Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wajiingiza kwenye siasa

JESHI la Polisi nchini limeamua kujiingiza katika mapambano ya kisiasa kwa kuwataka wananchi wasimsikilize Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe aliyetaka yawepo maandamano yasiyo na kikomo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi afanya siasa CCM

ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anadaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), suala ambalo ni kinyume na taratibu za jeshi. Kwa sasa Mwashibanda...

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi kuchungunza vyama vya siasa

IGP Ernest ManguNa Patricia Kimelemeta, Dar e Salaam
JESHI la Polisi nchini limetangaza kuanza uchunguzi dhidi ya vikundi vyote vya ulinzi na usalama vinavyoanzishwa na vyama vya siasa nchini.
Pamoja na hili limesema kuwa litachunguza kwa kina mafunzo yanayotolewa na vyama hivyo kama yanahusiana na shughuli za kijeshi au laa.
Hatua hiyo ya Jeshi la Polisi imekuja siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuzindua kikundi cha Ulinzi na Usalama (Red Brigade) katika mikoa ya Kanda za...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanamuziki wanaojiingiza kwenye siasa

Mwanamuziki wa miondoko ya Hip Hop nchini Tanzania Joseph Mbilinyi kwa sasa anatafuta kuwania kwa awamu ya pili katika uchaguzi. Anasimulia kuhusu sanaa na siasa.

 

10 years ago

GPL

WASANII WALIOJITOSA KWENYE SIASA

Joseph Haule ‘Prof. Jay’. BRIGHTON MASALU
HAMASA na mchecheto wa wasanii kujiingiza kwenye siasa, unazidi kukua kwa kasi huku baadhi yao wakionesha dhamira ya kweli kutaka kuwania nafasi mbalimbali hususan ubunge. Katika makala haya yanawaanika baadhi ya waliotangaza nia ya kuwania majimbo kupitia vyama mbalimbali. Msanii wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ STEVE NYERERE (KINONDONI)
...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi wasitoe amri, wakae na vyama vya siasa

Katikati ya wiki, Jeshi la Polisi lilitoa maelekezo kuwa kuanzia sasa wagombea urais kutoka vyama mbalimbali vya siasa, hawataruhusiwa kuambatana na misafara wakati wa kwenda kuchukua fomu na kuzirudisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

 

10 years ago

GPL

KAJALA AFUNGUKIA KUINGIA KWENYE SIASA

Imelda Mtema Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amefungukia kuingia kwenye siasa kuwa ni bora abaki kwenye upenzi na chama fulani kwani hawezi kugombea. Akizungumza na Amani juzikati, Kajala alisema kuwa, japokuwa wasanii wengi wakiwemo wa tasnia ya filamu Bongo, wamekuwa wakichukua fomu za kutaka kugombea nafasi mbalimbali za udiwani na ubunge lakini kwake hafikirii kitu kama hicho. ...Soma...

 

9 years ago

Michuzi

HATUTOKIBEBA WALA KUKIVUMILIA CHAMA CHOHCOTE CHA SIASA- POLISI

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles MkumboKamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo.
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limesema halipo tayari kukipendelea chama chochote kile cha siasa katika kipindi hiki cha uchaguzi utakaofanya Oktoba 25 mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo, wakati akizungumza na wanahabari.
Mkumbo amesema kuwa katika kipindi hiki, jeshi halitakuwa tayari kukipendelea chama cha siasa kwani lipo kwa ajili ya kutenda haki na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa siasa hizi, polisi, CCM mtatuingiza katika machafuko

MATUKIO ya polisi kuendelea kuua raia wasio na hatia kwa kutumia risasi za moto sehemu mbalimbali nchini, ni ishara kwamba Serikali ya CCM imeshindwa kutimiza wajibu wake wa kulinda usalama...

 

10 years ago

Mwananchi

Hakuna siasa kwenye mabadiliko ya nauli - Sumatra

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Gilliad Ngewe amesema suala la mabadiliko ya nauli nchini siyo la uamuzi wa kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani