Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ray Kutoa Milioni 1 Kwa Atayeleta Filamu ya V.I.P

MWIGIZAJI na Muongozaji mahiri wa filamu Vincent Kigosi ‘Ray’ ametangaza dau nono kwa kwa mtu yoyote anayedhibitisha kuwa filamu yake ya V.I.P kuwa imeigwa kutoka katika filamu yoyote kutoka nje ya nchi au ndani ya nchi mtu atayefanya hivyo atampatia milioni moja taslimu.

Ray alifikia hivyo baada ya mtu mmoja kuwashutumu wasanii wakubwa kuwa wamekuwa mabingwa wa kuiga filamu kutoka nje yaani (Copy and paste) wakati wakijadili filamu ya Mzee wa Swaga ya JB iliyoigwa kutoka katika moja ya...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”

Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.

By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram

 

5 years ago

Michuzi

RAIA WAWILI WA CHINA WAFIKISHWA KORTINI KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA YA MILIONI 11.5 KWA KAMISHNA MKUU WA TRA

 Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii
RAIA wa wawili wa China wanaoishi Mkoa Iringa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shitaka la kutoa rushwa ya Sh. Milioni 11.5 kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Dk. Edwin Mhede.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU ) Mwakatobe Mshana imewataja washtakiwa hao kuwa ni Heng Rongnan (50) na Ou Ya (47) wote wakazi wa Kinyambo ...

 

9 years ago

Global Publishers

Kampuni ya Edosama kutoa madawati milioni moja na nusu bure kwa nchi nzima

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd, Edward Maduhu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mradi wa kutengeneza madawti hayo na changamoto ya kukwamishwa kwa mradi huo na baadhi ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na watendaji wa serikali. Kulia ni Meneja Mwendeshaji wa Shule za St Marys, Didas Mhoja  na Kushoto ni  Mmoja wa Wakurugenzi wa kampuni hiyo, Jonas Mnzava.  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd,...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.

Lorietha Laurence -Maelezo.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo  ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa  kwa kupata kibali cha kuingia sokoni  kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza  katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza  kampuni ya Al-Riyamy Production  ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za  TRA...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA YAIDHINISHA KUTOA MKOPO WA DOLA ZA KIMAREKEANI MILIONI 500 KWA TANZANIA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU



Na Leandra Gabriel, Michuzi TV


BENKI ya dunia kupitia bodi ya wakurugenzi imeidhinisha kutolewa kwa mkopo wa dola za kimarekani milioni 500 (USD 500) kusaidia sekta ya elimu hasa kwa kuwawezesha vijana wa kitanzania kupata na kumaliza elimu ya Sekondari salama na katika mazingira bora.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Benki ya dunia imeelezwa kuwa pesa hizo zitawanufaisha wanafunzi milioni sita na nusu wa shule za sekondari kwa kuisaidia Serikali kuanzisha mifumo madhubuti kwa wanafunzi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Atoboa ya Moyoni Kuhusu Filamu ya OPRAH

“Ni kati ya movie ninazozipenda sana . pia naweza thubutu kusema ni movie iliyofanya mabadiliko makubwa sana kwenye film industry nchini kwetu Tanzania na nje ya mipaka yetu. pia ndiyo movie iliyomtangaza Irene Uwoya kwenye ulimwengu wa filamu. kwa hiyo nina kila sababu ya kuipenda movie hii. OPRAH HOT SUNDAY”. Ray ameandika kwenye ukurasa wake wa mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya kasha la filamu hiyo.

Wewe kama mdau unamaoni gani juu ya kazi hii ya OPRAH iliyotoboa mipaka ya nchi?...

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray: Hakuna Tena Ushindani Kwenye Filamu

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’ amesema baada ya kufariki Steven Kanumba tasnia ya filamu imekosa ushindani wa ndani na nje.

Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Ray alisema kazi yake na maisha yake vimetikisika kutokana na kukosa mshindani kama alivyokuwa Kanumba.

“Kwa upande wangu vitu vingi vimetikisika kwa sababu Kanumba ndio alikuwa mshindani wangu, kwenye maisha yangu ya kawaida na filamu,” alisema.

“Kanumba alikuwa akifanya hivi lazima na mimi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Awashangaa Wanaodai Kanumba Ameondoka na Tasnia ya Filamu

Staa mkubwa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi 'Ray' hivi juzi kati kupitia kukursa wake kwenye mtando picha wa Instagram amendika mtazamo juu ya tasnia ya filamu na wadau wote kwa ujumla.

Napenda kuchukua furrsa hii kuwashukuru wadau wote kwa michango na sapoti yenu iliyosaidia kuifikisha tasnia ya filamu hapa ilipo.

Bila nyinyi pengine hadithi ingekuwa tofauti leo kikubwa ni kujenga moyo wa kizalendo kwa wasanii wetu leo kuna misemo kila kona eti Kanumba kafa na tasnia imekufa, najaribu...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB na Ray Kucheza Filamu Wakiwa Kama Watoto wa King Majuto

Ndani ya mwaka huu panapo majaliwa, tutajionea filamu kali kutokakwa  wakali wa filamu wa hapa Bongo,  Jacob Stephen ‘JB’,Vicent Kigosi ‘Ray’na  King Majuto.

Akidokeza kuhusu ujio huo, JB alisema kwenye filamu hiyo yeye na Ray watacheza kama watoto wa King Majuto na kwasasa  wanatafuta mwigizaji wa kike ili mpango mzima ukamilike.

“Panapo uzima tutakuwa na filamu ya pamoja na king majuto na mwigizaji mmoja wa kike ambaye bado tunamtafuta.mimi na ray tutakuwa watoto wa king”. <span...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani