Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


REFUGEES CRISIS: CRISTIANO RONALDO WALKS ON PITCH WITH A SYRIAN BOY TRIPPED BY HUNGARIAN CAMERAWOMAN



Cristiano Ronaldo walked onto the pitch for Real Madrid's league game against Granada with the son of the Syrian refugee tripped by a Hungarian journalist.Osama Alabed Al-Mohsen and his 7-year-old son Zied became international symbols of the refugee crisis when Hungarian camera operator Petra Laszlo was filmed knocking them over as they tried to escape a holding camp, sending them tumbling to the ground.Laszlo was subsequently dismissed from her role at Hungarian television station N1TV and...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Cristiano Ronaldo afikisha mabao 500

Football/Soccer: Spanish "Super Cup" - Atletico de Madrid vs Real MadridMADRID, HISPANIA

NYOTA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, amefanikiwa kufikisha mabao 500 katika historia yake ya soka baada ya juzi kuifungia klabu yake mabao mawili katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Malmo.

Mabao hayo ya Ronaldo yametokana na kucheza michezo 753 katika klabu mbalimbali pamoja na timu yake ya taifa ya Ureno.

Hata hivyo, amekuwa ni mchezaji ambaye anaongoza kwa mabao mengi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku akiwa na jumla ya mabao 82, akimuacha...

 

10 years ago

GPL

CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibusu tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ulaya baada ya kukabidhiwa usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa. Cristiano Ronaldo akifurahia.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.

Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sanamu ya Cristiano Ronaldo yazinduliwa, haifanani naye

Cristiano-Ronaldo-Statue-002

epa04536874 Portuguese soccer player Cristiano Ronaldo from Real Madrid poses during the unveling ceremony of a statue of himself in his hometown of Funchal, Madeira Island, 21 December 2014.  EPA/JOSE SENA GOULAO

Madeira is a pretty big Portuguese island that is known for two things: wine and Cristiano Ronaldo.

The Real Madrid superstar is the island’s greatest export (but if you can have wine and Ronaldo together, more power to you), and they honored him on Sunday by unveiling a statue of him. The only problem is that the statue looked nothing like him.

Cristiano-Ronaldo-Statue (1)

1.They got his free kick stance right! Kind of. It’s right based on the curve established by the rest of the statue.

2.Ronaldo has a very unique...

 

9 years ago

Africanjam.Com

CRISTIANO RONALDO AWARDED NO.7 BASKETBALL JERSEY BY MIAMI HEAT


Cristiano Ronaldo has taken advantage of Real Madrid's Christmas break by jetting over to Miami to relax ahead of the club's next match on December 30.The 30-year-old attended the Miami Heat's narrow 93-92 defeat by the Detroit Pistons on Tuesday night and he was given a warm welcome by the Eastern Conference franchise.
Miami Heat gave the Real Madrid superstar a basketball jersey with his name and favourite number on the back.Ronaldo — who has donned the No 7 shirt for Manchester United,...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 30: Cristiano Ronaldo na hatima yake katika soka

Siku hazigandi’. Huo ni usemi uliopata umaarufu nchini baada ya msanii, Judith Wambura Lady Jadyee kutoka na wimbo wenye kubeba maneno hayo.

 

10 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo achukua tuzo ya mwanasoka bora wa Ulaya

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa amekabidhiwa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Ulaya. Christiano Ronaldo baada ya kushinda tuzo Wachezaji ambao alikuwa akishindanao katika kinyang’anyiro hicho ni mchezaji wa Bayern Munich, kipa Mjerumani Manuel Neuer na winga Mholanzi Arjen Robben pamoja na Ronaldo (katikati) akifurahia […]

 

9 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo afanya mapumziko nchini Morocco (Picha)

Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo yupo nchini Morocco mapumzikoni baada ya kuifanikisha timu yake ya taifa ya Ureno kupata ushindi bao 1-0 na kufuzu Euro 2016. Ronaldo akiwa mapumzikoni akila bata na bondia wa uzito wa juu wa kickboxing, Badr Hari walipokutana Morocco Staa huyo alichukua nafasi hiyo kwenda kula bata na rafiki yake […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani