Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAYUU AMECHOKA KUITWA MAMA STRESS

Msanii wa sinema za Kibongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. Iam tired! Msanii wa sinema za Kibongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amefunguka kuwa amechoka kuitwa mama ‘stress’ kutokana na mateso aliyoyapata ya kimapenzi kutoka kwa baadhi ya wanaume aliowahi kuwa nao. Akipiga stori na Ijumaa Wikienda, Rayuu alitiririka kuwa ameshaumizwa mno na mambo ya malavu hivyo kwa sasa ameamua kukaa nayo mbali ili kuepukana na msongo....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wema Sepetu: Natamani kuitwa mama kabla sijafa

wema-sepetuMREMBO wa Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu, amesema kwamba muda wote wa maisha yake amekuwa akisaka ujauzito lakini anasikitika kwamba hana uwezo huo.
Mrembo huyo ambaye kwa sasa anataraji kuachia filamu yake mpya aliyomshirikisha msanii maarufu wa Nigeria, Van Viker, ameeleza namna anavyotamani kuitwa mama kwa kuwa ndicho kitu kikubwa kinachomuumiza katika maisha yake kwa sasa huku akitamani kuwa na mtoto kabla hajafa.
Kauli ya mrembo huyo aliyoiweka katika mtandao wake wa Instagram,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baby Madaha: Natamani Kuitwa Mama Mwaka Huu

MWIGIZAJI na msanii wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha, amesema anatamani kuitwa mama kama ilivyo kwa wanawake wengine wenye watoto.

Akizungumzia swala hili, Baby Madaha, alisema amepanga kufanikisha ndoto zake za kuwa mama mwaka huu. “Kiukweli natamani sana kupata mtoto, nafarijika nikisikia na kuona wenzangu wanaitwa mama, ni jambo la busara na kumuomba Mungu ili litimie,” alisema Baby Madaha.

Madaha alisema wasanii wengi wamefululiza kuzaa jambo ambalo linapendeza katika jamii, lakini...

 

9 years ago

Mtanzania

Rayuu wa mitandaoni na nyumbani ni tofauti!

8977c613656d96073d7015b7676fe2b1NA CHRISTOPHER MSEKENA

MAKUBWA! Mrembo anayetikisa kiwanda cha filamu nchini, Rahma Rayuu ‘Rayuu’ amesema maisha yake halisi na maisha anayoonyesha kwenye mitandao ya kijamii ni tofauti hivyo watu wanaodhani ndivyo alivyo wanakosea.

Akichonga na Swaggaz, Rayuu alisema kuwa amezoea kuweka mitandaoni picha zinazoonyesha mwili wake lakini kiuhalisia ni mtu mwenye maadili ambaye akiwa nyumbani huvalia hadi ushungi kujisitiri.

“Kwetu ni familia ya dini na nimekuwa kwenye mazingira hayo, kule...

 

11 years ago

GPL

RAYUU AKOMALIA WAUME ZA WATU

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII kinda kwenye tasnia ya filamu Bongo, Rahma Bagenzi ‘Rayuu’ amesema kuwa, kamwe hatokoma kutembea na waume za watu kwa kuwa sheria ya dini yake ya Kiislamu inamruhusu kuolewa na mume wa mtu. Rahma Bagenzi ‘Rayuu’. Akipiga stori na paparazi wetu, Rayuu alisema kipindi cha nyuma aliwahi kutoka kimapenzi na mume wa mtu (hakumtaja jina) na kufikia hatua ya kufikishwa polisi na...

 

10 years ago

GPL

RAYUU AMUANIKA MWANDANI WAKE

Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amezua gumzo baada ya picha zake zinazomuonesha akiwa chumbani na mwanaume kuenea mtandaoni, huku kijana huyo akionekana kujichora tatoo yenye jina la mwanadada huyo. Kijana huyo aliyefahamika kwa jina moja la Brown hakuweza kupatikana ili kuthibitisha uhusiano wake na mrembo huyo,...

 

9 years ago

GPL

RAYUU,SKAINA WAFANYA UCHAFU

Mayasa mariwata SMATAA wa filamu Bongo Alice Bagenzi ‘Rayuu’ pamoja na Skyner Ally ‘Skaina’ wanadaiwa kufanya uchafu baada ya picha za wawili hao wakionesha mahaba hadharani kusambaa. Staa wa filamu Bongo Alice Bagenzi ‘Rayuu’. Chanzo kinaanika kuwa wawili hao hivi karibuni walikutana katika Ukumbi wa KD, Kijitonyama ambapo kulikuwa na sherehe ya kuzaliwa kwa Rayuu huku wakionesha mahaba ya mtu na mpenzi wake ndipo...

 

9 years ago

GPL

RAYUU: WANAUME WANNE WAMEINGIA MITINI


Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. MAYASA MARIWATA NYOTA wa filamu Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amesema anajihisi kama mwanamke mwenye mkosi baada ya wanaume wanne alioshiriki nao mapenzi kuonesha nia ya kumuoa, lakini ghafla waliingia mitini na kupeperusha ndoto yake ya kuwa mke wa mtu. Akipiga stori na gazeti hili, muigizaji huyo alisema umri wake unamruhusu kuolewa na anafanya kila njia ikiwa ni pamoja na kutii...

 

10 years ago

GPL

RAYUU AKIRI KUKOSA MVUTO WA MAPENZI

Stori: Laurent Samatta MCHEZA filamu za Kibongo, Alice Bangezi ‘Rayuu’, amedai kuwa huwa anashindwa kudumu na mwanaume kwa kuwa hana mvuto wa mapenzi na mara nyingi anachezewa na kuachwa kwa dharau kubwa. Mcheza filamu za Kibongo, Alice Bangezi ‘Rayuu’. Rayuu alitoa siri hiyo iliyo ndani ya mtima wake, baada ya kuwekwa kati na paparazi wetu ambaye alitaka kujua sababu kubwa inayomfanya kubadilisha...

 

10 years ago

GPL

RAYUU: ‘WOLPER APIME UKIMWI’

Stori: Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amemtaka msanii mwenzake, Jacqueline Wolper apime Ukimwi kama alivyofanya yeye. Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. Akipiga stori na paparazi wetu, Rayuu alisema anamheshimu Wolper na kamwe hawezi kumsema vibaya lakini alishangaa kuambiwa na mashosti wake kwamba anamsema yeye ana Ukimwi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani