Safari ya hija na utitiri wa waovu, je ndio ukuaji wa demokrasia?
KUMEKUWA na wingi wa 'kutisha' wa wanaotaka kupewa IKULU yetu, ofisi ambayo Baba wa Taifa alisema
Yahya Msangi
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Utitiri huu ni demokrasia au uchu wa madaraka?
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Ipo haja ya kuangalia upya utaratibu wa safari za Hija
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMS1cC-CT3w/U9kYgJ9bIzI/AAAAAAAF75Y/NWtnMdkYdkM/s72-c/download.jpg)
JK atunukiwa Tuzo jingine la kimataifa, safari hii ni la kuwa Nyota wa Demokrasia Afrika
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMS1cC-CT3w/U9kYgJ9bIzI/AAAAAAAF75Y/NWtnMdkYdkM/s1600/download.jpg)
11 years ago
MichuziNew City Pub ndio Mabingwa wa Safari Nyama Choma 2014 jijini Mbeya
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dr7VNyboDMI/XrvKaQuj09I/AAAAAAACKfs/YIAgRLi_ZQg8OV4t4Bag6LheVCDJJAbJwCLcBGAsYHQ/s72-c/MAGUFULIATEUAAA-4-600x430.jpg)
KANISA LAINGIA KATIKA IBADA YA SIKU TISA KUMUOMBA MUNGU AMFICHE RAIS DK. MAGUFULI DHIDI YA WAOVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-dr7VNyboDMI/XrvKaQuj09I/AAAAAAACKfs/YIAgRLi_ZQg8OV4t4Bag6LheVCDJJAbJwCLcBGAsYHQ/s400/MAGUFULIATEUAAA-4-600x430.jpg)
Kanisa la Halisi la Mungu Baba lililopo Tegeta jijini Dar es Salaam, limeingia katika ibada ya siku tisa kumuombea Rais Dk. John Magufuli, Mungu amfiche ili waovu wasimdhuru na ampe maisha marefu ili endelee kuwatumikia Watanzania kwa hekima, busara na maarifa.
Akizungumza jana katika ibada hiyo ambayo ilianza siku sita zilizopita, Kiongozi wa Kanisa hilo anayejulikana kwa jina la Baba wa Uzao aliwaambia waumini kwamba Kanisa limechukua hatua ya kumuombea...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Ndio kusema Rais wa Ghana kaiga kasi ya Rais Magufuli ??!! cheki alivyoanza kubana safari za nje..
Kama ni mfatiliaji wa masuala ya kila kinachoendelea kwenye headlines kubwa kutoka Tanzania zilizofanikiwa kuteka zaidi siku chache zilizopita, ni ishu ya kasi ya Rais Magufuli kwenye utendaji wake huku akisisitiza kubana matumizi ya Serikali. Kwenye kubana matumizi kwa sasa Rais Magufuli aliagiza pia kuzuia safari za viongozi nje ya nchi… Rais wa Ghana pia […]
The post Ndio kusema Rais wa Ghana kaiga kasi ya Rais Magufuli ??!! cheki alivyoanza kubana safari za nje.. appeared first on...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Mahujaji milioni 2 wakamilisha hija
ZAIDI ya mahujaji milioni 1.3 kutoka kila pembe ya dunia jana walitumia siku nzima katika viwanja vya Arafat vilivyoko kilometa 15 kutoka jiji la Makkah kukamilisha kilele za ibada ya Hija ya mwaka huu.
9 years ago
Habarileo06 Oct
‘Iko haja kuangalia utaratibu wa Hija’
WAKATI Watanzania wakiendelea kuomboleza vifo vya mahujaji wanane na wengine waliojeruhiwa huko nchini Saudia Arabia, Mufti wa Tanzania, Shehe Abubakari Zuberi ameiomba serikali kuangalia utaratibu wa kuzungumza na Saudia ili kuweka utaratibu mzuri wa ibada ya Hijja utakaosaidia kuepukana na madhara yaliyojitokeza mwaka huu kutokana na kufungwa kwa njia moja.
10 years ago
Habarileo03 Oct
Mahujaji waanza Ibada ya Hija Makkah
JANA ilikuwa siku ya mwanzo kwa mahujaji waliopo nchini Saudi Arabia kuanza ibada yao ya Hija. Mitaa yote ya Jiji la Makkah na majiji ya Jeddah na Taif ilifurika mahujaji na magari yaliyokuwa yanaelekea Minah, mji uliopo kilometa saba kutoka Msikiti Mkuu wa Makkah kuingojea siku tukufu ya Arafat.