Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sadick: Msiwatetee wafanyakazi wazembe

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, amevitaka vyama vya wafanyakazi nchini, kuacha kuwatetea na kuwabeba wafanyakazi wabovu wasiojituma na kuwajibika kwenye maeneo ya kazi. Sadick, aliyasema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sadick: Bwakata si chombo cha serikali

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick amewataka Waislamu kuondokana na dhana kuwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), ni chombo cha serikali. Amesema dhana hiyo sio...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Membe, Mecky Sadick waivulia kofia Yanga

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikino wa Kimataifa, Benard Membe na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick, wamewapongeza wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya klabu...

 

11 years ago

GPL

SAID MECKY SADICK AONGOZA KUAGA MWILI WA TYSON

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akiaga mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' katika Viwanja vya Leaders, Dar. Said Mecky Sadick wakati akielekea kuaga mwili wa Tyson.…

 

9 years ago

Michuzi

DART yaonya madereva wazembe

Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kuanza jijini Dar es Salaam, baadhi ya madereva wasio makini wameanza kuharibu miundombinu ya mradi huo unaosubiriwa kwa hamu na wakazi wa jiji hilo.
Uharibifu wa hivi karibuni kabisa kutokea unahusu basi lenye usajili T430 (YUTONG) ikiendeshwa na Abuu Nassar mali ya Kampuni ya Fashion Tourism Investment Limited kugonga Kituo cha Kimara Baruti na kusababisha uharibifu.
Meneja Msimamizi wa Miundombinu wa wakala wa Mradi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri wazembe wazidi kukaangwa

>Makamu Mwenyekiti wa  Kamati ya Bunge, Fedha na Uchumi, Deos Filikunjombe amesema mkakati ya kuwang’oa mawaziri wanaoshindwa kutekeleza mipango ya Serikali  ya kuwaletea maendeleo wananchi ni endelevu.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm: Wachezaji Yanga wazembe

>Kocha wa Yanga, Hans der  Van Pluijm amesema uzembe wa baadhi ya wachezaji wake unaigharimu timu hiyo katika harakati zake za kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu; huku akiwataka washambuliaji wake kubadilika.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mwakyembe kuwatimua kazi wazembe

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatosita kuwatimua kazi watendaji wabovu wa Shirika ya Reli Tanzania na Zambia (Tazara) wanaoshindwa kusimamia kikamilifu utendaji kazi wao na kuisababishia Serikali hasara ya mabilioni ya fedha kwa masilahi binafsi.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa kukabiliana na viongozi wazembe

Edward LowassaWAZIRI Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli Edward Lowassa amesema endapo CCM itapitisha jina lake kugombea urais na baadaye kuingia Ikulu, atahakikisha anaendesha nchi kwa mchakamchaka na kiongozi ambaye hatafanya kazi atafukuzwa mara moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani