Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaopotosha, kukashifu kupitia simu wasakwa

POLISI imeanza operesheni ya kuchunguza watu wanaojihusisha na udanganyifu au upotoshaji wa aina yoyote kupitia simu za mikononi au mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuchukua hatua za kisheria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BUNGENI LEO KUPITIA SIMU TV

SIMUtv: Naibu waziri wa mambo ya ndani Mh.Silima akijibu swali juu ya hali ya ugaidi hapa nchini licha ya kifo cha kiongozi wa kundi la kigaidi Osama bin Ladden    https://youtu.be/9bir_jqGd8YSIMUtv: Tamko la serikali juu ya wakulima waliotumia sera za kilimo nchini Mkatika kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mazao ya kilimo.   http://youtu.be/CVv08Qx_0cQSIMUtv: Serikali imeombwa kuwashirikisha wadau mbalimbali toka sekta binafsi kuwekeza katika usafiri visiwani ili kurahisisha huduma za...

 

11 years ago

BBCSwahili

Piga simu kupitia Whatsapp?

Baada ya Facebook kununua Whatsapp kwa bilioni 19 dola za kimarekani, sasa huduma hiyo itaanzisha huduma ya kupiga simu

 

10 years ago

Michuzi

MATUKIO YA BUNGE LEO KUPITIA SIMU TV

TBC.Baada ya malumbano Bungeni Leo yaliyopelekea kuahirishwa kwa Bunge, haya ni baadhi ya matukio yaliyotekea Bungeni.SIMUtv: Hivi ndivyo timbwili lilivyozuka bungeni leo hadi kupelekea kuahirishwa kwa kikao cha bunge.Tazama hapa.    http://youtu.be/zFRWtB0lbKoSIMUtv:  Naibu Waziri Tamisemi Mhe Majaliwa akijibu swali Bungeni Juu ya maegesho  ya magari katika miji mbalimbali nchini.   http://youtu.be/CTJ9oznbgEESIMUtv:  Mbunge aibana serikali juu ya upotevu wa fedha za umma kama inavyoainisha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk. John Magufuli aomba kura kupitia simu

CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli (pichani) kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.

Ujumbe huo unaokwenda kwa watumiaji wa simu za mitandao mbalimbali humfikia mmiliki wa simu kupitia namba +255622333333 na mara baada ya simu hiyo kupokelewa husikika sauti ya Dk. Magufuli...

 

10 years ago

Michuzi

UCHAMBUZI WA MAGAZETI YA LEO NA TV MBALIMBALI KUPITIA SIMU TV



TBCSIMUtv: Habari kadhaa zimepewa uzito wa hali ya juu katika Magazeti ya Leo. Wajua ni habari gani? Tazama hapa.      https://www.youtube.com/watch?v=0AJAUR8HoPI STAR TV Unajua leo June 27 kuna habari gani kuu katika magazeti ? Kuwa wa kwanza kufahamu kwa kuangalia uchambuzi hapa. SIMUtv                   https://www.youtube.com/watch?v=Oa-5Qa2Mse0

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yazindua huduma ya Breaking news kupitia simu

Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Mwananchi, Francis Nanai akiwa na Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya simu ya Airtel Tanzania, Sunil Colaso wakati wa uzinduzi wa huduma ya kuwapasha habari wananchi kwa njia ya simu (Breaking News) iliyofanyika katika ofisi za Mwananchi jijini Dar es Salaam
Dar es Salaam, Airtel imezindua huduma mpya ya utaoaji wa taarifa za hapo kwa papo .Huduma hiyo inayojulikana kama Airtel Mwananchi Breaking news itahusisha utoaji wa habari kupitia wateja wa simu za mkononi...

 

11 years ago

Mwananchi

JK azindua M-pawa, ni kuweka akiba na kukopa kupitia simu

Rais Jakaya Kikwete jana alizindua huduma mpya ya M-Pawa itakayosaidia wateja kuhifadhi na kukopa fedha kupitia simu za mkononi itakayoendeshwa kwa pamoja na kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Vodacom na Benki ya Biashara Afrika, CBA.

 

10 years ago

Michuzi

MUHTASARI WA HABARI KATIKA TV MBALIMBALI NCHINI LEO KUPITIA SIMU TV


Zimekusanywa na Samuel Kamugisha

CHANNEL 10*Baraza la Taifa la elimu ya ufundi NACTE lafuta usajili wa vyuo 3 na 16 kushushwa hadhi katika jitihada za kulinda ubora wa elimu nchini. http://youtu.be/2HosRmHz7lU
*Jaji Augustino Ramadhani apata wadhamini mkoani Kilimanjaro huku akisema endapo atachaguliwa atashirikiana na wagombea wenziwe. http://youtu.be/qU7V9hQfIlI *Kada wa CCM Edward Lowassa asema hababaishwi na kashfa,vitisho na matusi anavyokumbana navyo kwani ana nia ya dhati ya kuongoza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani