Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda atembelewa na mtoto Albert

IMGL6812

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mtoto Albert Kanan wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Ilalangulu wilayani Mlele ambaye alikwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu katika kijiji cha Kibaoni akiomba kupiga naye picha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEWA NA MTOTO ALBERT

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mtoto Albert Kanan wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Ilalangulu wilayani Mlele ambaye alikwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu katika kijiji cha Kibaoni akiomba kupiga naye picha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda, mtoto wa Katekista anayetamani kuwatumikia Watanzania

Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda ni mmoja wa wanasiasa walioonyesha dhamira ya kuongoza taifa hili iwapo tu chama chake cha CCM kitamteua kuwa mgombea wake katika uchaguzi ujao wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Ahani Msiba wa wa mtoto wa Mama Kyendesya

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimfariji mbunge wa zamani wa Viti Maalum, Florence Kyendesya  wakati alipokwenda nyumbani kwa mbunge huyo  kuhani msiba wa mtoto wa  Mama Kyendesya,  Machi2, 2015.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

10 years ago

Michuzi

Dk. Salim atembelewa na Ugeni wa Jeshi la Uchina

Waziri Mkuu Mstaafu na pia Rais wa Chama cha Mahusiano Mema kati ya Uchina na Tanzania akiwa na Kamisaa wa Siasa katika Chuo Kikuu cha Ulinzi cha Uchina (Political Commissar of the National Defense University of China) Jenerali Liu Yazhou pamoja na ujumbe wake walipomtembelea ofisini kwake leo Jumatatu. Jenerali Liu Yazhou amekuja nchini kwa ziara ya siku mbili.

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU SPIKA ATEMBELEWA NA BALOZI WA CUBA

 Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson akimshuhudia Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo akisaini kitabu cha wageni wakati alipomtembelea ofisini kwake jiiji Dar es salaam.Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson akifafanua jambo wakati akizungumza na Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo aliyemtembelea leo ofisini kwake jijini Dar es salaam.Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo akifafanua jambo wakati akizungumza na Naibu Spika Mhe. Dkt Tulia...

 

9 years ago

Dewji Blog

MO atembelewa na Balozi wa Canada nchini, Mh. Alexandre Leveque

IMG-20150821-WA0046

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji (kushoto) katika picha ya pamoja na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe Alexandre Leveque aliyemtembelea ofisini kwake mara baada ya mazungumzo.

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS-MAZINGIRA BINILITH MAHENGE ATEMBELEWA NA MABALOZI WA UTURUKI LEO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akiukaribisha ujumbe wa Mabalozi waliotembelea Ofisini kwake wakiongozwa na Balozi wa Sweden Bi. Katarina Rangnitt Ujumbe huo ulifika kwa ajili ya kuzungumzia maswala ya mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Nchi za zinazoendelea.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akiongea jambo na Balozi wa Sweden Bi. Katarina Rangnitt   aliyeongoza Ujumbe wa Mabalozi waliofika Ofisini kwake...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ATEMBELEWA NA VIONGOZI WA CCM WA LUDEWA LEO IKULU DAR

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe 92  kutoka  jimbo la Ludewa mkoani Njombe ambao ni  wenyeviti kata na makatibu kata wa CCM  kutoka kata zote 25 za  jimbo la  Ludewa na viongozi  wa  wilaya wa chama hicho ambao  leo Juni 16, 2014 wanahitimisha  ziara  ya  siku nne ya mafunzo mjini  Dodoma na Dar es Salaam. Wajumbe hao pamoja...

 

11 years ago

BBCSwahili

Boti la wakimbizi lazama Ziwa Albert

Miili 25 imepatikana katika Ziwa Albert baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi wa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kuzama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani