Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm hofu kusimama ligi

KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema wamewapa wachezaji wake mapumziko ya wiki mbili kabla ya kuanza maandalizi ya mechi za Ligi Kuu inayotarajia kuendelea tena Desemba 12 mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Pluijm azikamia pointi 63 Ligi Kuu

6009KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van der Pluijm, amesema watatimiza mipango ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kwa kushinda mechi zote 21 zilizobaki, sawa na pointi 63.

Yanga, yenye pointi 23 katika nafasi ya pili, imeshushwa kileleni na Azam FC iliyofikisha pointi 25 kwenye msimamo wa ligi, huku timu zote zikiwa hazijapoteza mchezo wowote hadi sasa katika mechi tisa  walizocheza.

Kwa sasa ligi imesimama kupisha usajili wa dirisha dogo utakaofunguliwa Novemba 15,...

 

11 years ago

GPL

Loga, Pluijm wasimamishwa kufundisha ligi kuu

Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge
CHAMA cha Makocha Tanzania (Tafca), kimesema makocha wa kigeni wakiwemo wale wa Simba na Yanga, hawatakaa kwenye mabenchi ya timu zao wakati wa Ligi Kuu Tanzania Bara.…

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm aitega Mgambo Shooting Ligi Kuu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema Mgambo JKT si timu ya kudharau kwa kuona ni timu ndogo, kwani imekuwa ikifanya vizuri kwa kuwapa upinzani mkali kila wanapokutana.

 

5 years ago

Michuzi

BAADA YA LIGI KUU KUSIMAMA KWA SIKU 66, SASA TUKUTANE TENA KWA MKAPA,UHURU NA CHAMAZI...TULILIMISI SOKA LETU BHANA

Na Zainab Nyamka,Michuzi TV

ZIKIWA zimetimia Siku 66 toka kusimamishwa kwa Michezo mbalimbali ikiwemo soka sasa inatarajiwa kuanza mapema Mwezi Juni wadau wameendelea kujiuliza je Viwango vya wachezaji vitarejea kama awali.

Ikumbukwe kuwa Shughuli zote za kijamii ikiwemo mikusanyiko ilisimamishwa  na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.

Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...

 

10 years ago

Mtanzania

Kuelekea Ligi ya Mabingwa Pluijm amulika nyota A/Magharibi

yangaNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KLABU ya Yanga sasa akili zao zote ni kujipanga kwa Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani, inaelezwa tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amewamulika baadhi ya wachezaji nyota kutoka Afrika Magharibi ili kuwasajili.

Katika mpango huo wa Mholanzi, inadaiwa ametamanishwa na wachezaji wawili kutoka Ghana, ambao anafikiria kuwanasa kwa msimu ujao ili kuipa makali zaidi Yanga ambayo msimu huu imeishia raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kutolewa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Tambwe apata hofu Ligi Kuu

Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe amesema itamwia vigumu kuibuka kinara wa upachikaji mabao kama waamuzi wataendelea kuchezesha vibaya kwenye Ligi Kuu Bara.

 

5 years ago

Michuzi

DIWANI AAPA KUSIMAMA NA MAGUFULI.

DIWANI AAPA KUSIMAMA NA MAGUFULI.
NA DENIS MLOWE, IRINGA
DIWANI wa Kata ya Mwangata iliyoko Manispaa ya Iringa,Nguvu Chengula ameapa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Rais John Pombe Magufuri anashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa 2020 unaotarajiwa kufanyika Oktoba.
Akizungumza na wanahabari kwenye ukumbi wa Boma, Chengula alisema kuwa atatumia jitihada zote pamoja na Mali anazomiliki kuhakikisha CCM inashinda chini ya Rais Magufuli kwa kutoa magari ya kampeni na vipaza sauti...

 

11 years ago

Mwananchi

Walipinga Bunge la Katiba kusimama

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likitarajiwa kuendelea na kikao chake Agosti 5 mwaka huu, wakazi wawili wa mjini Moshi wamefungua kesi ya kikatiba wakitaka kusimamishwa kwa Bunge hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani