Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Safari ya JK Oman yazaa matunda

SAFARI ya Rais Jakaya Kikwete nchini Oman imezaa matunda baada ya ujumbe wa wafanyabiashara wa nchi hiyo kutua nchini jana. Lengo la ujumbe huo uliowakilishwa na watu 19 wakiwemo waziri...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maboresho bandari Dar yazaa matunda

MABORESHO yanayofanywa na serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika huduma zinazotolewa na Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuzaa matunda. Kaimu Meneja Mawasiliano wa TPA, Janeth Ruzangi,...

 

11 years ago

Habarileo

Mapambano dawa za kulevya yazaa matunda

USHIRIKIANO na nchi washirika katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya umetajwa kuzaa matunda kutokana na kupungua kwa uingizaji wa dawa hizo tofauti na kipindi cha miaka ipatayo miwili iliyopita.

 

11 years ago

GPL

Safari ya Boban Oman Januari 5

Haruna Moshi ‘Boban’. Na Martha Mboma
KIKOSI cha Coastal Union kinatarajia kuondoka nchini Januari 5, mwakani kuelekea Oman kwa ajili ya kuweka kambi ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Ofisa Habari wa Coastal, Hafidhi Kido amesema kuwa timu hiyo wameweka mikakati mizuri kwa ajili ya kambi hiyo, ambapo wataondoka na wachezaji kadhaa akiwemo Haruna Moshi ‘Boban’ ambaye ni kiungo...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI SAFARI NYAMA CHOMA 2015 “DAR ONE"

Meneja Mauzo Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa ukanda wa Temeke, Patrick Swai akizungumza na waandishi wa habari (hawapi pichani)wakati akizitangaza bar tano zilizofanikiwa kuingia fainali kwenye kinyang’anyiro cha shindano la uchomaji nyama “Safari Lager Nyama Choma Competition 2015”,kwa mkoa wa Dar es salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam

 

etihad

Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni  shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.

Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.

Dar es Salaam itakuwa...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa programu ya Safari Wezeshwa msimu wa nne uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Jaji wa programu hiyo, Joseph Migunda. Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akiwaonyesha kipeperushi kinachoonyesha kitika cha shilingi 2200,000 000/= zitakazogawiwa kwa wajasiliamali wakati wa uzinduzi wa programu ya Safari Wezeshwa msimu wa nne...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI UPATIKANAJI WA FOMU ZA PROGAMU YA SAFARI LAGER WEZESHWA MSIMU IV

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo imetangaza rasmi upatikanaji wa fomu za programu yake ya Safari Lager Wezeshwa kwa msimu wa nne kwa wajasiriamali wadogo wadogo na wa kati Nchini. Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa bia ya Safari Lager Bi. Edith Bebwa alifafanuwa ya kwamba “ Fomu za ushiriki zitapatikana kwenye mabohari ya TBL, Mawakali wa kusambaza bia, kwenye mtandao wa www.wezeshwa.co.tz .
Fomu hizo zichukuliwe, zijazwe na kurejeshwa kwenye vituo...

 

9 years ago

Habarileo

Utumbuaji majipu wazaa matunda

HATUA anazozichukua Rais John Magufuli, katika kukabiliana na ufisadi ndani ya taasisi na idara za Serikali, zimeanza kuzaa matunda. Hatua hizo ambazo zinafahamika kama ‘kutumbua majipu’, pia zimeonesha kuungwa mkono na wasomi, wananchi, washirika wa maendeleo na mataifa mbalimbali ya nje.

 

10 years ago

Mwananchi

Walima matunda walilia kiwanda

Wakulima wa matunda na mbogamboga wilayani hapa, wameiomba Serikali itekeleze ahadi yake ya kuwajengea kiwanda cha kusindika matunda ili wajihakikishie soko la uhakika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani