Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAHA YA MAPENZI MBILI ZA MKWEZI!

Jamani eeh! Japokuwa ni  tamu lakini kula kwa hamu ili isiishe utamu, siku zote tamu ukizidisha hukinaisha. Vijana mkikutana jamani mnakuwa kama ugomvi wa faru, nguvu nyingi kuliko akili, hayo ni mapenzi au kukomoana. Halafu ona ujinga wa watu utamsikia mtu akisema jana mtu kakimbia na kufuli mkononi, sasa sifa au ujinga huo?Nani alikuambia mapenzi ni vita? Kaka mapenzi starehe mkifika mwisho kila mmoja atoe asante ya safari...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAPENZI YA RAHA AU KARAHA, MWAMUZI NI WEWE!-2

TUNAENDELEA kujifunza katika mada yetu iliyoanza wiki iliyopita, leo ikiwa ni sehemu ya mwisho. Nilishafafanua mengi lakini niliishia pale niliposema kwamba, ukweli kwa wapenzi ni jambo la msingi. Unapojaribu kudanganya wakati ukweli unao moyoni kuwa huna nia ya kumuoa (kama ni mwanaume), siku ukimuacha akitamka neno lolote baya ujue linaweza kukufika na maisha yako yakaanza kuwa hatarini (kimafanikio). Hii inamaanisha kuwa kama...

 

11 years ago

GPL

MAPENZI YA RAHA AU KARAHA, MWAMUZI NI WEWE!

BILA shaka utakuwa mzima wa afya njema, karibu katika safu yenu ambayo huboresha uhusiano na wenzi wetu. Mpenzi msomaji wangu, mapenzi yana raha na karaha zake. Huo ni ukweli ambao hauwezi kubadilishwa, lakini pamoja na hayo, raha ya mapenzi ni furaha. Huwezi kuwa kwenye mahusiano yenye matatizo kila siku. Hata hivyo, yanaweza kuwa karaha ikiwa  utaamua iwe hivyo. Ni suala la kuamua tu. Inawezekana kero zikasababishwa na sisi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]

 KAMATI mbili kati ya 12 za Bunge Maalum la Katiba zimehitimisha kazi yake katika kujadili sura mbili za rasimu huku zote zikipendekeza muundo wa serikali mbili za Muungano katika Sura ya Kwanza na ile ya Sita badala ya Shirikisho.

 

11 years ago

Habarileo

Theluthi mbili kuelekea serikali mbili si tatizo

Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 9 ya Bunge Maalumu la Katiba, William NgelejaWAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kama wataacha ushabiki wa vyama na kujikita zaidi kwenye hoja, uwezekano wa kupatikana kwa theluthi mbili kuelekea katika mfumo wa serikali mbili upo.

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita utakumbuka nilizungumzia suala la kuwajali wapenzi wetu. Niligusia suala ya kuwapa nafasi watuchune. apo walioshituka kuona kichwa kile cha habari lakini kiukweli sikumaanisha kuchuna kule ambako wanawake micharuko hufanya hasa kwa waume za watu, nilimaanisha utayari wa kila mmoja kumsaidia mwenzake kifedha. Mkeo akitaka pesa ili aende saluni kama zipo, mpe! Akihitaji pesa akanunulie vipodozi...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2

Uhali gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni matumaini yangu umzima kabisa na uko tayari kusoma muendelezo wa makala haya ambayo niliianza wiki iliyopita. Maudhui hasa ya makala haya ni kuwatahadharisha baadhi ya watu ambao wanahusudu mapenzi kuliko kitu kingine utadhani wana pepo la ngono. Sikatai, kufanya mapenzi ni kitu muhimu sana hasa kwa watu walioingia kwenye ndoa. Kwa kifupi ni haki ya kila mmoja kuridhishwa na mwenza wake...

 

11 years ago

Michuzi

raha ya vijijini...

 Raha ya vijijini ni chakula fresh kutoka shambani. Hapo juu Ankal akiwa Kiwira akiburudika na 'mabifu', na chini  akitoka shambani  kuchuma miwa huko Tukuyu, mkoani Mbeya

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa aahidi raha

WAZIRI Mkuu mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Kassim Majaliwa, amewaahidi raha wanamichezo, akisema ni eneo analolifahamu vyema na wasihofu katika hilo. Kutokana na hali hiyo amesema atamshauri Rais John Magufuli kumteua Waziri atakayeshughulikia michezo yule ambaye ana uelewa mpana zaidi wa mambo ya michezo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani