Pinda atembelea majeruhi Shule ya Sabodo
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametembelea Shule ya Sekondari ya Mustafa Sabodo kwa ajili ya kutoa pole kutokana na wanafunzi watano wa shule hiyo kupoteza maisha baada ya kukanyagwa na gari. Pinda pia aliwatembelea baadhi ya wanafunzi majeruhi ambao wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula ambako alipata fursa ya kuzungumza nao na kuwapa pole wanafunzi hao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Pinda atembelea shule ya wasioona ya Bigiri — Dodoma
![PG4A1467](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/PG4A1467.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama baadhi ya michoro unayotumika katika kuwafundishia wanafunzi wasiona wakati alipotombelea shule maalu ya Wasioona ya Bigiri Dodoma Juni4,2014. Kulia ni Mratibu wa Mpango wa kuifadhili shule...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ehA-bgx_BIk/U49OQz0gZNI/AAAAAAAFnrI/TLhckY2uc74/s72-c/unnamed+(2).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ATEMBELEA SHULE YA WASIOONA YA BIGIRI - DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ehA-bgx_BIk/U49OQz0gZNI/AAAAAAAFnrI/TLhckY2uc74/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DzIMSWMn01Q/U49OTG5CMZI/AAAAAAAFnrQ/JARWRNwywEA/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rVgggLtfGq4/U49OVUPA8-I/AAAAAAAFnrc/5UO9_eBlG9w/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI MWAKYEMBE ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA MABASI MUSOMA, AWAJULIA HALI MAJERUHI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpMxqCMzigGM7*eRJWeleQQCPBXt-ePpSdJ8XaQz67gJe1Ak*7swzkqk-v89hIAZI8kWpkqIlMGx2qbwM6a3*fP/DarasalamuzikikatikatahasisiyashuleyamuzikiReutlingenJhikomananakubalikakimataifa.jpg?width=650)
JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-muxae4wh5K4/U7QhWXNiJZI/AAAAAAAFuas/owABSUYL_Bw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA MAONYESHO YA SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-muxae4wh5K4/U7QhWXNiJZI/AAAAAAAFuas/owABSUYL_Bw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4j_MXG4-EF0/U7QhYKQMEdI/AAAAAAAFuaw/IvXhX6HvWGI/s1600/unnamed+(42).jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Pinda atembelea eneo la Mishamo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa eneo la Mishamo wilayani Mpanda ambako alihutubia mkutano wa hadhara Oktoba 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Sabodo: JK amepwaya
MFANYABIASHARA maarufu nchini na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mustafa Sabodo, amesema Rais Jakaya Kikwete hana uwezo wa kuamua mambo kiasi kwamba kila mwanachama wa CCM ana jeuri ya...
11 years ago
Habarileo27 Jan
Pinda atembelea masalia ya vurugu za gesi
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametembelea makazi na ofisi zilizochomwa moto wakati wa vurugu za gesi mkoani Mtwara na kuelezewa baadhi ya sababu za vurugu hizo. Akielezea sababu hizo, Mkuu wa Wilaya Masasi, Farida Mgomi alisema moja ya sababu za vurugu katika Mji wa Masasi na vitongoji vyake, ni madai na uchochezi kwamba viongozi wa CCM katika wilaya, wameshindwa kuwajibika kwa wananchi.
10 years ago
Dewji Blog09 May
Pinda atembelea kiwanda chaviua wadudu Kibaha
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...