Rushwa inazidi kutudhalilisha mbele ya dunia
Hatua iliyokuwa imechukuliwa hivi karibuni na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) ya Marekani kuzuia msaada wa Dola 472 milioni kwa Tanzania kwa maelezo kwamba nchi yetu imeshindwa kuchukua hatua za kuridhisha kupambana na rushwa, bila shaka itakuwa iliwasononesha na kuwaghadhibisha wananchi wengi kutokana na aibu ya Tanzania kuonekana mbele ya jumuiya ya kimataifa kama moja ya nchi vinara wa rushwa duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Mikutano ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa inazidi kupamba moto -Lima
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile wa pili kutoka kulia (kwa nafasi ya uwaziri na Ugavana wa Benki ya Dunia) akiwa kwenye picha ya pamoja ya Mawaziri wa Fedha wa nchi 20 wanachama ( V20 – Vulnerable Twenty) watakao asirika zaidi na mabadiliko ya tabia nchi (climate change).Mawaziri hao wanatoka nchini Afghanistan, Bangladesh, Barbados, Bhutan, Costa Rica, Ethiopia, Ghana, Kenya, Kiribati, Madagascar, Maldives, Nepal, Philippines, Rwanda, Saint...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Ujangili nchini umetuvua nguo mbele ya dunia
10 years ago
Habarileo21 Oct
Shahidi kesi ya rushwa ya Hakimu afariki dunia
UPANDE wa mashitaka kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), wameithibitishia Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba aliyetakiwa kuwa shahidi wa pili katika kesi ya rushwa ya Sh 50,000 inayomkabili Hakimu Grace Kivegele na Karani wake, Rose Kuhima wa Mahakama ya Mwanzo Buruguri, amefariki dunia.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1pCCsQww79Q/U5vBdk-1g1I/AAAAAAAFqe4/kuBbtiS99Y0/s72-c/article-2657446-1EBEA91A00000578-850_964x386.jpg)
Mabingwa watetezi kombe la Dunia Spain Mbendembende mbele ya Holland, yachapwa 5-1
![](http://3.bp.blogspot.com/-1pCCsQww79Q/U5vBdk-1g1I/AAAAAAAFqe4/kuBbtiS99Y0/s1600/article-2657446-1EBEA91A00000578-850_964x386.jpg)
Na Sultani Kipingo
wa Globu ya Jamii
Siku ya tatu tu tokea michuano ya kombe la Dunia ianze nchini Brazil, tayari mabingwa watetezi Spain wanakuta kombe hilo linateleza mikononi mwao. Japokuwa miaka minne iliyopita walipoteza mchezo wao kwa kwanza dhidi ya Switzerland huko Afrika ya Kusini, lakini hiyo haiwezi kulinganishwa na kilichotokea uwanja wa Fonte Nova katika mji wa Salvador ulio Kaskazini-Mashariki ya Brazil usiku wa kuamkia leo baada ya kuchwapwa bao 5-1 na Holland. Hilo ni...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Sri Mulyani: Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesifika kwa kupinga rushwa
10 years ago
Vijimambo02 Jun
USHAHIDI WA RUSHWA WALIYO TOA SOUTH AFRICA NA KUPEWA NAFASI YA KUANDAA KOMBE LA DUNIA 2010
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_4865.jpg)
Kwa takribani wiki mbili sasa neno ‘rushwa’ limekuwa likiliandama sana shirikisho la soka duniani FIFA.Wiki iliyopita maafisa 10 wa shirikisho hilo walikamatwa na serikali ya Marekani kwa kujihusisha na skendo ya ubadhirifu wa £100m, jambo ambalo lilipelekea wadau mbalimbali kumuomba Rais wa shirikisho hilo Sepp Blatter kujiuzulu.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2013/12/06/131206183113_fifa_secretary_general_jerome_valcke__512x288_getty.jpg)
Jerome Valcke Hata hivyo Blatter amegoma kufanya hivyo, lakini ikiwa suala la ubadhirifu wa £100m likiwa bado la moto, leo hii umetolewa ushahidi...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Nguvu ya sanaa inazidi msanii
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kulikoni Serikali inazidi kubwagwa mahakamani?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JelPojyKWOs/VOwGnkO8MsI/AAAAAAAHFiE/WUrDU0iTxkw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)