Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nataka tiketi ya kupigana Marekani- Matumla Jr

Bondia Mohamed Matumla Junior atapanda ulingoni leo kumvaa Mchina, Wang Xiu Hua katika pambano la kuwania ubingwa wa Super Bantam wa WBF Eliminator kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Matumla Jr ‘amtandika vibayaa’ bondia wa China Wang Xin Hua, aenda kupigana Marekani

5

Mohamed Matumla Junior akimtupia makonde Mchina Wang Xiu Hua.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Bondia anayetoka kwenye familia yenye kusifika kwenye mchezo huo wa ngumi hapa Nchini Mohamed Matumla Junior usiku wa kuamkia leo Machi 28, ameweza kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika mchezo huo baada ya  kumshinda bondia mwenzake kutoka China, Wang Xiu Hua katika pambano la kuwania ubingwa wa Super Bantam wa WBF Eliminator. Mchezo uliochezwa  Ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es...

 

10 years ago

Vijimambo

SAFARI YA MATUMLA YA MAREKANI YAISHIA DIAMOND JUBILEE,PROMOTA ALALA MBELE



Bondia wa ngumi za kulipwa, Mohammed Matumla. IMEFAHAMIKA kuwa ile safari ya bondia wa ngumi za kulipwa, Mohammed Matumla kwenda kuzichapa katika pambano la utangulizi litakalowakutanisha mabondia Floyd Mayweather Jr dhidi ya Manny Pacquiao nchini Marekani, Mei 2, mwaka huu, inaweza kuwa imeishia kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar.Matumla alipata nafasi hiyo baada ya kumchapa kwa pointi Wang Xin Hua wa China katika pambano la Ubingwa wa Dunia wa WBF ambapo ilielezwa mshindi atasafiri...

 

11 years ago

Mtanzania

Bunge la Katiba: Mjumbe ataka atumiwe tiketi ya ndege Marekani

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Na Fredy Azzah, Dodoma

MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba, amesema mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba hadi sasa hajahudhuria vikao vya Bunge hilo kwa vile aliteuliwa akiwa Marekani.

Amesema mjumbe huyo pia amekuwa akiitaka Ofisi ya Bunge la Katiba imtumie tiketi ya ndege aweze kuhudhuria vikao hivyo vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kibamba akizungumza na waandishi wa habari Dodoma jana, alisema tathmini ya wiki...

 

11 years ago

Michuzi

Emirates yatoa punguzo maalumu la bei za tiketi kwa Watanzania wanaokwenda Chicago, Marekani

Wasilisha ombi la tiketi kabla ya Agosti 5 kwa safari za hadi Novemba 30, 2014

Shirika la Ndege la Emirates, linalosifika kwa kutoa huduma bora za usafiri wa anga kwa abiria kwa mataifa mbalimbali, limetangaza ofa maalumu kwa Watanzania watakaokwenda Chicago nchini Marekani, kupitia Dubai wakitokea Dar es Salaam. Punguzo hilo au ofa hiyo maalumu ni kwa madaraja ya abiria wa kawaida yaani Economy Class na daraja la wafanyabiashara ‘Business Class’.
Emirates ilitangaza ofa hiyo mapema...

 

9 years ago

Mwananchi

Nataka kulewa 2

Bila ya kupoteza muda nikaanza kumsimulia Bwana Edvin kisa kilichonikuta katika siku nzima ya leo hadi nikajikuta nikiishia baa. Naamini nimeshakusimulia na itakuwa ni upotezaji wa muda ikiwa nitaanza tena kukusimulia upya. Nilitumia kama dakika tano na tayari nimekwisha msimulia  Bwana Edvin kisa chote na nikaona uso wake ukiingiwa na hali fulani ya huruma juu yangu. “Pole sana Bwana Roma kwa yaliyokukuta”. Aliniambia Edvin. Yameshatokea na hata nikipewa pole na dunia nzima...

 

9 years ago

Mwananchi

Nataka kulewa

Hii ni mara yangu ya kwanza kuingia baa na ninajikuta nikitumia zaidi ya sekunde sitini nikiangazaangaza ndani ya baa hiyo bila hata ya  kujua ni  sehemu gani nianzie. Baada ya kuhakikisha kuwa macho yangu yametazama kila kona  ya baa hiyo niliamua kukifuata kiti  kimoja kilichokuwa  wazi karibu na kaunta. Nilifika hapo na kukaa  huku pembezoni  mwangu kukiwa na mwanamume mwingine ambaye kidogo  alinishangaza kwani hakuwa akinywa kilevi na badala yake alikuwa akinywa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Fahali avutishwa bangi kupigana

Fahari aliyepewa jina la Messi alimcharaza mpinzani wake Simba na kudhirihisha ubabe wake. Fahari huyo alipewa jina hilo la utani la Messi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pacquiao kupigana mara ya mwisho

Bondia raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa akastaafu katika ulingo wa ndondi baada ya pigano moja mwaka ujao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi Sudan K. yajipanga kupigana

Majeshi ya Sudan Kusini yanajiandaa kupambana na waasi katika mji wa Bor, Rais Salva Kiir amesema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani