Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda awataka wanasheria wawe wazalendo


Na Mwandishi WetuWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka wanasheria kutoka nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki, waweke mbele maslahi ya wananchi wa kawaida wakati wanapoingia mikataba na wawekezaji kwenye sekta ya madini.Alitoa wito huo jana wakati akifungua semina ya siku tano juu ya mafunzo ya kuingia makubaliano na mikataba kwenye sekta ya madini kwa wanasheria wa sekta ya umma kutoka nchi wanachama wa Jumuia hiyo ulioanza leo kwenye hoteli ya Whitesands jijini Dar es Salaam.Akizungumza na...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi. …Akiwa na binamu yake.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto), …

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi na rafiki yake Fauzia ambae wote wamemaliza kidato cha nne Baobab Secondary School.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua semina ya wanasheria wa serikali wa Afrika ya Mashariki

PG4A5035

Waziri Mkuu, mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba (kulia) Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB), Vivianne Yeda (kushoto) na Mjumbe wa Bodi ya EADB,Khadija Simba baada ya kufungua Semina ya Wanasheria wa Serikali wa nchi za Afrika ya Mashariki  ya kuwajengea uwezo wanasheria hao katika kuchambua na kufikia mamuzi ya mikataba ya uvunaji maliasili za mataifa hayo,. Semina hiyo ilifanyika kwenye hoteli ya White sands jijini Dar es salaam...

 

11 years ago

Mwananchi

Awataka wajumbe kuwa wazalendo

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo amewataka wajumbe wenzake kutanguliza uzalendo katika kupitisha Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Nagu awataka wadau wa sukari kuwa wazalendo

Serikali imewataka wadau wa sukari nchini, kuwa na uzalendo katika uzalishaji na uuzaji wa bidhaa hiyo muhimu, ikieleza kuwa wakifanya hivyo watapunguza matatizo na malalamiko ya wananchi yanayojitokeza mara kwa mara.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo


*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono

Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.

Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA KIKWETE AWATAKA VIJANA KUWA WAZALENDO NA KUTOKUBAGUANA BALI WASAMBAZE UPENDO

Na Anna Nkinda – Lindi
Vijana mkoani Lindi wametakiwa kuwa wazalendo na kutobaguana bali wasambaze upendo na kujiona wote ni sawa kwa kufanya hivyo wataondoa chuki na kudumisha amani, mshikamano na umoja katika jamii inayowazunguka.
Mwito huo umetolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akifungua klabu zalendo zilizopo katika  Manispaa ya Lindi.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alisema kama jamii itajenga tabia ya ubaguzi italeta chuki na upendo utatoweka na...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akisikiliza risala ya umoja wa wafanyabiashara wa Manispaa ya Sumbawanga iliyokuwa ikisomwa kwake na Mwenyekiti wa umoja huo Ndugu Willington Kiziba Ndyetabura (Kulia). Katika risala hiyo yalikuwepo malalamiko mbalimbali ikiwemo ya matumizi ya mashine za EFD ambapo ni pamoja na gharama kubwa za mataengenezo, Ada ya ukaguzi wa majanga ya moto(Fire), Kupanda mara mbili kwa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wadogo na Ulinzi na Usalama kwa...

 

5 years ago

CCM Blog

PINDA: AWATAKA WATANZANI KUACHA KASUMBA YA KUAMINI WAGENI KWENYE UWEKEZAJI

Na Baraka Messa, Songwe
WAZIRI Mkuu mstaafu wa awamu ya nne Mizengo Pinda amewataka watanzania kubadilika kwa kuacha Kasumba ya kuamini wageni kuja kuwekeza katika fulsa mbalimbali zilizopo nchini ili kufikia uchumi wa kati ambao utaboresha maisha ya watanzania kwa ujumla.

Pinda alikuwa mgeni rasmi katika kufunga Kongamano la biashara Mkoani Songwe  alitanabaisha kuwa ili kufikia uchumi wa kati ambao Rais Magufuli anausisitiza ifikapo 2025 alisema watanzania wanatakiwa kubadilika kwa kiasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani