Ridhiwani achanja mbuga Chalinze
MGOMBEA Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete anaendelea kufanya vizuri wakati matokeo ya kuwania nafasi hiyo yakiendelea kuhesabiwa kutoka vituo mbalimbali vya jimbo la Chalinze.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Magufuli achanja mbuga
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM ), Dk. John Magufuli, amesema serikali atakayounda itajikita katika kukusanya na kusimamia mapato ili kuleta maendeleo kwa wananchi wanyonge.
Amesema lengo ni kuhakikisha anakusanya mara mbili zaidi ya kinachokusanywa sasa na Serikali ya Rais Jakaya Kikwete. Dk. Magufuli alisema hayo jana alipohutubia mkutano wa hadhara Mtwara Mjini, katika Uwanja wa Mashujaa, uliohudhuriwa na umati wa watu.
Alisema Rais Kikwete alipoingia...
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Lucy Magereli wa CHADEMA Jimbo la Kigamboni mwendo mdundo achanja mbuga!
Mgombea Ubunge jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akipeperusha benndera ya UKAWA, Kamanda Lucy Magereli
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Kigamboni-Dar es Salaam) Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia anapeperusha bendera ya UKAWA inayoungwa mkono na vyama vya NCCR-Mageuzi, NLD, CHADEMA na CUF, Kamanda Lucy Magereli amewataka wananchi wa jimbo hilo la Kigamboni kumpigia kura za ndio hiyo Oktoba 25, mwaka huu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9OjEPBJFCK0/VgGk-XbNPBI/AAAAAAAAECo/OU8NPrrF_nM/s72-c/IMG_0060.jpg)
Mama Samia Suluhu Hassan achanja mbuga katika kampeni Wilaya za Korongwe na Lushoto
![](http://4.bp.blogspot.com/-9OjEPBJFCK0/VgGk-XbNPBI/AAAAAAAAECo/OU8NPrrF_nM/s640/IMG_0060.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G30CiuvDnaA/VgGk7aAAaYI/AAAAAAAAEB8/DHyaJH3JGoI/s640/IMG_0025.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kUagwLk0Vb4/VgGk-i9IL8I/AAAAAAAAECc/6BIf9a-Eqkg/s640/IMG_0069.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRAT4DAiPkgp1*sAFEJEzgrED1HSpcFIsmEHrHbi-ZscyJl9NRnTL-ZoPXHfX83hcq2hx7rKCJ6J-kc3U1iCy-1cH/MakamukuhutubiaMiono.jpg?width=650)
CHADEMA YAZIDI KUCHANJA MBUGA CHALINZE
11 years ago
Habarileo08 Apr
Ridhiwani ashukuru Chalinze
RIDHIWANI Kikwete, Mbunge Mteule wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani amesema kuwa yeye ni mbunge wa watu wote wa Jimbo la Chalinze.
11 years ago
Habarileo27 Mar
CCM: Ridhiwani suluhisho Chalinze
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani, Mwishee Mlau amesema mwenye uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika Jimbo la Chalinze ni mgombea wa chama hicho, Ridhiwani Kikwete na sio mgombea mwingine.
11 years ago
Habarileo11 Mar
Ridhiwani athibitishwa na CCM Chalinze
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemteua, Ridhiwani Kikwete, kuwa mgombea katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani, unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka huu.