Pinda: Siku za uandikishaji zitaongezwa majimboni
Dodoma. Serikali imeiagiza Tume ya Uchaguzi (NEC) kuongeza siku za uandikishaji kwenye majimbo iwapo kutakuwa na watu ambao hawajapata nafasi ya kusajiliwa kwenye Daftari la Wapigakura katika muda uliopangwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Apr
NEC itaamua hatma uandikishaji -Pinda
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uandikishaji katika daftari la kudumu la wapigakura na siku maalum ya kupiga kura.
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Pinda azindua uandikishaji daftari la wapiga kura
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Uboreshaji wa Daftari kla Kudumu la Wapigakura katika mji mdogo wa Makambako Februari 24, 2015.Kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva na Katikati ni Katibu wa Tume hiyo, Ndugu Malaba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama kazi ya uandikishaji wapiga kura baada ya kuzindua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura katika mji mdogo wa Makambako Februari 24, 2015. (Picha na Ofisi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hs8fzdqqBjM/VO3Q2_JnCZI/AAAAAAADPFE/HNB_EVYre0A/s72-c/661.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA UANDIKISHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](http://2.bp.blogspot.com/-hs8fzdqqBjM/VO3Q2_JnCZI/AAAAAAADPFE/HNB_EVYre0A/s1600/661.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f-Jjwai_oZc/VO3RV0SbydI/AAAAAAADPFc/LnieWMWEGns/s1600/06.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SWQTv5HPkVE/VO3QziUVBJI/AAAAAAADPE0/rSZtM0FMjHM/s1600/03.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OQkLjj3gGms/VOzOH0WHR8I/AAAAAAAHFsk/WiYxVmzQkhA/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Waziri Mkuu PINDA AZINDUA UANDIKISHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MJINI MAKAMBAKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-OQkLjj3gGms/VOzOH0WHR8I/AAAAAAAHFsk/WiYxVmzQkhA/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6hZncQ3Lubc/VOzPwg4ck9I/AAAAAAAHFtQ/FxxLbD0T_vA/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NjHTYadoEqg/VOzPw7Oyg9I/AAAAAAAHFtU/T82_M4I6orQ/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
10 years ago
Mwananchi23 May
Dar es Salaam yapangiwa siku 12 uandikishaji wapiga kura
5 years ago
MichuziNEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Nasubiri siku ya kufukuzwa Pinda
KWELI hatamu ni tamu, yaani Waziri Mkuu Mizengo Pinda hataki kuondoka madarakani kwa hiyari yake baada ya kushambuliwa kuwa ni mzigo namba moja ndani ya serikali, hadi aondolewe? Nimestaajabu sana...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Pinda ahutubia sherehe za siku ya walimu Mjini Bukoba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kuhusu mtambo wa kutotoa vifaranga kutoka kwa Mwalimu Deudediti Rwekaza (kushoto) katika onyesho ya siku ya walimu Duniani iliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba Oktoba 5, 2014. (Piocha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya walimu walioshiriki katika sherehe za siku ya walimu Duniani wakiimba wimbo maalum wa Walimu kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba ambako sherehe hizo zilifanyika kitaifa Oktoba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya...