Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Mbarawa atoa maagizo Dawasco

mbarawaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa amelitaka Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (Dawasco), kufikisha maji kwa wateja milioni moja hadi kufikia Juni mwaka ujao.

Mbarawa alimtaka Mkurugenzi wa Dawasco, Cyprian Luhemeja kuongeza makadirio waliyokuwa wamejiwekea kwa kuongeza wateja kutoka  148,000 waliopo kwenye bili hadi kufikia milioni moja.

Profesa Mbarawa aliyasema hayo jana katika ziara yake ya kwanza tangu alipoteuliwa kushika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Profesa Mbarawa azitaka TRL na RAHCO kujiimarisha

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Prof. Makame Mbarawa amezungumzia umuhimu wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.
Akizungumza na watendaji wa TRL na RAHCO Prof. Mbarawa amewataka watendaji hao kutengeneza mkakati utakaowezesha usafiri wa reli nchini kuwa wa uhakika kwa abiria na mizigo ili kupunguza msongamano kwenye barabara na kuwezesha shehena kubwa ya mizigo...

 

11 years ago

Mwananchi

Tafiti zichochee maendeleo ya nchi - Profesa Mbarawa

Vyuo vikuu nchini vimetakiwa kufanya tafiti nyingi zaidi zitakazochochea maendeleo kwa wananchi badala ya kujineemesha kwa matumizi ya kitaaluma.

 

10 years ago

Vijimambo

Profesa Mbarawa Azindua Kampeni ya Kuwania Ubunge Jimbo la Mkoani Pemba.

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Profesa Mbarawa azindua kampeni za kugombea Ubunge Jimbo la Mkoani Pemba akiwahutubia wananchi.katika viwanja vya mpira Chokocho mkanyageni Pemba Profesa Mbarawa akiwahutubia Wananchi wa Mkoani wakati wa mkutano wake wa uzinduzi wa Kampeni ya Ubunge kugombea Jimbo la Mkoani uliofanyika katika viwanja vya chokocho mkoani Pemba Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakimsikiliza Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkoani Pemba Profesa Mbarawa akiwahutubia na...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU: ATOA MAAGIZO

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepiga marufuku shughuli zisizohusiana na taaluma kama ujenzi wa viwanda katika maeneo ya shule ili kutoa fursa kwa wanafunzi kuwa kwenye mazingira mazuri ya kujifunzia.
“Sheria inakataza kuweka matumizi yoyote yasiyokuwa ya kitaaluma katika maeneo ya shule kwani yanasababisha kelele hivyo wanafunzi kushindwa kusoma vizuri.”
Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni(Jumanne, Machi 3, 2020) baada ya kupokea malalamiko ya wazazi kuhusu eneo la shule ya msingi...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbarawa atoa siku tatu ukarabati wa reli

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewataka watendaji wa Shirika la Reli nchini na Kampuni Hodhi ya Mali za Reli (RAHCO), kuhakikisha sehemu ya reli iliyosombwa na mafuriko wilayani Kilosa inaunganishwa ndani ya siku tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

JK atoa maagizo makali, ripoti ya CAG

>Rais Jakaya Kikwete amekabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka unaoishia Juni 2014 na kuagiza vyombo vya dola kuwabaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za umma, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria.

 

10 years ago

Michuzi

PROFESA MBARAWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MKOANI PEMBA KWA TIKETI YA CCM AKIZINDUA KAMPENI

Profesa Mbarawa mgombea ubunge jimbo la mkoani Pemba kwa tiketi ya CCM akizungumza na wananchi wa Mkoani Pemba wakati wa kuzindua kampeni za chama cha CCM mkoani humo jana.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE

WAZIRI wa Maji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Profesa Makame Mbarawa amerejesha fomu ya kuwania uteuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea wake wa urais Zanzibar.

Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19,  mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.

Hivyi leo Juni 27,2020  amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.

Wakati alipochukua fomu...

 

5 years ago

Bongo5

Profesa Kitila awamwagia sifa Dawasco na kutoa agizo hili….

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo amewamwagia sifa Kampuni ya Usambazaji wa Maji Dar es Salaam (DAWASCO) pamoja na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam, huku akitaka mamlaka hiyo kuongeza kasi ya usambazaji na upatikanaji wa huduma hiyo kwa wananchi.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo

Profesa Kitila Mkumbo, wakati akiongea na Menejimenti ya Mamlaka hizo Jijini Dar es Salaam alisema, “Nawapongeza sana Dawasco kwani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani