Rai ya Mdau hukusu Katiba
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WtHrD099Nyk/U90QGFmpbpI/AAAAAAAF8fE/iDi1kGv1SBI/s72-c/unnamed+(6).jpg)
UKAWA warudi bungeni, mchakato wa katiba uendelee - Mdau Magesa
![](http://4.bp.blogspot.com/-WtHrD099Nyk/U90QGFmpbpI/AAAAAAAF8fE/iDi1kGv1SBI/s1600/unnamed+(6).jpg)
Nchi yetu ina bahati kupata viongozi wasikuvu na wenye nia njema na Taifa letu na ndio maana Mhe. Rais Kikwete alikubali hoja ya kuandika upya katiba licha ya kwamba haikuwa kwenye ilani wala vipaumbele vya Chama Cha Mapinduzi.
Na CCM kwa kuwa nia yake ni njema kwa Watanzania na ndio maana ikaridhia na mchakato ukaanza kwa utaratibu uliokubalika...
10 years ago
Bongo Movies10 Jan
Hatimaye Chuchu Hans Afunguka Hukusu “Kuachana na Ray”
Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Chuchu Hans hivi majuzi amekanusha madai ya kuwa ameachana na mpenzi wake Vicent Kigosi ‘Ray’ .Kwakueleza kuwa hakuna ukweli wowote juu ya hilo. Chuchu alifikia uamuzi wa kufafanua juu ya madai hayo juzi kufuatia tetesi zilizokuwa zimeenea kwamba yeye na kipenzi chake huyo wametibuana na sasa kila mtu kimpango wake.
Akifungukia juu ya uvumi huo Chuchu alisema: “Kutakuwa na watu wanaosambaza uongo huo, huwezi kuamini muda si mrefu nilikuwa na baby...
9 years ago
Mtanzania07 Oct
Wanaolichafua gazeti la RAI kukiona
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, RAI, Bingwa, Dimba na The African, imelaani vikali, uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu unaofanywa na watu wasio na nia njema na kampuni hiyo.
Watu hao juzi walitengeneza mfano wa gazeti la RAI lenye ujumbe hasi na kulisambaza katika mitandao ya kijamii, likiwa na taarifa mbalimbali za uongo na uzushi ambazo haziuhusu uongozi wa kampuni hiyo na magazeti yake kwa ujumla wake.
Akizungumzia hali hiyo...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Wauza mafuta kubalianeni-Rai
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Wapeni haki walemavu - Rai
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Watanzania tumieni fursa za migodini - Rai
11 years ago
Mwananchi11 May
Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2lVpiCgteZE/VnR2w0Xnv2I/AAAAAAAINTg/6J2iAKyZFwE/s72-c/Award%2B-%2Bii.jpg)
Prof. Rai receives Africa Education Award
![](http://1.bp.blogspot.com/-2lVpiCgteZE/VnR2w0Xnv2I/AAAAAAAINTg/6J2iAKyZFwE/s400/Award%2B-%2Bii.jpg)
Endorsed by World Corporate Social Responsibility (CSR) Day and other organizations, a number of awards has been given to various leaders in Africa whose leadership in various organizations and in varying disciplines has demonstrated significant impact to the community.
During...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB02 Oct