Polisi nchini Ufaransa waendesha msako
Polisi nchini Ufaransa wameendelea na msako wa washukiwa wanaotuhumiwa kuwaua wafanyakazi wa gazeti la vibonzo la Charlie Hebdo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
BREAKING NEWZZZZ: JESHI LA POLISI MKOANI GEITA LAKAMATA BUNDUKI SABA ZILIZOPORWA KITUO CHA POLISI BUKOMBE, WATU WAWILI MBARONI NA MSAKO MKALI UNAENDELEA

10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Ubaguzi:Polisi wafanya msako Alexandra
10 years ago
Habarileo19 Jan
Polisi sasa wabadili mbinu msako wa albino Kwimba
POLISI mkoani hapa imetoa picha ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndami, wilayani Kwimba ili kuwezesha yeyote atakayemwona kutoa taarifa Polisi ama kwenye ofisi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Ajali yaua Mtoto, msako wa Polisi waibua mazito Singida
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP,Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu
MTOTO mwenye umri wa mwaka moja na miezi nane,Tungepesiaga Masudi,mkazi wa kijiji cha Rungwa tarafa ya Itigi wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida,amefariki dunia papo hapo baada ya kukanyangwa na gari STK 1005 Toyota Land Cruiser mali ya hifadhi ya pori la akiba la Rungwa.
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP,Geofrey Kamwela, alisema tukio hilo limetokea Julai 15 mwaka huu saa 3.15 asubuhi huko katika kijiji cha...
10 years ago
GPLJESHI LA POLISI LAENDESHA MSAKO MKALI KWA WALIOWAUA ASKARI WAWILI
5 years ago
MichuziMASENETA SITA KUTOKA NCHINI UFARANSA WAPO NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU NANE
Na Karama Kenyunko-Michuzi Blog.
MASENETA sita kutoka nchini Ufaransa wako nchini Tanzania kwa ziara za kikazi ambapo wanatarajia kutembelea mikoa mbalimbali pamoja na visiwani Zanzibar kujionea shughuli za maendeleo zinazofanywa na wadau wanaonufaika na misaada ya Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD).
Ziara hiyo itafanyika kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha na kwamba ni matokeo ya ziara iliyofanywa Septemba mwaka jana na marafiki wa Ufaransa na Tanzania na kuazimia...
11 years ago
CloudsFM25 Jun
POLISI KUFANYA MSAKO MKALI KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA SISTA WA KANISA KATOLIKI
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imeanzisha msako mkali, kuwatafuta watu waliohusika na mauaji ya Mhasibu wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka jijini Dar es Salaam, Sista Cresencia Kapuri (50), ambao utahusisha vikosi vyote vya Polisi. Vikosi hivyo ni Usalama Barabarani, askari wa doria wanaotumia pikipiki na magari, wapelelezi na askari Polisi wa kawaida.
Mauaji ya mtawa huyo, yalitokea juzi mchana katika eneo la Ubungo Riverside, jijini humo, ambapo alipigwa risasi na watu wanaodaiwa...
10 years ago
GPL
NEWS ALERT: WAENDESHA BODABODA NACHINGWEA WAZINGIRA KITUO CHA POLISI
11 years ago
MichuziMTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI MOSHI ,NUSURA WAENDESHA BODABODA WAMTOE ROHO