Nasubiri siku ya kufukuzwa Pinda
KWELI hatamu ni tamu, yaani Waziri Mkuu Mizengo Pinda hataki kuondoka madarakani kwa hiyari yake baada ya kushambuliwa kuwa ni mzigo namba moja ndani ya serikali, hadi aondolewe? Nimestaajabu sana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 May
Pinda: Siku za uandikishaji zitaongezwa majimboni
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Cyrill: Nasubiri uchaguzi upite
NA CHRISTOPHER MSEKENA
UCHAGUZI mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, umepunguza kasi ya wasanii wa sanaa mbalimbali kutoa kazi zao kutokana na upepo wa kisiasa kuchukua nafasi kubwa.
Msanii kutoka Singida, Cyrill Kamikaze, ni mmoja wao licha ya kukamilisha uandaaji wa wimbo wake mpya, lakini anashindwa kuutoa kwa sasa kutokana na harakati za siasa zilivyopamba moto.
“Sio mimi tu, wasanii wengi wapo kimya kwa sababu ya uchaguzi, kwa upande wangu nasubiri...
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Maalim Seif: Nasubiri kuapishwa
*EU yataka mshindi Zanzibar atangazwe
Na Mwandishi Wetu, Pemba
MGOMBEA urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amewata wananchi wa Kisiwa cha Pemba kutembea kifua mbele, kwani anachosubiri ni muda tu ili aweze kuapishwa kuwa rais wa awamu ya nane wa Zanzibar.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya viongozi wa wilaya, majimbo na matawi kisiwani Pemba uliofanyika wilayani Chakechake.
Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Nasubiri miujiza ya mtandao 2015
AJENDA ya uteuzi wa jina la mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu ujao mwakani inatishia kukisambaratisha chama hicho na kusababisha anguko kwenye uchaguzi huo. Tishio...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Nasubiri Dk Magufuli ageukie sekta ya elimu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pFJjdzRt4aZa5TB9VoMWEFjapJ2lDLjqobLjPfGUmTM0h5EsgssdKHDTJd4GBa24Qc1uaHKJj7*ATJGeAwnMxQ/maskini.jpg)
NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Nasubiri kuona anguko la pili la Mangula
MFUKUNYUKU nimelazimika kunukuu taarifa hii ili kujadili hoja iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Phillip Mangula, ambaye juzi alisema kuwa chama hicho kimeunda timu ya kuwachunguza makada wake wanaodaiwa...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Pinda ahutubia sherehe za siku ya walimu Mjini Bukoba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kuhusu mtambo wa kutotoa vifaranga kutoka kwa Mwalimu Deudediti Rwekaza (kushoto) katika onyesho ya siku ya walimu Duniani iliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba Oktoba 5, 2014. (Piocha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya walimu walioshiriki katika sherehe za siku ya walimu Duniani wakiimba wimbo maalum wa Walimu kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba ambako sherehe hizo zilifanyika kitaifa Oktoba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya...