Lucy Magereli wa CHADEMA Jimbo la Kigamboni mwendo mdundo achanja mbuga!
Mgombea Ubunge jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akipeperusha benndera ya UKAWA, Kamanda Lucy Magereli
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Kigamboni-Dar es Salaam) Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia anapeperusha bendera ya UKAWA inayoungwa mkono na vyama vya NCCR-Mageuzi, NLD, CHADEMA na CUF, Kamanda Lucy Magereli amewataka wananchi wa jimbo hilo la Kigamboni kumpigia kura za ndio hiyo Oktoba 25, mwaka huu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-qNvYBUlLrkU/UyfV0-4aTyI/AAAAAAAFUYQ/YrZJG0uzslQ/s1600/1.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE MWENDO MDUNDO JIMBO LA CHALINZE
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Magufuli achanja mbuga
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM ), Dk. John Magufuli, amesema serikali atakayounda itajikita katika kukusanya na kusimamia mapato ili kuleta maendeleo kwa wananchi wanyonge.
Amesema lengo ni kuhakikisha anakusanya mara mbili zaidi ya kinachokusanywa sasa na Serikali ya Rais Jakaya Kikwete. Dk. Magufuli alisema hayo jana alipohutubia mkutano wa hadhara Mtwara Mjini, katika Uwanja wa Mashujaa, uliohudhuriwa na umati wa watu.
Alisema Rais Kikwete alipoingia...
11 years ago
Habarileo07 Apr
Ridhiwani achanja mbuga Chalinze
MGOMBEA Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete anaendelea kufanya vizuri wakati matokeo ya kuwania nafasi hiyo yakiendelea kuhesabiwa kutoka vituo mbalimbali vya jimbo la Chalinze.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TQswG1vAZuw/VH7sHXgNDKI/AAAAAAAG078/JDYm26y9MM0/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Magufuli, Lowassa sasa mwendo mdundo
9 years ago
Dewji Blog03 Sep
Kampeni za Urais za Dk Magufuli ni mwendo mdundo Mtwara
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Mashujaa mjini Mtwara jana, ambapo alijinadi na kuwanadi wagombea ubunge pamoja na wagombea udiwani katika Manispaa ya Mtwara.
Dk Magufuli tayari hadi sasa amefanya mikutano ya kampeni katika mikoa 6 ya Katavi, Rukwa, Mbeya, Njombe, Ruvuma na Mtwara. ambapo aakishinda uchaguzi ameahidi mambo mbalimbali kama vile ile ya bure kutoka darasa la kwanza hadi kidato cha...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9OjEPBJFCK0/VgGk-XbNPBI/AAAAAAAAECo/OU8NPrrF_nM/s72-c/IMG_0060.jpg)
Mama Samia Suluhu Hassan achanja mbuga katika kampeni Wilaya za Korongwe na Lushoto
![](http://4.bp.blogspot.com/-9OjEPBJFCK0/VgGk-XbNPBI/AAAAAAAAECo/OU8NPrrF_nM/s640/IMG_0060.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G30CiuvDnaA/VgGk7aAAaYI/AAAAAAAAEB8/DHyaJH3JGoI/s640/IMG_0025.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kUagwLk0Vb4/VgGk-i9IL8I/AAAAAAAAECc/6BIf9a-Eqkg/s640/IMG_0069.jpg)