Tafiti zichochee maendeleo ya nchi - Profesa Mbarawa
Vyuo vikuu nchini vimetakiwa kufanya tafiti nyingi zaidi zitakazochochea maendeleo kwa wananchi badala ya kujineemesha kwa matumizi ya kitaaluma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Profesa Mbarawa atoa maagizo Dawasco
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa amelitaka Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (Dawasco), kufikisha maji kwa wateja milioni moja hadi kufikia Juni mwaka ujao.
Mbarawa alimtaka Mkurugenzi wa Dawasco, Cyprian Luhemeja kuongeza makadirio waliyokuwa wamejiwekea kwa kuongeza wateja kutoka 148,000 waliopo kwenye bili hadi kufikia milioni moja.
Profesa Mbarawa aliyasema hayo jana katika ziara yake ya kwanza tangu alipoteuliwa kushika...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1QxZNC-Iy5I/VoOjXrer17I/AAAAAAAIPTc/TFYk1PUQvuk/s72-c/makame.jpg)
Profesa Mbarawa azitaka TRL na RAHCO kujiimarisha
![](http://3.bp.blogspot.com/-1QxZNC-Iy5I/VoOjXrer17I/AAAAAAAIPTc/TFYk1PUQvuk/s400/makame.jpg)
Akizungumza na watendaji wa TRL na RAHCO Prof. Mbarawa amewataka watendaji hao kutengeneza mkakati utakaowezesha usafiri wa reli nchini kuwa wa uhakika kwa abiria na mizigo ili kupunguza msongamano kwenye barabara na kuwezesha shehena kubwa ya mizigo...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-o1o8ItzeL9E/Ve5vtLknJMI/AAAAAAAB8V4/SMzDO3qvVLM/s72-c/20150907_172719.jpg)
Profesa Mbarawa Azindua Kampeni ya Kuwania Ubunge Jimbo la Mkoani Pemba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-o1o8ItzeL9E/Ve5vtLknJMI/AAAAAAAB8V4/SMzDO3qvVLM/s640/20150907_172719.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z1GJzzDuQqk/Ve6YNIKIGWI/AAAAAAAB8Wk/Zw6frFKgODQ/s640/pba%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pc51qeKSPJc/Ve6YPpCw3FI/AAAAAAAB8Ws/7HrPh4UplVc/s640/pba%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HJBJ7Rw8zSw/XvXjoWwiQ0I/AAAAAAALvhY/VQ_ORKqSnKAwbMUdrwLqIwdWPaRJfOTSACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.56.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE
Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19, mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.
Hivyi leo Juni 27,2020 amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.
Wakati alipochukua fomu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xVyxEQbkuBY/Ve5dxdeDm8I/AAAAAAAH3Ng/9L10hvnK7xU/s72-c/20150907_172711.jpg)
PROFESA MBARAWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MKOANI PEMBA KWA TIKETI YA CCM AKIZINDUA KAMPENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-xVyxEQbkuBY/Ve5dxdeDm8I/AAAAAAAH3Ng/9L10hvnK7xU/s640/20150907_172711.jpg)
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
9 years ago
MichuziPROFESA MUHONGO: MAENDELEO NI KWA VITENDO SIO MANENO
9 years ago
MichuziMAENDELEO NI KWA VITENDO SIO MANENO: PROFESA MUHONGO
Profesa Muhongo alidhihirisha hayo juzi katika kijiji cha Murangi, Mkoani Mara katika kikao chake na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo, watendaji wa Halmashauri ya Musoma Vijijini na madiwani huku lengo la kikao likiwa ni kujadili mipango na miradi ya uchumi na maendeleo ya jimbo...
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Profesa Shivji: Migogoro ya ardhi ni adui wa maendeleo ya wananchi