Wanaolichafua gazeti la RAI kukiona
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, RAI, Bingwa, Dimba na The African, imelaani vikali, uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu unaofanywa na watu wasio na nia njema na kampuni hiyo.
Watu hao juzi walitengeneza mfano wa gazeti la RAI lenye ujumbe hasi na kulisambaza katika mitandao ya kijamii, likiwa na taarifa mbalimbali za uongo na uzushi ambazo haziuhusu uongozi wa kampuni hiyo na magazeti yake kwa ujumla wake.
Akizungumzia hali hiyo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Zitto Kabwe, MB02 Oct
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo
Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.
Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Wauza mafuta kubalianeni-Rai
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Wapeni haki walemavu - Rai
11 years ago
Michuzi13 Apr
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Watanzania tumieni fursa za migodini - Rai
9 years ago
MichuziProf. Rai receives Africa Education Award
Endorsed by World Corporate Social Responsibility (CSR) Day and other organizations, a number of awards has been given to various leaders in Africa whose leadership in various organizations and in varying disciplines has demonstrated significant impact to the community.
During...
11 years ago
Mwananchi11 May
Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai
9 years ago
Mtanzania08 Oct
Kibanda: Ole wao wanaochafua magazeti ya MTANZANIA, RAI
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, RAI, Bingwa Dimba na The African, imelaani vikali, uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu unaofanywa na watu wasio na nia njema na kampuni
hiyo.
Jana watu hao wasio na nia njema na kampuni hiyo, hasa magazeti ya MTANZANIA na RAI, walitengeneza mfano wa magazeti hayo kisha kuyaweka kwenye mitandao ya kijamii, yakiwa na taarifa mbalimbali za uongo na uzushi.
Akizungumzia hali hiyo jijini Dar es Salaam...