Polisi Mtwara wahimiza ushirikiano
JESHI la Polisi mkoani Mtwara limewataka wananchi kuendeleza ushirikiano na mshikamano ili kudumisha amani na utulivu mkoani hapa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Zelothe Stephen, alitoa kauli hiyo alipozungumnza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WAKUU WA SEKTA YA TEHAMA NCHINI KENYA WAKUTANA, WAHIMIZA USHIRIKIANO
11 years ago
Michuzi.jpg)
KUTOKA KWA WATANI WA JADI: WAKUU WA SEKTA YA TEHAMA NCHINI KENYA WAKUTANA, WAHIMIZA USHIRIKIANO
Swala la usalama katika mitandao limepata kuangaliwa na changamoto mbali mbali katika mijadala Rasmi (Ndani ya Kikao) na isiyo rasmi (tuwapo nje ya ukumbi wa mkutano) zilipata kuangaliwa kwa ukaribu.
Swala uhimu nililo jifunza ni...
10 years ago
Habarileo18 Sep
Polisi wahimiza uchaguzi wa amani
JESHI la Polisi nchini limehimiza wananchi kuhakikisha wanashiriki katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu kwa amani na utulivu.
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Polisi Singida wahimiza utulivu katika mikutano ya kisiasa
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la polisi mkoani Singida,limewataka wananchi waohudhuria mikutano ya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa inayoendelea, kuhakikisha hawajihusishi kabisa na vitendo vya uvunjivu wa amani na utulivu.
Aidha,jeshi hilo limewataka wananchi wawe watulivu na wazingatie sheria hata kama wakubaliani na sera zinazoelezwa kwenye mkutano husika.Hiyo itakuwa ni njia mojawapo ya kujiepusha na usumbufu...
10 years ago
Habarileo30 Aug
Polisi yataka ushirikiano kuzuia ajali
JESHI la Polisi mkoani hapa limeitaka jamii kuacha kuchoma moto vituo vya Polisi pindi zitokeapo ajali za barabarani na kueleza kuwa hilo si suluhisho bali ni uharibifu unaorudisha nyuma maendeleo.
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Polisi yataka ushirikiano kukabili wahalifu
11 years ago
Mtanzania22 Aug
Polisi waomba ushirikiano kukabili mauaji ya albino

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu, amesema vitendo vya mauaji ya albino vimeanza kushamiri tena katika baadhi ya maeneo nchini.
Amesema kutokana na hali hiyo, jeshi la polisi limewaomba wananchi, asasi za raia, viongozi wa dini na wanasiasa kushirikiana nao waweze kukamata mtandao wa watu wanaojihusisha na shughuli hizo na kuwachukulia hatua.
Alisema kuwa vitendo hivyo vinahusishwa moja...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Mgombea ‘aliyetekwa’ Mtwara apatikana, polisi wachunguza
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Watu 10 wauawa Kiteto, Mtwara jambazi laua polisi