Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nasubiri kuona anguko la pili la Mangula

MFUKUNYUKU nimelazimika kunukuu taarifa hii ili kujadili hoja iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Phillip Mangula, ambaye juzi alisema kuwa chama hicho kimeunda timu ya kuwachunguza makada wake wanaodaiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Cyrill: Nasubiri uchaguzi upite

CYILLNA CHRISTOPHER MSEKENA

UCHAGUZI mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, umepunguza kasi ya wasanii wa sanaa mbalimbali kutoa kazi zao kutokana na upepo wa kisiasa kuchukua nafasi kubwa.

Msanii kutoka Singida, Cyrill Kamikaze, ni mmoja wao licha ya kukamilisha uandaaji wa wimbo wake mpya, lakini anashindwa kuutoa kwa sasa kutokana na harakati za siasa zilivyopamba moto.

“Sio mimi tu, wasanii wengi wapo kimya kwa sababu ya uchaguzi, kwa upande wangu nasubiri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nasubiri miujiza ya mtandao 2015

AJENDA ya uteuzi wa jina la mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu ujao mwakani inatishia kukisambaratisha chama hicho na kusababisha anguko kwenye uchaguzi huo. Tishio...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nasubiri siku ya kufukuzwa Pinda

KWELI hatamu ni tamu, yaani Waziri Mkuu Mizengo Pinda hataki kuondoka madarakani kwa hiyari yake baada ya kushambuliwa kuwa ni mzigo namba moja ndani ya serikali, hadi aondolewe? Nimestaajabu sana...

 

9 years ago

Mtanzania

Maalim Seif: Nasubiri kuapishwa

pic+seif*EU yataka mshindi Zanzibar atangazwe

Na Mwandishi Wetu, Pemba

MGOMBEA urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amewata wananchi wa Kisiwa cha Pemba kutembea kifua mbele, kwani anachosubiri ni muda tu ili aweze kuapishwa kuwa rais wa awamu ya nane wa Zanzibar.

Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya viongozi wa wilaya, majimbo na matawi kisiwani Pemba uliofanyika wilayani Chakechake.

Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Nasubiri Dk Magufuli ageukie sekta ya elimu

Mipango mingi imepangwa, ukiwamo ule wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), lengo likiwa ni kuhakikisha nchi inapata mafanikio katika sekta mbalimbali.

 

11 years ago

GPL

NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU

MWANAFUNZI wa kidato cha nne nchini Burundi, Miburo Anne Mony (17), raia wa nchi  hiyo amesema anakwenda kufia kwao baada ya madaktari ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kumwambia ugonjwa wake wa kansa umecheleweshwa hivyo si rahisi kutibika. HAJUI ATARUDIJE NYUMBANI
Akizungumza na mwandishi wetu huku akibubujikwa machozi ndani ya Wodi Na. 24, Sewa Haji, Muhimbili, mwanafunzi huyo wa kike ambaye hajui Kiswahili wala Kingereza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siioni Katiba mpya, nasubiri ngumi bungeni

NIMESOMA majina 201 yaliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuunda Bunge Maalumu ya Katiba, nimebaini uwepo wa safari ndefu kufikia kile wengi wetu tulichokuwa tukitarajia. Bunge Maalumu la Katiba ndilo litakalopitia...

 

10 years ago

Vijimambo

Nyalandu: Nasubiri kuombwa kuwania urais 2015

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema hawezi kutangaza kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao bila kutumwa na watu.

Nyalandu amesema kuwa wadhifa wa kuongoza nchi ni mkubwa mno, ambao mtu hawezi kujichukulia uamuzi wa kuiomba nafasi hiyo isipokuwa mpaka atumwe na watu, huku akisema kuwa ingawa hana mpango wa kugombea urais, lakini hata yeye akitumwa anaweza kugombea.

Nyalandu aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wake na wandishi...

 

10 years ago

GPL

‘EE MUNGU SITEMBEI TENA, NASUBIRI KIFO CHANGU TU’

Na Gabriel Ng’osha
WAGOMBANAPO mafahari wawili ziumiazo ni nyasi, haya yametokea kwa Joyce Kauzeni (43) mkazi wa Kibamba, jijini Dar e s Salaam baada ya kupooza sehemu kubwa ya mwili wake, kutokana na mgomo wa madaktari nchi nzima uliotokea Juni, 2012 kwa ajili ya kuishinikiza serikali kutimiza madai yao kumi, likiwemo la masilahi. Miguu ya Joyce Kauzeni ikiwa imepooza. Akisimulia mkasa huo mume wa Joyce, Lazaro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani