Fahali avutishwa bangi kupigana
Fahari aliyepewa jina la Messi alimcharaza mpinzani wake Simba na kudhirihisha ubabe wake. Fahari huyo alipewa jina hilo la utani la Messi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 May
Manny Paqcuiao na Mayweather kupigana
11 years ago
BBCSwahili23 Dec
Majeshi Sudan K. yajipanga kupigana
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Pacquiao kupigana mara ya mwisho
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Amir Khan kupigana na Manny Pacquiao
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia, Floyd Mayweather, kuachana na pambano la Amir Khan na kumchagua Andre Berto, Khan ameamua kuomba pambano dhidi ya Manny Pacquiao.
Mayweather anatarajia kupigana pambano lake la mwisho Septemba 12 mwaka huu dhidi ya Berto, awali Khan alimuomba Mayweather kupambana katika pambano hilo lakini Mayweather aliamua kumchagua Berto.
Kutokana na hali hiyo, Khan anatarajia kupambana na Pacquiao mwanzoni mwa mwaka 2016.
Mwandaaji wa pambano hilo ambaye ni wakala wa...
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Jeshi la Japan sasa kupigana nje
9 years ago
StarTV10 Nov
Wanachama SACCOS Kigoma wanusurika kupigana
Wanachama wa Chama cha Ushirika cha Jikomboe SACCOS katika halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamenusurika kupigana baada ya kuhitilafiana juu ya kuendelea ama kutoendelea kufanyika kwa mkutano maalumu uliolenga kujadili ubadhilifu wa zaidi ya shilingi milioni 300 unaodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wa chama hicho. Wanachama hao ambao ni watumishi chini ya Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo wameingia katika mzozo huo baada ya katazo la kutofanyika kwa mkutano huo...
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Nataka tiketi ya kupigana Marekani- Matumla Jr
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Sasa Japan inaweza kupigana nje
10 years ago
Mtanzania05 May
Baba amtaka Mayweather kupigana na Amir Khan
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia Floyd Mayweather kuchukua ubingwa wa pambano la masumbwi dhidi ya Manny Pacquiao Mei 3 mwaka huu, baba wa bondia huyo amemtaka mwanawe kupigana na Amir Khan katika pambano lake la mwisho.
Mayweather amesisitiza kuwa Septemba mwaka huu anatarajia kustaafu ngumi, hivyo anahitaji pambano moja la mwisho ili kuweza kuachana na mchezo huo, ambapo baba yake anaona bora mwanawe apigane na Amir Khan.
Baba wa Mayweather anaamini kuwa Amir Khan hana uwezo mkubwa wa...