SAFARI YA MATUMLA YA MAREKANI YAISHIA DIAMOND JUBILEE,PROMOTA ALALA MBELE
Bondia wa ngumi za kulipwa, Mohammed Matumla. IMEFAHAMIKA kuwa ile safari ya bondia wa ngumi za kulipwa, Mohammed Matumla kwenda kuzichapa katika pambano la utangulizi litakalowakutanisha mabondia Floyd Mayweather Jr dhidi ya Manny Pacquiao nchini Marekani, Mei 2, mwaka huu, inaweza kuwa imeishia kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar.Matumla alipata nafasi hiyo baada ya kumchapa kwa pointi Wang Xin Hua wa China katika pambano la Ubingwa wa Dunia wa WBF ambapo ilielezwa mshindi atasafiri...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMUDDY MATUMLA, MCHINA KUPAMBANA LEO IJUMAA DIAMOND JUBILEE
10 years ago
VijimamboMUDY MATUMLA MCHINA KUPAMBANA LEO IJUMAA DIAMOND JUBILEE
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Mpambano mkali wa ngumi: Matumla Jr vs Wang Xiu Hua leo usiku Diamond Jubilee
Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi ‘Jiwe Gumu’ (katikati) akiwainua mikono juu Wang Xin Hua kutoka China ‘kushoto’ na Mohamedi Matumla baada ya kupima uzito jana.
..Modewji blog itakuletea kila kinachojiri huko kwenye pambano hilo la kihistoria
Ule mpambano wa ngumi wa kukata na shoka unaosubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wa Ngumi nchini ambao utakao wakutanisha bondia anayetoka kwenye familia ya mchezo huo wa ngumi Nchini, Bondia Mohamed Matumla Junior akitarajiwa kupanda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTvOpcy9nx*k53zRGxnem5qulA7P0YFfk6rLO8i7YLbrzUIrDOkhMkbyRdww6vmGC-gRbiCk5pNDtypcerruejM-/Zari.jpg)
ZARI ALALA KWA MAMA DIAMOND
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Promota wa Diamond mbaroni
Na Mwandishi wetu
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumkamata Promota mwenye asili ya nchi ya Nigeria ambaye ndiye aliyesababisha fujo katika onyesho la msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ zilizotokea Agosti 30 mwaka huu kwenye ukumbi wa Stuttgart nchini Ujerumani .
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka nchini Ujerumani kilisema kwamba Jeshi la Polisi nchini humo kilisema hadi kieleweke kwani watamchukulia hatua kali ili iwe fundisho kwa mapromota kama huyo.
Jumamosi...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Promota wa Diamond mbaroni Ujerumani
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumtia mbaroni promota Awin Williams Akpomie, aliyeratibu shoo ya mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ iliyokuwa ifanyike Agosti 30, mjini Stuttgart na kushindwa kufanyika. Shoo...
10 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa6JvLaBnjjOShuO870n-Tla1cgvUZ57LdyVTnbVyOA6GP3MNL8KlpwV1eSe1DOhlOB44TDXoGUiFRPxFoUdTORC/diamond.jpg?width=650)
VURUGU UJERUMANI, KUKAMATWA PROMOTA SIRI 7 ZAFICHUKA SHOO YA DIAMOND
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Nataka tiketi ya kupigana Marekani- Matumla Jr