Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rai ya Mdau hukusu Katiba

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UKAWA warudi bungeni, mchakato wa katiba uendelee - Mdau Magesa

Ndugu zangu Watanzania nafasi tuliyonayo sasa ni muhimu tukaitumia vizuri ili kuandika katiba yetu upya ili kukidhi matakwa ya sasa na vizazi vijavyo.
Nchi yetu ina bahati kupata viongozi wasikuvu na wenye nia njema na Taifa letu na ndio maana Mhe. Rais Kikwete alikubali hoja ya kuandika upya katiba licha ya kwamba haikuwa kwenye ilani wala vipaumbele vya Chama Cha Mapinduzi.
Na CCM kwa kuwa nia yake ni njema kwa Watanzania na ndio maana ikaridhia na mchakato ukaanza kwa utaratibu uliokubalika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye Chuchu Hans Afunguka Hukusu “Kuachana na Ray”

Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Chuchu Hans hivi majuzi amekanusha madai ya kuwa ameachana na mpenzi  wake Vicent Kigosi ‘Ray’ .Kwakueleza kuwa hakuna ukweli wowote juu ya hilo. Chuchu alifikia uamuzi wa kufafanua juu ya madai hayo juzi kufuatia tetesi zilizokuwa zimeenea kwamba yeye na kipenzi chake huyo wametibuana na sasa kila mtu kimpango wake.

Akifungukia juu ya uvumi huo Chuchu alisema: “Kutakuwa na watu wanaosambaza uongo huo, huwezi kuamini muda si mrefu nilikuwa na baby...

 

9 years ago

Mtanzania

Wanaolichafua gazeti la RAI kukiona

kibandaNA MWANDISHI WETU

KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, RAI, Bingwa, Dimba na The African, imelaani vikali, uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu unaofanywa na watu wasio na nia njema na kampuni hiyo.

Watu hao juzi walitengeneza mfano wa gazeti la RAI lenye ujumbe hasi na kulisambaza katika mitandao ya kijamii, likiwa na taarifa mbalimbali za uongo na uzushi ambazo haziuhusu uongozi wa kampuni hiyo na magazeti yake kwa ujumla wake.

Akizungumzia hali hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wauza mafuta kubalianeni-Rai

Wafanyabiashara wa mafuta wa rejareja wanaokodi vituo vya mafuta kutoka kwa wauzaji wa jumla, wameshauriwa kufanya maridhiano na wakodishaji wao katika mchakato wa kugawana gawio la faida ili kuepuka mgogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

Wapeni haki walemavu - Rai

Wenyeviti wa mitaa na vitongoji wametakiwa kufuatilia taarifa za watoto hasa wenye ulemavu katika maeneo yao ili kubaini mapema vitendo vya mateso na ukatili wanavyofanyiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania tumieni fursa za migodini - Rai

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Udhibiti na Ukaguzi wa Uzalishaji na Biashara ya Madini kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), Mhandisi Liberatus Chizuzu amewahimiza Watanzania kutumia fursa za kufanya biashara katika kampuni za migodi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai

Wazazi wametakiwa kutilia mkazo lishe na afya za watoto wao, kwani kwa kufanya hivyo kutawaongezea uwezo wa kujifunza shuleni.

 

9 years ago

Michuzi

Prof. Rai receives Africa Education Award

Prof. Idris Ahmada Rai, the Vice Chancellor of the State University of Zanzibar (SUZA) has been awarded the Africa Education Award at the World Sustainability Congress held in Mauritius on 8-9 December, 2015. 
Endorsed by World Corporate Social Responsibility (CSR) Day and other organizations, a  number  of  awards has been  given to  various leaders in Africa  whose leadership  in various organizations and in varying disciplines  has demonstrated  significant impact to the community.  
During...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani