Sibiti: Warioba ametufungulia milango
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Catherine Sibiti, amesema Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amefungua milango ya jamii ya wakulima kutambuliwa kikatiba. Akizungumza na Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRAIS JPM ATEKELEZA AHADI YA KUJENGA DARAJA LA MTO SIBITI MKOANI SINGIDA ALILOAHIDI MWAKA 2015
Na Jumbe Ismailly- MKALAMA
WANANCHI wa Kata ya Msingi,pamoja na vijiji vinavyozunguka kata hiyo wilayani Mkalama,Mkoani Singida wataondokana na adha ya kutokwenda kwenye huduma za afya,elimu pamoja na kusafiri kwenda kwenye masoko ya mazao wanayozalisha mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa daraja la mto Msingi.
Ujenzi wa daraja hilo ulioanza kujengwa juni,11,mwaka jana kwa mkataba wa miezi 24 ni utekelezaji wa ahadi aliyotoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Magufuli...
11 years ago
Dewji Blog26 May
Kinana akagua Ujenzi Daraja la Sibiti linalounganisha Singida na Simiyu na kuhutubia mamia ya Wananchi katika Mikutano ya hadhara Iramba
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa orodha ya vijiji vitakavyopata huduma ya umeme katika wilaya ya Mkalama, alipohutubia mkutano wa hadharakwenye kijiji cha Nkungi, Wilaya humo, Mei 24, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadsiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya ya Iramba mkoani Singida.
Mkuu wa mkoa wa Singida Dk. Parseko Kone (aliyenyoosha mkono) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj5l-WSI6eA/VgFSUm3kmGI/AAAAAAAAn6Y/SduVxz1S-9c/s640/2.jpg)
11 years ago
Habarileo29 Jul
Sikika yafungiwa milango Kondoa
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Sikika limefukuzwa kufanya kazi zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutokana na kutuhumiwa kudhalilisha madiwani na watendaji kwa wananchi kwa kudai hawajasoma na hawawajibiki katika utendaji wao.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Magereza yafungua milango ya ushirikiano
JESHI la Magereza nchini pamoja na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) wametiliana saini makubaliano katika kuboresha na kuimarisha ushirikiano kati ya pande hizo mbili. Akizungumza na wajumbe mbalimbali waliohudhuria...
10 years ago
Habarileo08 Aug
Polisi wapewa milango migumu
KIWANDA cha kutengeneza mabati cha ALAF kimevipatia vituo vya polisi viwili vya Chang’ombe na Kilwa Road katika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam mabati magumu 16 kwa ajili ya ujenzi wa milango ya vyumba vya kuhifadhia silaha na mahabusu ili isiwe rahisi kubomolewa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eTK84mM5zdLfaf67oAonKYqNMT*0dRBh0cqH701vdnzDeJ9qxDYOSTlpnrWSh9mxfUILS5GmYZ8fZg8IekK-w4/yondani.gif?width=650)
Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga
11 years ago
Mwananchi04 May
CUF Taifa yafungua milango ya uongozi