Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wapewa milango migumu

KIWANDA cha kutengeneza mabati cha ALAF kimevipatia vituo vya polisi viwili vya Chang’ombe na Kilwa Road katika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam mabati magumu 16 kwa ajili ya ujenzi wa milango ya vyumba vya kuhifadhia silaha na mahabusu ili isiwe rahisi kubomolewa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Matola akiri michuano migumu

KOCHA msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amekiri michuano ya Kombe la Mapinduzi kuwa na ushindani mkali baada ya kukutana na changamoto kubwa kutoka kwa wapinzani wao. Simba kabla ya jana,...

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU

Mratibu wa Mafunzo ya Haki za Binadamu kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Bi.Jina Mwinyi Waziri akiwakaribisha Maofisa Polisi katika Mafunzo ya Haki za Binadamu kwa Jeshi la Polisi .Mkurugenzi Mtendaji Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC Bi.Harusi Miraji Mpatani akimkaribisha Mgeni Rasmi Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame katika Mafunzo ya kuwajengea uwezo Polisi juu ya umuhimu wa kutunza Haki za Binadamu.Mgeni Rasmi Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magereza yafungua milango ya ushirikiano

JESHI la Magereza nchini pamoja na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) wametiliana saini makubaliano katika kuboresha na kuimarisha ushirikiano kati ya pande hizo mbili. Akizungumza na wajumbe mbalimbali waliohudhuria...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sibiti: Warioba ametufungulia milango

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Catherine Sibiti, amesema Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amefungua milango ya jamii  ya wakulima kutambuliwa kikatiba. Akizungumza na Tanzania...

 

11 years ago

Habarileo

Sikika yafungiwa milango Kondoa

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.

 

11 years ago

GPL

Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga

Na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya Yanga kuondokewa na nyota wake wawili, Frank Domayo na Didier Kavumbagu waliokwenda kujiunga na Azam FC huku pia beki wake wa kulia, Mbuyu Twite akigoma kuingia mkataba mpya na klabu hiyo, wachezaji wengine wa timu hiyo ambao ni Hamisi Kiiza, Kelvin Yondani na Haruna Niyonzima wamefunguliwa mlango ya kuondoka klabuni hapo kama wanataka. Maamuzi hayo yalifikiwa juzi Jumamosi katika...

 

11 years ago

Mwananchi

CUF Taifa yafungua milango ya uongozi

Chama cha Wananchi (CUF) kimefungua milango ya kugombea nafasi za uongozi taifa ngazi ya Mwenyekiti, Makamu na Katibu Mkuu utakaotangazwa baadaye baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu wa Kamati Kuu Taifa.

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yazidi kufungua milango ya biashara mikoani

MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Mkoani Kagera Bi. Zipora Pangani ameipongeza Kampuni ya Simu za Mkononi Airtel kwa kufungua duka kubwa, ambalo litatoa huduma mbalimbali kwa wateja ikiwemo kutuma na kutoa fedha ya (AIRTEL MONEY).
Akifungua duka hilo lililopo eneo la Mtaa wa Kawawa Mjini Bukoba, alisema litakuwani chachu ya maendeleo, kwa wakazi wa mkoani Kagera ambapo litarahisisha huduma kwa wananachi.
“Ufunguzi wa hili duka hapa kwetu litakuwa ni chachu ya maendeleo kwa wateja wa Air tel na...

 

10 years ago

Mwananchi

Shein afungua milango kwa wawekezaji Ulaya

Nchi za Magharibi zimetakiwa kuongeza jitihada zaidi kuhamasisha ukuaji wa viwanda barani Afrika ili zizalishe bidhaa zinazovutia masoko ya dunia badala ya kusafirisha malighali kutoka Afrika kwenda katika nchi hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani