Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RR, ‘Bushoke’, just blame bodaboda

RR refers to reversed roles phenomena – the man takes the roles of the woman and vice versa.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Under the new constitution, I’ll become a ‘bushoke’

Everyone in my house, including my choir-singing rats and cockroaches, have gone “democrazy” and are demanding a new constitution.

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Bushoke — Bwagamoyo

Wimbo mpya kutoka kwa Bushoke unaitwa “Bwagamoyo” imefanyika katika Studio za Tidy Production,Cape Town itapatikana katika album yake mpya Bushoke International

 

10 years ago

GPL

KABULA AJUTA KUMPENDA BUSHOKE

Stori: Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda
BAADA ya hivi karibuni kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu, Maximilian Bushoke, msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kwamba hahitaji tena mwanaume kwa sasa. Msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ akipozi. Akipiga stori na paparazi wetu, Jini Kabula alisema kutokana na kwamba alikaa kwenye uhusiano wa kimapenzi...

 

10 years ago

GPL

JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE!

Imelda Mtema MIRIAM Jolwa, maarufu kama Jini Kabula, ambaye ni staa kutoka Bongo Movie, amemshangaa aliyekuwa mpenzi wake, Ruta Bushoke kumkana kuwa hawajawahi kuwa wapenzi.Akistorisha na gazeti hili hivi karibuni, Kabula alisema maneno ya mkali huyo wa muziki wa Kizazi Kipya yanaashiria kama mtu anayechanganyikiwa, kwani asingeweza kujinadi kuwa ni mpenziwe kama haikuwa hivyo. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1TofnAr ...

 

10 years ago

GPL

JINI KABULA, BUSHOKE WAMWAGANA

Na Mayasa Mariwata/UWAZI
MSANII wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu, Ruta Maximilian Bushoke wamemwagana na hakuna cha ndoa tena. Msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’. Akizungumza na Uwazi, Kabula alitoa ya rohoni na kusema kuwa wamefikia hatua hiyo baada ya kuona mwenzake haoneshi msimamo katika mkakati wao wa kuoana hivyo kwa sasa...

 

11 years ago

GPL

JINI KABULA: PIGA UA BUSHOKE ANANIOA

Na Gladness Mallya
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa licha ya penzi lake na msanii Maximilian Bushoke kuwa na sarakasi nyingi lakini anaamini atamuoa. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ Akizungumza na paparazi wetu, Jini alisema watu wengi wamekuwa wakiuponda uhusiano wake kwa kuwa Bushoke anaishi Afrika Kusini na kuona hakuna mapenzi...

 

10 years ago

Mtanzania

Bushoke, Dully Sykes na Mr. Blue watoka na Angel

Download New Music Bushoke Ft Mr Blue & Dully Sykes – AngelNA VICTORIA PATRICK (TSJ)

MSANII  wa muziki wa Kizazi kipya, Ruta Maximilian ‘Bushoke’, Dully Sykes na Mr. Blue wanatarajia kutoka na wimbo unaoitwa ‘Angel’ ukiwa na lengo la kumrudisha Bushoke katika ramani ya muziki kama alivyokuwa awali.

Bushoke alisema wimbo huo umetayarishwa na Dully Sykes na utaachiwa mwishoni mwa mwezi huu, huku akiamini utarudisha imani ya mashabiki wake kuendelea kumshabikia na kupenda muziki wake kama walivyokuwa awali.

“Nilikuwa kimya kwa muda na sasa nakuja...

 

11 years ago

GPL

JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA


Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa hayupo tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi ya mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke aliyeko Afrika Kusini. Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’. Akipiga stori na gazeti hili, Kabula alisema: “Ndoa yangu itakuwa na Bushoke tu. Sijali umbali wetu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani