Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper Baghdad kutoa mkwanja kila siku kwa mashabiki wake, fahamu mchakato ulivyo

Rapper Baghdad amewaandalia zawadi ya shilingi 5,000 kila siku mashabiki wake watakaosupport ngoma yake mpya, Haters. Akiongea na Bongo5, Baghdad ambaye pia ni mtangazaji wa EFM amesema: Shindano la kutoa buku 5 kila siku kwenye Instagram, Facebook, naWhatsaap limeanza rasmi leo. Masharti ni kufanya wimbo wa Haiters -baghdad ft Drea , kuwa muito wa wakupigiao, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

SKYLIGHT YAENDELEA KUKONGA NYOYO MASHABIKI WAKE NDANI YA ESCAPE ONE MIKOCHENI NI KILA SIKU YA JUMAPILI

Wanaume wa shoka wakilisakata rhumba wakati wa kuwafurahisha mashabiki wa bendi ya Skylight wakati wa mkesha wa eid Mwimbaji wa bendi ya Skylght Natasha akiwa anawapa mashabiki vionjo vya nyimbo za taratibu (kistaarabu) wakati wa mkesha huo wa Eid ndani ya kiwanja cha Escape One Mikocheni.
Bendi ya waimbaji wakali wa Skylight ikirindimisha baadhi ya nyimbo zao huku mbele kabisa akiwa anawaongoza wenzake katika uimbaji wa nyimbo hiyo Sony Samba.Ashura Kitenge (kushoto) akiwa na Kasongo Junior...

 

9 years ago

Dewji Blog

Skylight yaendelea kukonga nyoyo mashabiki wake ndani ya Escape One Mikocheni ni kila siku ya Jumapili

Wanaume wa shoka wakilisakata rhumba wakati wa kuwafurahisha mashabiki wa bendi ya Skylight wakati wa mkesha wa eid  Mwimbaji wa bendi ya Skylght Natasha akiwa anawapa mashabiki vionjo vya nyimbo za taratibu (kistaarabu) wakati wa mkesha huo wa Eid ndani ya kiwanja cha Escape One Mikocheni Bendi ya waimbaji wakali wa Skylight ikirindimisha baadhi ya nyimbo zao huku mbele kabisa akiwa anawaongoza wenzake katika uimbaji wa nyimbo hiyo Sony Samba. Ashura Kitenge (kushoto) akiwa na Kasongo...

 

10 years ago

Vijimambo

dris Mshindi wa BBA Aonyesha Nyumba yake Aliyonunua na Kutoa Ujumbe Mkali kwa Mashabiki wake

"I have seen thousands of people through my life time, got helped and expected to do alot in return, broken and crushed with no one to pick me up. I have struggled from ground level with all sorts of sayings like "you will never make it" to where i am now. I have shaken millions of hands not knowing who has good intentions with me. The world is for everyone who has a dream and a good will to it. The world is for all who want to change lives and make people smile. The world full of good...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND KUTOA BURUDANI ADIMU KWA MASHABIKI WAKE NDANI YA ESCAPE ONE SIKUKUU YA X-MASS NA BOXING DAY

Kutoka kushoto ni Kipaji kipya ndani ya Skylight Band anafahamika kama DONODE, DIGNA MBEPERA, SAM MAPENZI na ANETH KUSHABA AK47 wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani ambapo X-MASS pamoja na BOXING DAY watakinukisha kwenye kiota cha Escape One kwenye upepo mwanana wa bahari.....Njoo ufurahie mapumziko yako na Band nambari moja mujini wengine wanafuata.… ...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rapper mkongwe wa Marekani, LL Cool J awashukuru mashabiki wa Afrika Mashariki kwa Kiswahili

Rapper na muigizaji mkongwe wa Marekani, James Todd Smith akifahamika zaidi kwa jina la LL Cool J ameamua kuwa-surprise mashabiki wa Afrika mashariki kwa kuwashukuru kwa kisichojulikana, lakini kilichovuta ‘attention’ zaidi ni lugha aliyotumia, amewashukuru kwa Kiswahili. Rapper huyo amepost video Instagram akisema “Kwa fans wangu wa Afrika Mashariki asante sana”, na kumaliza kwa kicheko. […]

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

9 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote

Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.

Na Mwandishi Wetu ,

Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.

Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi

Kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mtindo wa maisha umebadilika ikiwamo watu wengi kutumia usafiri wa magari hata kwa safari ya umbali mfupi

 

10 years ago

Michuzi

CCM ZANZIBAR WAANZA MCHAKATO WA KUTOA FOMU KWA WAGOMBEA WA UBUNGE

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhiwa Fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Kaskazini “B “ Bibi Subira Mohammed kuomba ridhaa kwa CCM kugombea Uwakilishi Jimbo Jipya la Mahonda. Katibu wa Chama cha Mapinduzi {CCM} Wilaya ya Kaskazini “B “ Bibi Subira Mohammed akimpatia maelezo Balozi Seif mara baada ya kumkabidhi Fomu kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kugombea Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Jimbo la Mahonda hapo Ofisi ya CCM Wilaya hiyo Mahonda. Balozi Seif...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani