Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Iringa yajivunia kupungua kwa Matukio Ya Kujinyonga

Polisi mkoani Iringa limesema miongoni mwa mambo ya kujivunia ni pamoja na kufanikiwa kupunguza uharifu wa aina mbalimbali yakiwemo matukio ya kujinyonga ambayo yanatajwa kuwa ni desturi ya kabila la Wahehe.

Ulevi na hasira ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kuchangia ongezeko la matukio ya kujinyonga ambayo yanaainishwa kuwa ni aina ya ukatili unaodaiwa kufanywa  na baadhi ya wenyeji wa mkoa wa Iringa  na hivyo kujinyonga kuchukuliwa kama desturi ya kabila la Wahehe..

Wahehe ni miongoni mwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yajivunia kupungua uhalifu Rukwa

MATUKIO ya mauaji ya kikatili  yanayosababishwa  na  imani  za kishirikina  mkoani Rukwa  yamepungua hadi  kufikia matukio 30 kwa kipindi cha mwaka jana ukilinganisha  na matukio 37 yaliyoripotiwa mwaka  2012. Kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi latangaza dau kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa kinara wa matukio ya kigaidi na ulipuaji wa mabomu nchini

IMG-20140814-WA0000

‘Sensei’ Yahaya Hassan Hella pichani kinara wa matukio mbalimbali ya ulipuaji wa mabomu hapa nchini ambaye Jeshi la Polisi na vyombo mbalimbali vya usalama vinamtafuta huku Serikali ikitangaza dau kwa mtu atakeyetoa taarifa zake kwenye kituo cha polisi kilichokaribu nawe. (Picha na Mahmoud Ahmad, Arusha).

 

10 years ago

Vijimambo

JESHI LA POLISI MKAONI IRINGA LINAWASHIKILIA WANANCHUO 89 WA CHUO KIKUU CHA IRINGA

Wanafunzi  wa  Chuo  Kikuu cha Iringa  wakiwa katika mgomo  leo kutokana na kutopata mkopo kwa wakati ambapo inapelekea kushindwa  kabisa  kuendesha maisha  yao  chuoni  hapo baada ya  serikali  kupitia  bodi ya  mikopo  kuwacheleweshea  pesa  zao.Viongozi  wa  serikali ya wanafunzi wa Chuo  Kikuu cha Iringa  wakiwatuliza  wenzao  leo baada ya mgomo wa wanachuo wa chuo cha RUCU kugoma wakishinikiza kupewa mikopo yao ili kuendesha maisha chuoni hapo.Mkuu  wa chuo  kikuu ya Iringa Prof Joshua...

 

5 years ago

Michuzi

Polisi Mpwapwa Wapongezwa Uhalifu kupungua

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, akizungumza na Uongozi wa Jeshi la Polisi Wilayani Mpwapwa wakati wa ziara ya kikazi wilayani hapo.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya NchiMkuu wa Polisi Wilaya ya Mpwapwa, Mrakibu wa Polisi, Cosmas Mboya, akitoa Taarifa ya Ulinzi na Usalama kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene wakati wa ziara ya kikazi wilayani hapo.
Na Mwandishi Wetu, Mpwapwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameupongeza...

 

11 years ago

Michuzi

MBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.

Pichani ni mwenyekiti wa CHADEMA,Mh. Freeman Mbowe akiwa sambamba na Mbunge wa jimbo la Kawe,Halima  Mdee wakiwa wameachiwa na jeshi la polisi akisindikizwa kwenda kupanda chopa katika viwanja vya mwembetogwa mara baada ya kudaiwa kuzidisha muda kwenye mkutano wao wa hadhara mkoani Iringa. (picha zote na denis mlowe) Na Denis Mlowe,Iringa MWENYEKITI wa Chadema Mhe. Freeman Mbowe na Mbunge wa jimbo la Hai na Mbunge wa Jimbo la Kawe Mhe. Halima Mdee walishikiliwa kwa muda na Jeshi la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Afa kwa kujinyonga

MKAZI wa Yombo, Baraka Nyaulo (20), amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia mkanda wa begi alioutundika kwenye kenchi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibeth Kiondo, alisema jana kuwa Nyaulo aliyekuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu watatu wafariki dunia matukio tofauti Iringa

Iringa. Watu watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti, akiwamo mjamzito anayedaiwa kufariki baada ya kupigwa na mumewe.

 

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA ,JESHI LA POLISI IRINGA LAONYA WANAOCHANA MABANGO YA WAGOMBEA .

Maandamano  ya  askari  polisi kuelekea katika  maadhimisho  ya  wiki ya nenda kwa usalama Maadhimisho ya wiki ya  nenda  kwa  usalama mkoa  wa Iringa  leo Askari  wa FFU  wakiwa katika maadhimisho hayo. 
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Amina Masenza akiongoza kupokea maandamano leo.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.




 















 

11 years ago

CloudsFM

MPIGA DEBE IRINGA AUWAWA KWA KUCHOMWA KISU STAND NJE YA KITUO CHA POLISI

DENI la Sh 2,000 limetosha kumaliza uhai wa mpiga debe maarufu wa stendi ya mabasi yaendeayo mikoani ya mjini Iringa, Samwel Yengayenga baada ya kuchomwa kisu mara mbili katika eneo la mgongoni na kifuani.Tukio hilo la kinyama limetokea leo majira ya saa 6.55 mchana baada ya Yengayenga na mtuhumiwa wa mauaji yake aliyekuwa akidai kiasi hicho cha fedha kurushiana maneno makali na kisha kupigana.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani