RC awapa kibarua watendaji
MKUU wa Mkoa (RC) wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amewataka watendaji wa vijiji na kata kuwafikisha mahakamani wazazi wanaowaozesha watoto wao chini ya umri na wale wanaowapa ujauzito na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
DC awapa siku saba watendaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyang’hwale, mkoani Geita, Ibrahim Marwa, amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kuanzia mkurugenzi wa wilaya na watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha ndani ya siku saba...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Balozi Seif awapa somo watendaji
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Wabunge wanatambua kibarua kinachowakabili?
10 years ago
Habarileo18 Oct
Tanesco yapewa kibarua kigumu
MOJA ya sekta zenye mchango katika maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja zilizofanyiwa mabadiliko makubwa na ya kasi, ni upatikanaji wa umeme, ambapo Serikali imeagiza Shirika la Umeme (Tanesco), kuunganisha umeme kwa wateja siku ambayo wamelipa gharama za kuunganishiwa huduma hiyo.
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Msuva: Msiniharibie kibarua changu
10 years ago
Mtanzania22 May
Kibarua cha Nooij shakani
ABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Mart Nooij raia wa Uholanzi, yupo shakani kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya aliyopata kwenye michuano ya Kombe la Cosafa.
Stars imeambulia vipigo kwenye mechi mbili za awali za Kundi B la michuano hiyo na timu ndogo Swaziland (1-0) na Madagascar (2-0), leo itamalizia ratiba kwa kuchuana na Lesotho iliyoko juu yake.
Habari za ndani zilizoifikia MTANZANIA jana zimeeleza kuwa,...
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Chelsea na Man U wapata kibarua kigumu
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Brendan Rodgers kibarua chake matatani
LIVERPOOL, ENGLAND
BAADA ya Liverpool kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Norwich City, mashabiki wamemtaka bosi wa klabu hiyo kumfukuza
kocha wao Brendan Rodgers. Klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kushinda michezo miwili kati ya sita iliyocheza
huku ikitoa sare miwili na kufungwa miwili.
Katika mchezo wa jana Liverpool ilikuwa nyumbani na kutoka sare dhidi ya klabu ambayo imepanda daraja msimu huu, hivyo mashabiki wa klabu hiyo wamemtumia ujumbe bosi wa klabu hiyo John Henry, kupitia akaunti yake...
10 years ago
Mtanzania06 Jun
JK: Rais ajaye ana kibarua kigumu
Na Mwandishi Wetu,
RAIS Jakaya Kikwete amesema rais ajaye atakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania inaendelea kubaki kuwa moja kwa kudumisha umoja huo unaotokana na muungano wa nchi mbili.
Kikwete alitoa kauli hiyo siku chache baada ya makada wa chama hicho kuanza kuchukua fomu kuomba ridhaa ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Hadi sasa waliochukua fomu ni mawaziri wakuu wa zamani, Frederick Sumaye na Edward Lowassa, Makamu wa Rais,...