‘Iko haja kuangalia utaratibu wa Hija’
WAKATI Watanzania wakiendelea kuomboleza vifo vya mahujaji wanane na wengine waliojeruhiwa huko nchini Saudia Arabia, Mufti wa Tanzania, Shehe Abubakari Zuberi ameiomba serikali kuangalia utaratibu wa kuzungumza na Saudia ili kuweka utaratibu mzuri wa ibada ya Hijja utakaosaidia kuepukana na madhara yaliyojitokeza mwaka huu kutokana na kufungwa kwa njia moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Ipo haja ya kuangalia upya utaratibu wa safari za Hija
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Wanaokiuka utaratibu kutwaa madaraka, watavuruga utaratibu, wadumu milele
10 years ago
Habarileo04 Oct
Mahujaji milioni 2 wakamilisha hija
ZAIDI ya mahujaji milioni 1.3 kutoka kila pembe ya dunia jana walitumia siku nzima katika viwanja vya Arafat vilivyoko kilometa 15 kutoka jiji la Makkah kukamilisha kilele za ibada ya Hija ya mwaka huu.
10 years ago
Habarileo03 Oct
Mahujaji waanza Ibada ya Hija Makkah
JANA ilikuwa siku ya mwanzo kwa mahujaji waliopo nchini Saudi Arabia kuanza ibada yao ya Hija. Mitaa yote ya Jiji la Makkah na majiji ya Jeddah na Taif ilifurika mahujaji na magari yaliyokuwa yanaelekea Minah, mji uliopo kilometa saba kutoka Msikiti Mkuu wa Makkah kuingojea siku tukufu ya Arafat.
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Safari ya hija na utitiri wa waovu, je ndio ukuaji wa demokrasia?
KUMEKUWA na wingi wa 'kutisha' wa wanaotaka kupewa IKULU yetu, ofisi ambayo Baba wa Taifa alisema
Yahya Msangi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO6wNpcw15OKLp*C3hFMPKQz2Uu-ulez9QACBBOYGbU3pd3jaT1qDZI4ay13MgxfUdnRdjr-WNsOM4EtE9V4A19/mgonjwa.gif?width=650)
HAJA NDOGO MRIJA WAKE, HAJA KUBWA MRIJA WAKE
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-skaezcAWygo/VgQfd-5QAGI/AAAAAAAAZq8/Hpt6yezMuqo/s72-c/IMG_20150924_185938.jpg)
MAHUJAJI ZAIDI YA 700 WAFA KWA KUKANYAGANA WAKITEKELEZA IBADA YA HIJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-skaezcAWygo/VgQfd-5QAGI/AAAAAAAAZq8/Hpt6yezMuqo/s640/IMG_20150924_185938.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Li2BZTvdsjY/VgPxVxrN8fI/AAAAAAAAZpE/BfzgkRlDF7k/s640/ccc.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ejxoaRrSlsQ/XvHNBMZgGxI/AAAAAAAEYUo/Mb3VQaiQpQk9MFbqlt7l7g4r8LJaWP7uwCLcBGAsYHQ/s72-c/mohammed%2Bhija%2B%25287%2529.jpg)
Kada wa CCM Mohammed Hija Arejesha Fomu Yake ya Kugombea Urais leo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ejxoaRrSlsQ/XvHNBMZgGxI/AAAAAAAEYUo/Mb3VQaiQpQk9MFbqlt7l7g4r8LJaWP7uwCLcBGAsYHQ/s640/mohammed%2Bhija%2B%25287%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-zgSNyhY1-cY/XvHNYvMs92I/AAAAAAAEYU0/03mtyjIp_yI_n6ld3kdQC2pFTJGJ3Jc_wCLcBGAsYHQ/s640/mohammed%2Bhija%2B%25286%2529.jpg)
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Virusi vya corona: Saudi Arabia yaweka marufuku ya Hija kwa wageni