huo unaokwenda kwa watumiaji wa simu za mitandao mbalimbali humfikia mmiliki wa simu kupitia namba +255622333333 na mara baada ya simu hiyo kupokelewa husikika sauti ya Dk. Magufuli...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CqsysU-EcX8/default.jpg)
UCHAMBUZI WA MAGAZETI YA LEO NA TV MBALIMBALI KUPITIA SIMU TV
TBCSIMUtv: Habari kadhaa zimepewa uzito wa hali ya juu katika Magazeti ya Leo. Wajua ni habari gani? Tazama hapa. https://www.youtube.com/watch?v=0AJAUR8HoPI STAR TV Unajua leo June 27 kuna habari gani kuu katika magazeti ? Kuwa wa kwanza kufahamu kwa kuangalia uchambuzi hapa. SIMUtv https://www.youtube.com/watch?v=Oa-5Qa2Mse0
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d46SnNLCKyA/UxbVutu3dtI/AAAAAAAFRKo/jBRB5KmzuuE/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Airtel yazindua huduma ya Breaking news kupitia simu
![](http://2.bp.blogspot.com/-d46SnNLCKyA/UxbVutu3dtI/AAAAAAAFRKo/jBRB5KmzuuE/s1600/unnamed+(14).jpg)
Dar es Salaam, Airtel imezindua huduma mpya ya utaoaji wa taarifa za hapo kwa papo .Huduma hiyo inayojulikana kama Airtel Mwananchi Breaking news itahusisha utoaji wa habari kupitia wateja wa simu za mkononi...
11 years ago
Mwananchi15 May
JK azindua M-pawa, ni kuweka akiba na kukopa kupitia simu
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XJBQMYwTJRM/default.jpg)
MUHTASARI WA HABARI KATIKA TV MBALIMBALI NCHINI LEO KUPITIA SIMU TV
Zimekusanywa na Samuel Kamugisha
CHANNEL 10*Baraza la Taifa la elimu ya ufundi NACTE lafuta usajili wa vyuo 3 na 16 kushushwa hadhi katika jitihada za kulinda ubora wa elimu nchini. http://youtu.be/2HosRmHz7lU
*Jaji Augustino Ramadhani apata wadhamini mkoani Kilimanjaro huku akisema endapo atachaguliwa atashirikiana na wagombea wenziwe. http://youtu.be/qU7V9hQfIlI *Kada wa CCM Edward Lowassa asema hababaishwi na kashfa,vitisho na matusi anavyokumbana navyo kwani ana nia ya dhati ya kuongoza...
9 years ago
GPL