Polisi Tanzania wasaka mshukiwa wa sakata bandarini
Polisi nchini Tanzania wameahidi zawadi kwa atakayesaidia kukamatwa kwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni moja anayetuhumiwa kuhusika katika kupitisha makontena bandarini bila kulipiwa kodi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Polisi wasaka washukiwa wanne wa ugaidi Kenya
Maafisa wa usalama nchini Kenya wanawasaka washukiwa wanne wa ugaidi ambao wanadaiwa kukwepa msako wa polisi katika nyumba moja Mombasa.
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mshukiwa wa ugaidi ajisalimisha kwa polisi Kenya
Mmoja wa washukiwa wanne wa ugaidi waliokwepa msako wa polisi mjini Mombasa Jumatatu amejisalimisha kwa polisi akisindikizwa na babake.
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Polisi wazuilia meli bandarini Mombasa
Polisi nchini Kenya wanakagua meli inayoshukiwa kubeba dawa za kulevya katika bandari ya Mombasa baada ya operesheni iliyotekelezwa usiku wa manane.
11 years ago
MichuziPolisi TPA watunukiwa kwa kuimarisha usalama bandarini
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Serikali imetoa sifa kwa kitengo cha usalama cha Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuimarisha ulinzi katika bandari na hivyo kuchangia kuifanya bandari hiyo kuongeza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvuAmbhIO1dDLue4dvl2pbADM*R7Oo5CfhWhDXT-He4bR-Urxue1rDJzfcEKBHY1SGq1vau0L8HMlURVwzpZYLf4/Ngwajima.jpg?width=650)
SAKATA LA GWAJIMA, MAASKOFU WAWASHANGAA POLISI
Na Elvan Stambuli
Maaskofu kadhaa wamelishangaa jeshi la polisi kwa jinsi lilivyoliendesha sakata la kashfa ya matusi inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na kusema kwamba huenda kuna jambo nyuma ya pazia. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya maaskofu hao walisema sakata hilo sasa limeingizwa kinyemela kwenye mlango mwingine usiojulikana ...
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Waliokwepa kulipa kodi bandarini Tanzania wagunduliwa
Kampuni 43 ambazo zinamiliki makontena 329 yaliyokamatwa bandarini Tanzania wakati wa ziara ya kushtukiza ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa zimetambuliwa.
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Mangu aingilia kati sakata la TRA, Polisi
Sakata la wakwepa kodi mkoani Kagera limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu kumuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, George Mayunga kuwachunguza na kuwatia mbaroni askari wanaotuhumiwa kushirikiana na wafanyabiashara wa pombe kali maarufu viroba wanaokwepa kodi.
10 years ago
VijimamboSAKATA LA UTEKAJI WA WATOTO DAR, JESHI LA POLISI LAKANUSHA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha vikali juu ya uvumi unaoendelea jijini Dar es Salaam kuhusu utekaji nyara wa watoto wadogo wanaosoma shule.
Kutokana na Hivi karibuni umezuka uvumi kutoka kwa watu mbalimbali hasa wazazi ambao uvumi huu umewafikia kwamba kuna kundi la wahalifu wanaotumia gari aina ya NOAH rangi nyeusi ambao kazi yao ni kuteka nyara wanafunzi kwa nia ya kutenda uhalifu ikiwa ni pamoja na kuwachuna ngozi na madhara mengine.
...
10 years ago
GPLSAKATA LA JARIBIO LA KUUAWA, DR. SLAA ATINGA KITUO CHA POLISI
Akihojiwa na Wanahabari.    ..Slaa (kulia), akitoka katika lango kuu la kituo cha Polisi akiwa na viongozi wengine wa chama hicho.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania