Mawaziri wazembe wazidi kukaangwa
>Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge, Fedha na Uchumi, Deos Filikunjombe amesema mkakati ya kuwang’oa mawaziri wanaoshindwa kutekeleza mipango ya Serikali ya kuwaletea maendeleo wananchi ni endelevu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania06 Jan
Mawaziri wazidi kutumbua majipu
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KASI ya utendaji kazi wa mawaziri wa Rais Dk. John Magufuli, imezidi kukolea baada ya mawaziri wawili kwa nyakati tofauti kuwasimamisha kazi vigogo walio chini yao kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
Uamuzi wa kwanza umechukuliwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe ambaye jana alimsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Mohamed Kilongo kwa kushindwa kutimiza wajibu...
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Utata wazidi kuhusu mawaziri Zanzibar
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Mawaziri ‘mizigo’ wazidi kukabwa koo bungeni Dodoma
11 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Sadick: Msiwatetee wafanyakazi wazembe
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, amevitaka vyama vya wafanyakazi nchini, kuacha kuwatetea na kuwabeba wafanyakazi wabovu wasiojituma na kuwajibika kwenye maeneo ya kazi. Sadick, aliyasema...
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Muhongo kutimua wazembe Tanesco
10 years ago
Habarileo26 Jun
Lowassa kukabiliana na viongozi wazembe
WAZIRI Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli Edward Lowassa amesema endapo CCM itapitisha jina lake kugombea urais na baadaye kuingia Ikulu, atahakikisha anaendesha nchi kwa mchakamchaka na kiongozi ambaye hatafanya kazi atafukuzwa mara moja.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Pluijm: Wachezaji Yanga wazembe
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Dk Mwakyembe kuwatimua kazi wazembe
9 years ago
Michuzi
DART yaonya madereva wazembe

Uharibifu wa hivi karibuni kabisa kutokea unahusu basi lenye usajili T430 (YUTONG) ikiendeshwa na Abuu Nassar mali ya Kampuni ya Fashion Tourism Investment Limited kugonga Kituo cha Kimara Baruti na kusababisha uharibifu.
Meneja Msimamizi wa Miundombinu wa wakala wa Mradi...