Polisi Iringa yajivunia kupungua kwa Matukio Ya Kujinyonga
Polisi mkoani Iringa limesema miongoni mwa mambo ya kujivunia ni pamoja na kufanikiwa kupunguza uharifu wa aina mbalimbali yakiwemo matukio ya kujinyonga ambayo yanatajwa kuwa ni desturi ya kabila la Wahehe.
Ulevi na hasira ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kuchangia ongezeko la matukio ya kujinyonga ambayo yanaainishwa kuwa ni aina ya ukatili unaodaiwa kufanywa na baadhi ya wenyeji wa mkoa wa Iringa na hivyo kujinyonga kuchukuliwa kama desturi ya kabila la Wahehe..
Wahehe ni miongoni mwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Polisi yajivunia kupungua uhalifu Rukwa
MATUKIO ya mauaji ya kikatili yanayosababishwa na imani za kishirikina mkoani Rukwa yamepungua hadi kufikia matukio 30 kwa kipindi cha mwaka jana ukilinganisha na matukio 37 yaliyoripotiwa mwaka 2012. Kwa...
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Jeshi la Polisi latangaza dau kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa kinara wa matukio ya kigaidi na ulipuaji wa mabomu nchini
‘Sensei’ Yahaya Hassan Hella pichani kinara wa matukio mbalimbali ya ulipuaji wa mabomu hapa nchini ambaye Jeshi la Polisi na vyombo mbalimbali vya usalama vinamtafuta huku Serikali ikitangaza dau kwa mtu atakeyetoa taarifa zake kwenye kituo cha polisi kilichokaribu nawe. (Picha na Mahmoud Ahmad, Arusha).
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKAONI IRINGA LINAWASHIKILIA WANANCHUO 89 WA CHUO KIKUU CHA IRINGA
5 years ago
MichuziPolisi Mpwapwa Wapongezwa Uhalifu kupungua
Na Mwandishi Wetu, Mpwapwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameupongeza...
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Afa kwa kujinyonga
MKAZI wa Yombo, Baraka Nyaulo (20), amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia mkanda wa begi alioutundika kwenye kenchi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibeth Kiondo, alisema jana kuwa Nyaulo aliyekuwa...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Watu watatu wafariki dunia matukio tofauti Iringa
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eNL9J3XGg7E/VfQSxuEKeMI/AAAAAAACAkc/9TRA8QTUr34/s72-c/IMG_20150912_094644.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA ,JESHI LA POLISI IRINGA LAONYA WANAOCHANA MABANGO YA WAGOMBEA .
![](http://4.bp.blogspot.com/-eNL9J3XGg7E/VfQSxuEKeMI/AAAAAAACAkc/9TRA8QTUr34/s640/IMG_20150912_094644.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QIXFY1EgChA/VfQS1fSJEoI/AAAAAAACAkk/pX_bMf8x3oc/s640/IMG_20150912_094655.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CU0Fn5Z-6es/VfQTiAyLTOI/AAAAAAACAlE/EkyKjgIzKrk/s640/IMG_20150912_094706.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZYOA9vEZlzc/VfQUFoJgEJI/AAAAAAACAlQ/Tycldp_nB0o/s640/IMG_20150912_094947.jpg)
11 years ago
CloudsFM07 Aug
MPIGA DEBE IRINGA AUWAWA KWA KUCHOMWA KISU STAND NJE YA KITUO CHA POLISI
DENI la Sh 2,000 limetosha kumaliza uhai wa mpiga debe maarufu wa stendi ya mabasi yaendeayo mikoani ya mjini Iringa, Samwel Yengayenga baada ya kuchomwa kisu mara mbili katika eneo la mgongoni na kifuani.
Tukio hilo la kinyama limetokea leo majira ya saa 6.55 mchana baada ya Yengayenga na mtuhumiwa wa mauaji yake aliyekuwa akidai kiasi hicho cha fedha kurushiana maneno makali na kisha kupigana.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi...