Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda, mtoto wa Katekista anayetamani kuwatumikia Watanzania

Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda ni mmoja wa wanasiasa walioonyesha dhamira ya kuongoza taifa hili iwapo tu chama chake cha CCM kitamteua kuwa mgombea wake katika uchaguzi ujao wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TUMEDHAMIRIA KUWATUMIKIA WATANZANIA - MAJALIWA

WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuhakikisha kila kinachokusanywa kama mapato ya nchi kinatumika kwa maslahi ya Watanzania wote na si kwa manufaa ya wachache.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumapili, Novemba 29, 2015) wakati akifunga maadhimisho ya miaka 20 ya Dayosisi ya Pwani ya Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) kwenye ukumbi wa PTA, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
“Serikali imeanza kukabiliana na upotevu wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mo apata tuzo nyingine, adhihirisha tamaa ya kuwatumikia watanzania

IMG_3351

Mfanyabiashara maarufu ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akitembea kwenye ‘Red Carpet’ mara baada ya kuwasili katika hotel ya Hilton Sandton jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwenye hafla ya utoaji tuzo iliyoandaliwa na jarida maarufu la Forbes na kutunukiwa tuzo ya “Forbes Africa Person Of the Year 2015”.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

Na Modewjiblog team

MFANYABIASHARA na  mtu mwenye taasisi ya kusaidia jamii, Mohammed Dewji maarufu...

 

11 years ago

Mwananchi

Padri, katekista wafariki ajalini

Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda, Matini Kapufi (42 ) na Katekista wa kanisa hilo wa kijiji cha Mtakuja, Parokia ya Inyonga, Patrick Mwendowasaa (60), wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka.

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA LONDON

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania waishio Uingereza kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Aprili 11, 2015. Kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallaghe.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallaghe na Binti wa Balozi huyo, Rebecca (katikati) kwenye makazi ya Balozi huyo eneo la Highgate, Londondoni Aprili 11, 2015.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania waishio Uingereza kwenye...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda azungumza na Watanzania London

PG4A5022

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akitia saini kitabu cha wageni baada ya  kuwasili kwenye  ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini London kabla ya kuzungumza na watanzania Julai 11, 2014. Kushoto ni Mkewe Tunu na kulia ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini  Uingereza, Carol Chipeta. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu).

PG4A5031

 Baadhi ya Watanzania waliohudhuria mkutano kati yao na  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini Londoni Julai  11, 2014...

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania dumisheni Muungano-Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WATANZANIA wametakiwa kila mmoja kwa nafasi yake kuulinda, kuimarisha na kuudumisha Muungano kwa kutafuta na kuhakikisha ushirikiano wa kindugu uliopo unadumishwa.

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda azungumza na Watanzania Japan

pindaNA MWANDISHI WETU, TOKYO
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema mauaji ya albino yanayojirudiarudia nchini yanachafua heshima na jina la Tanzania kwa kuwa yanakwenda kinyume na haki za binadamu.
Akizungumza na Watanzania wanaoishi Japan kwenye ubalozi wa Tanzania jijini Tokyo juzi, Pinda alisema kukosekana kwa hofu ya Mungu na elimu kwa baadhi ya watu nchini ndiyo chanzo cha mauaji hayo.
Alisema binadamu yeyote anayemwamini Mungu na kushika maagizo yake hawezi kudanganyika wala kushawishika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelewa na mtoto Albert

IMGL6812

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mtoto Albert Kanan wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Ilalangulu wilayani Mlele ambaye alikwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu katika kijiji cha Kibaoni akiomba kupiga naye picha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

9 years ago

Michuzi

ABBAS MAZIKU: MFANYABIASHARA ANAYETAMANI KUFUATA NYAYO ZA BILIONEA MO DEWJI

04.jpgkMfanyabiashara wa Kimataifa Abbas Maziku akiwa katika picha ya pamoja na Mfanyabiashara ambaye pia ni Bilionea kijana Barani Afrika, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji, 'MO' ambaye anafuata nyayo zake katika kufikia malengo yake kibiashara.
Na Mwandishi WetuBIASHARA ya kusafirisha mazao ni miongoni mwa biashara zenye ushindani mkubwa kutokana na kutawaliwa na matajiri wenye asili ya Kiasia.
Kutokana na sababu hiyo imewafanya waafrika wengi kuwa na uthubutu katika biashara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani