Polisi wajiingiza kwenye siasa
JESHI la Polisi nchini limeamua kujiingiza katika mapambano ya kisiasa kwa kuwataka wananchi wasimsikilize Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe aliyetaka yawepo maandamano yasiyo na kikomo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Polisi afanya siasa CCM
ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anadaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), suala ambalo ni kinyume na taratibu za jeshi. Kwa sasa Mwashibanda...
10 years ago
Mtanzania23 Feb
Polisi kuchungunza vyama vya siasa
Na Patricia Kimelemeta, Dar e Salaam
JESHI la Polisi nchini limetangaza kuanza uchunguzi dhidi ya vikundi vyote vya ulinzi na usalama vinavyoanzishwa na vyama vya siasa nchini.
Pamoja na hili limesema kuwa litachunguza kwa kina mafunzo yanayotolewa na vyama hivyo kama yanahusiana na shughuli za kijeshi au laa.
Hatua hiyo ya Jeshi la Polisi imekuja siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuzindua kikundi cha Ulinzi na Usalama (Red Brigade) katika mikoa ya Kanda za...
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Wanamuziki wanaojiingiza kwenye siasa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuBpB5SZHYtCVLLpu*D6VHZkhxQBLXavHXmT3gp7sjqeTIXo8x4HB4mDlT7Mr4tvzQ7NZLxCtwLOETFIU*DMAWl2/JAY2.jpg?width=650)
WASANII WALIOJITOSA KWENYE SIASA
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Polisi wasitoe amri, wakae na vyama vya siasa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4h07Fv9vUGBdX*u6l*vG5EkAKSwkf*kSDH6O60RrVtaHKXuOPoPCsGSuGIovqrEO2e6glIP49TnLlUE8-Ohnjbw/Kajala.gif?width=650)
KAJALA AFUNGUKIA KUINGIA KWENYE SIASA
9 years ago
Michuzi23 Oct
HATUTOKIBEBA WALA KUKIVUMILIA CHAMA CHOHCOTE CHA SIASA- POLISI
![Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aPl2SfMT18NSrApzfK0Na-CBxBfoHrj10HxFg-jJ3sAgKM_3ogD5P4x_JHpe17rmrdfRL3tudWibYx2oYHVgt1jeJWaKNPOnrAIOadJZ44DtecjLsuEU0zLOfh5eM2KbwEzhEwk4-BE=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Charles-Mkumbo-620x309.png)
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limesema halipo tayari kukipendelea chama chochote kile cha siasa katika kipindi hiki cha uchaguzi utakaofanya Oktoba 25 mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo, wakati akizungumza na wanahabari.
Mkumbo amesema kuwa katika kipindi hiki, jeshi halitakuwa tayari kukipendelea chama cha siasa kwani lipo kwa ajili ya kutenda haki na...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Kwa siasa hizi, polisi, CCM mtatuingiza katika machafuko
MATUKIO ya polisi kuendelea kuua raia wasio na hatia kwa kutumia risasi za moto sehemu mbalimbali nchini, ni ishara kwamba Serikali ya CCM imeshindwa kutimiza wajibu wake wa kulinda usalama...
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Hakuna siasa kwenye mabadiliko ya nauli - Sumatra