Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Tanzania wasaka mshukiwa wa sakata bandarini

Polisi nchini Tanzania wameahidi zawadi kwa atakayesaidia kukamatwa kwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni moja anayetuhumiwa kuhusika katika kupitisha makontena bandarini bila kulipiwa kodi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wasaka washukiwa wanne wa ugaidi Kenya

Maafisa wa usalama nchini Kenya wanawasaka washukiwa wanne wa ugaidi ambao wanadaiwa kukwepa msako wa polisi katika nyumba moja Mombasa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya

Mmoja wa washukiwa wanne wa ugaidi waliokwepa msako wa polisi mjini Mombasa Jumatatu amejisalimisha kwa polisi akisindikizwa na babake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wazuilia meli bandarini Mombasa

Polisi nchini Kenya wanakagua meli inayoshukiwa kubeba dawa za kulevya katika bandari ya Mombasa baada ya operesheni iliyotekelezwa usiku wa manane.

 

11 years ago

Michuzi

Polisi TPA watunukiwa kwa kuimarisha usalama bandarini

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akimpongeza mmoja wa askari wa bandari ya Dar es Salaam, Cornel Kufahaidhuru katika hafla fupi ya kuwazawadia askari 18 wa mamlaka ya bandari Tanzania (TPA) kwa kazi nzuri ya kuimarisha ulinzi katika bandari hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Serikali imetoa sifa kwa kitengo cha usalama cha Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuimarisha ulinzi katika bandari na hivyo kuchangia kuifanya bandari hiyo kuongeza...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA GWAJIMA, MAASKOFU WAWASHANGAA POLISI

Na Elvan Stambuli
Maaskofu kadhaa wamelishangaa jeshi la polisi kwa jinsi lilivyoliendesha sakata la kashfa ya matusi inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na kusema kwamba huenda kuna jambo nyuma ya pazia. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya maaskofu hao walisema sakata hilo sasa limeingizwa kinyemela kwenye mlango mwingine usiojulikana ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waliokwepa kulipa kodi bandarini Tanzania wagunduliwa

Kampuni 43 ambazo zinamiliki makontena 329 yaliyokamatwa bandarini Tanzania wakati wa ziara ya kushtukiza ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa zimetambuliwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mangu aingilia kati sakata la TRA, Polisi

Sakata la wakwepa kodi mkoani Kagera limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu kumuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, George Mayunga kuwachunguza na kuwatia mbaroni askari wanaotuhumiwa kushirikiana na wafanyabiashara wa pombe kali maarufu viroba wanaokwepa kodi.

 

10 years ago

Vijimambo

SAKATA LA UTEKAJI WA WATOTO DAR, JESHI LA POLISI LAKANUSHA

Na Karoli Vinsent
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha vikali juu ya uvumi unaoendelea jijini Dar es Salaam kuhusu utekaji nyara wa watoto wadogo wanaosoma shule.
Kutokana na Hivi karibuni umezuka uvumi kutoka kwa watu mbalimbali hasa wazazi ambao uvumi huu umewafikia kwamba kuna kundi la wahalifu wanaotumia gari aina ya NOAH rangi nyeusi ambao kazi yao ni kuteka nyara wanafunzi kwa nia ya kutenda uhalifu ikiwa ni pamoja na kuwachuna ngozi na madhara mengine.
...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA JARIBIO LA KUUAWA, DR. SLAA ATINGA KITUO CHA POLISI

Akihojiwa na Wanahabari.     ..Slaa (kulia), akitoka katika lango kuu la kituo cha Polisi akiwa na viongozi wengine wa chama hicho.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani