RAYUU AKIRI KUKOSA MVUTO WA MAPENZI

Stori: Laurent Samatta MCHEZA filamu za Kibongo, Alice Bangezi ‘Rayuu’, amedai kuwa huwa anashindwa kudumu na mwanaume kwa kuwa hana mvuto wa mapenzi na mara nyingi anachezewa na kuachwa kwa dharau kubwa. Mcheza filamu za Kibongo, Alice Bangezi ‘Rayuu’. Rayuu alitoa siri hiyo iliyo ndani ya mtima wake, baada ya kuwekwa kati na paparazi wetu ambaye alitaka kujua sababu kubwa inayomfanya kubadilisha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLFARHIA MIDDLE AKIRI KULIZWA NA MAPENZI
10 years ago
Bongo Movies11 Sep
Diana Kimari Akiri Kuanza Mapenzi ‘Utotoni’!
CONFESSION! Msanii wa filamu Bongo, Diana Kimari ameanika ukweli wa moyoni kuwa, alianza kujihusisha na mambo ya mapenzi akiwa anasoma shule ya msingi.
Akipiga stori na Amani, Diana alisema alianza kuwa na uhusiano wa kimapenzi akiwa darasa la saba na hii ni baada ya kuingia kwenye utu uzima ‘kuvunja ungo’ kitu ambacho huona kwamba zile zilikuwa akili za kitoto na kwamba hakukuwa na ‘ladha ya mapenzi’ hivyo huwa hataki kukumbuka kabisa nyakati hizo.
“Ni kweli mimi si mgeni wa mapenzi,...
10 years ago
GPL
DIANA KIMARI AKIRI KUANZA MAPENZI ‘UTOTONI’!
10 years ago
Vijimambo
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari

Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.
Hata hivyo, hali...
10 years ago
GPL
RAYUU,SKAINA WAFANYA UCHAFU
11 years ago
GPL
RAYUU AKOMALIA WAUME ZA WATU
10 years ago
Mtanzania17 Oct
Rayuu wa mitandaoni na nyumbani ni tofauti!
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MAKUBWA! Mrembo anayetikisa kiwanda cha filamu nchini, Rahma Rayuu ‘Rayuu’ amesema maisha yake halisi na maisha anayoonyesha kwenye mitandao ya kijamii ni tofauti hivyo watu wanaodhani ndivyo alivyo wanakosea.
Akichonga na Swaggaz, Rayuu alisema kuwa amezoea kuweka mitandaoni picha zinazoonyesha mwili wake lakini kiuhalisia ni mtu mwenye maadili ambaye akiwa nyumbani huvalia hadi ushungi kujisitiri.
“Kwetu ni familia ya dini na nimekuwa kwenye mazingira hayo, kule...
10 years ago
GPL
RAYUU AMUANIKA MWANDANI WAKE
10 years ago
GPL
RAYUU: WANAUME WANNE WAMEINGIA MITINI