Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda atembelea majeruhi Shule ya Sabodo

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametembelea Shule ya Sekondari ya Mustafa Sabodo kwa ajili ya kutoa pole kutokana na wanafunzi watano wa shule hiyo kupoteza maisha baada ya kukanyagwa na gari. Pinda pia aliwatembelea baadhi ya wanafunzi majeruhi ambao wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula ambako alipata fursa ya kuzungumza nao na kuwapa pole wanafunzi hao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelea shule ya wasioona ya Bigiri — Dodoma

PG4A1456

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua majengo na vifaa vya  kufundishia  wakati alipotembelea Shule Maalu ya Wasioona ya Bigiri iliyopo Dodoma Juni 4, 2014 Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Reheme Nchimbi Juni 4, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). PG4A1467

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama  baadhi ya michoro unayotumika katika kuwafundishia  wanafunzi wasiona  wakati alipotombelea shule maalu ya Wasioona ya Bigiri Dodoma Juni4,2014. Kulia ni Mratibu wa Mpango wa kuifadhili shule...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ATEMBELEA SHULE YA WASIOONA YA BIGIRI - DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama baadhi ya michoro unayotumika katika kuwafundishia wanafunzi wasiona wakati alipotombelea shule maalu ya Wasioona ya Bigiri Dodoma Juni4,2014. Kulia ni Mratibu wa Mpango wa kuifadhili shule hiyo, Bw. V. Ramadhar Reddy ambaye ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya SURA. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua majengo na vifaa vya kufundishia wakati alipotembelea Shule Maalu ya Wasioona ya Bigiri iliyopo Dodoma Juni 4, 2014 Kushoto kwake ni Mkuu wa...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MWAKYEMBE ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA MABASI MUSOMA, AWAJULIA HALI MAJERUHI

Waziri wa Uchukuzi, Dkt Haririson Mwakyembe akiwa na Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani, Mohamed Mpinga, wakiangalia gari la Mwanza Coach walipotembelea eneoe la ajali jana.…

 

11 years ago

GPL

JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI

Darasa la muziki katika taasisi ya shule ya muziki Reutlingen,Ujerumani . Jhikoman akiwafundisha wanafunzi kutumia gitaa katika shule ya muziki Reutlingen.…

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA ATEMBELEA MAONYESHO YA SABASABA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama asali kutoka Ilagala, Kigoma wakati alipotembelea banda la Asali kwenye maonyesho ya Biashara ya Kiataifa yanayoendelea kwenye uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es salaam Jumlai 2, 2014. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Bishara, Dr.Abdallah Kigoda. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama asali kutoka Ilagala, Kigoma wakati alipotembelea banda la Asali kwenye maonyesho ya Biashara ya Kiataifa yanayoendelea kwenye uwanja wa maonyesho...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelea eneo la Mishamo

IMGS8782

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa eneo la Mishamo wilayani Mpanda ambako alihutubia mkutano wa hadhara Oktoba  28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sabodo: JK amepwaya

MFANYABIASHARA maarufu nchini na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mustafa Sabodo, amesema Rais Jakaya Kikwete hana uwezo wa kuamua mambo kiasi kwamba kila mwanachama wa CCM ana jeuri ya...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda atembelea masalia ya vurugu za gesi

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametembelea makazi na ofisi zilizochomwa moto wakati wa vurugu za gesi mkoani Mtwara na kuelezewa baadhi ya sababu za vurugu hizo. Akielezea sababu hizo, Mkuu wa Wilaya Masasi, Farida Mgomi alisema moja ya sababu za vurugu katika Mji wa Masasi na vitongoji vyake, ni madai na uchochezi kwamba viongozi wa CCM katika wilaya, wameshindwa kuwajibika kwa wananchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelea kiwanda chaviua wadudu Kibaha

PG4A1825

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1837

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1842

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani