Polisi wapewa milango migumu
KIWANDA cha kutengeneza mabati cha ALAF kimevipatia vituo vya polisi viwili vya Chang’ombe na Kilwa Road katika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam mabati magumu 16 kwa ajili ya ujenzi wa milango ya vyumba vya kuhifadhia silaha na mahabusu ili isiwe rahisi kubomolewa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Matola akiri michuano migumu
KOCHA msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amekiri michuano ya Kombe la Mapinduzi kuwa na ushindani mkali baada ya kukutana na changamoto kubwa kutoka kwa wapinzani wao. Simba kabla ya jana,...
10 years ago
Vijimambo03 May
POLISI ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Magereza yafungua milango ya ushirikiano
JESHI la Magereza nchini pamoja na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) wametiliana saini makubaliano katika kuboresha na kuimarisha ushirikiano kati ya pande hizo mbili. Akizungumza na wajumbe mbalimbali waliohudhuria...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Sibiti: Warioba ametufungulia milango
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Catherine Sibiti, amesema Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amefungua milango ya jamii ya wakulima kutambuliwa kikatiba. Akizungumza na Tanzania...
11 years ago
Habarileo29 Jul
Sikika yafungiwa milango Kondoa
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eTK84mM5zdLfaf67oAonKYqNMT*0dRBh0cqH701vdnzDeJ9qxDYOSTlpnrWSh9mxfUILS5GmYZ8fZg8IekK-w4/yondani.gif?width=650)
Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga
11 years ago
Mwananchi04 May
CUF Taifa yafungua milango ya uongozi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3J7ZPLUrotM/U_79879Z1NI/AAAAAAAGJ_E/Fa9zuRf5QDo/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Airtel yazidi kufungua milango ya biashara mikoani
Akifungua duka hilo lililopo eneo la Mtaa wa Kawawa Mjini Bukoba, alisema litakuwani chachu ya maendeleo, kwa wakazi wa mkoani Kagera ambapo litarahisisha huduma kwa wananachi.
“Ufunguzi wa hili duka hapa kwetu litakuwa ni chachu ya maendeleo kwa wateja wa Air tel na...
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Shein afungua milango kwa wawekezaji Ulaya