Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda awapongeza Muhongo na wasaidizi wake

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amemmwagia sifa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na naibu mawaziri wake, kwa kazi nzuri wanayoifanya katika wizara hiyo tangu wateuliwe kuiongoza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAXIMO ATAJA WASAIDIZI WAKE, NI WABONGO

Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
KOCHA Marcio Maximo kutoka Brazil, tayari ameupitia mkataba wa kuanza kufanya kazi Yanga na kusema: “Nitaanza kazi na (Charles) Mkwasa pamoja na (Juma) Pondamali.”
Awali kulikuwa na hofu huenda kocha huyo angetaka kutua nchini na msaidizi wake kutoka Brazil lakini sasa atalazimika kuwataja wazawa hao katika benchi lake la ufundi. Habari za uhakika...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda awapongeza wanawake bora

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka wanawake waliofanikiwa kupata tuzo za wanawake bora kutobweteka, bali waendeleze juhudi ili wazidi kung’ara zaidi.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Mkuu Pinda Awapongeza NMB kwa Ubunifu wa Huduma zao

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda ameupongeza uongozi wa NMB kwa kubuni bidhaa bora na zinazoendana na watanzania wa kada zote akitolea mfano wa akaunti za Chap Chap.
Mh Pinda aliyasema hayo alipotembelea banda la NMB katika hoteli ya St. Gasper ya mkoani Dodoma ambapo PSPF wanafanya mkutano wao na NMB kama mdau mkubwa ameshiriki na kuweka mabanda ya huduma mbalimbali zikiwemo za NMB Wakala, NMB E- statement na Chap Chap Instant Account kwaajili ya washiriki wa mkutano huo.
Akaunti za...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA MKOA WA IRINGA AWAPONGEZA WANANCHI WAKE

Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt.Christina Ishengoma amewapongeza wananchi wa mkoa huo kwa ushirikiano wao katika shughuli za kujiletea  maendeleo ya kiuchumi na kijamii.   Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dkt.Christina Ishengoma amesema katika kipindi cha mwaka 2013 wananchi wa mkoa wa Iringa wamekuwa wakifanyakazi kwa kujituma na kwa ushirikiano mkubwa. Kwa upande mwingine  ishengoma amewataka...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda na familia ya Prof. Muhongo

PG4A1185

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na familia  ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Peter Muhongo (hayupo pichani) baada ya Bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo mjini Dodoma Mei 30, 2014. Wapili kulia ni Mke wa Waziri huyo, Bertha  Mamuya na wengine ni mabinti wa Waziri , Nyasige Sospeter  (kushoto) na  Bertha Kimariyo . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A1195 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo(kulia)...

 

9 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Waandishi wa Habari, leo kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)IFUATAYO NI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMA ILIVYOWASILISHWA LEO NA KINANA  Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

11 years ago

Michuzi

PROF SOSPETER MUHONGO NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGON, DC

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kwa Mkuu wa Utawala na Fedha wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka siku ya Jumatatu June 9, 2014 Waziri wa Nishati na Madini na ujumbe wake walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ulipo mtaa wa 22, jijini Washington, DC. Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof...

 

11 years ago

Dewji Blog

Prof Sospeter Muhongo na ujumbe wake watembelea ubalozi wa Tanzania, Washington, DC

IMG_0631

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kwa Mkuu wa Utawala na Fedha wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka siku ya Jumatatu June 9, 2014 Waziri wa Nishati na Madini na ujumbe wake walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ulipo mtaa wa 22, jijini Washington, DC.

IMG_0642

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof...

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA NA UJUMBE WAKE WAWASILI NCHINI JAPAN

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. mashiro Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiana na maafa utakaofanyika Sendai.Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar,Mohamed Aboud Mohamed.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Ujumbe wake wakizungumza na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani