Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wabaini ilipo tanzanite ya bil.10/- iliyoibwa

MADINI ya tanzanite kilo 15 yenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 10 ya kampuni ya Tanzanite One yaliyoibwa hivi karibuni wilayani Simanjiro katika Mkoa wa Manyara, yanadaiwa kufichwa eneo la Sakina na baadhi ya wauzaji wakubwa wa madini hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Tanzanite za bil 10/- zaibwa

WATU wanaosadikiwa ni majambazi wamepora madini ya tanzanite ya Kampuni ya TanzaniteOne ya Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara yenye uzito wa kilo 40 na thamani ya zaidi ya Sh bilioni 10.

 

9 years ago

Mtanzania

Tanzanite ya bil 2/- yakamatwa KIA

tanzaniteNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

WIZARA ya Nishati na Madini imekamata vipande 264 vya madini aina ya Tanzanite yenye thamani ya Sh bilioni 2.5 katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA).

Kukamatwa kwa madini hayo kulielezwa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalamani, katika mahojiano yake na MTANZANIA Jumamosi.

“Madini hayo yalikamatwa na Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA) ambapo raia wa India, Jain Anarugi, alitaka kuyasafirisha nje ya nchi hivi karibuni lakini sasa...

 

5 years ago

Michuzi

UCHUNGUZI WA AWALI WA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM WABAINI MWILI WA MANGULA UMEKUTWA NA SUMU


Na Said Mwisehe,Michuzi Blogu ya jamii

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam  Lazaro Mambosasa amesema jeshi hilo limebaini kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Bara Philip Mangulla mwili wake umekutwa na sumu.

Akizungumza leo Machi 9,2020 jijini Dar es Salaam ,Kamanda Mambosasa amewaambia waandishi wa habari kuwa jeshi  la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama pamoja taasisi nyingine lomebaini kuwa mzee Mangulla...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kahawa iliyoibwa Burundi yakamatwa Dar

SHEHENA ya magunia 300 ya kahawa kutoka Burundi iliyoibwa wakati ikisafrishwa kutoka nchini humo kwenda nje ya nchi kupitia Bandari ya Dar es Salaam, imepatikana. Habari zilizopatikana mwishoni mwa wiki...

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.


The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wanasa Sh2 bil bandia

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata noti bandia zenye thamani ya Dola 164 milioni za Marekani, sawa na takriban Sh2 bilioni.

 

11 years ago

Habarileo

Makosa ya madereva yawaingizia polisi bil.1.5/-

JESHI la Polisi limefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh 1,502,340,000 mwaka 2013, kutokana na makosa mbalimbali yakiwemo ya usalama barabarani, ukilinganisha na Sh 1,103,220,000 kwa mwaka 2012.

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri 16 wa fedha walioifikisha Tanzania ilipo sasa tangu uhuru

Wakati ikiwa imebaki miezi miwili kwa Serikali ya awamu ya tano ambayo ni mpya kuingia madarakani, macho na masikio ya Watanzania wengi yanasubiri kushuhudia mabadiliko makubwa katika nyanja mbalimbali.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani