Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fahali avutishwa bangi kupigana

Fahari aliyepewa jina la Messi alimcharaza mpinzani wake Simba na kudhirihisha ubabe wake. Fahari huyo alipewa jina hilo la utani la Messi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Manny Paqcuiao na Mayweather kupigana

Pigano ambalo limesubiriwa kwa miaka linatarajiwa kuanza katika mji wa Las vegas nchini marekani muda mfupi unaokuja,

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi Sudan K. yajipanga kupigana

Majeshi ya Sudan Kusini yanajiandaa kupambana na waasi katika mji wa Bor, Rais Salva Kiir amesema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pacquiao kupigana mara ya mwisho

Bondia raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa akastaafu katika ulingo wa ndondi baada ya pigano moja mwaka ujao.

 

10 years ago

Mtanzania

Amir Khan kupigana na Manny Pacquiao

Pacquiao na KhanLAS VEGAS, MAREKANI

BAADA ya bondia, Floyd Mayweather, kuachana na pambano la Amir Khan na kumchagua Andre Berto, Khan ameamua kuomba pambano dhidi ya Manny Pacquiao.

Mayweather anatarajia kupigana pambano lake la mwisho Septemba 12 mwaka huu dhidi ya Berto, awali Khan alimuomba Mayweather kupambana katika pambano hilo lakini Mayweather aliamua kumchagua Berto.

Kutokana na hali hiyo, Khan anatarajia kupambana na Pacquiao mwanzoni mwa mwaka 2016.

Mwandaaji wa pambano hilo ambaye ni wakala wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Japan sasa kupigana nje

Bunge la uwakilishi la Japan,limeidhinisha sheria ya usalama inayoliruhusu jeshi la nchi hiyo kupigana katika mataifa ya kigeni

 

9 years ago

StarTV

Wanachama SACCOS Kigoma wanusurika kupigana

Wanachama wa Chama cha Ushirika cha Jikomboe SACCOS katika halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamenusurika kupigana baada ya kuhitilafiana juu ya kuendelea ama kutoendelea kufanyika kwa mkutano maalumu uliolenga kujadili ubadhilifu wa zaidi ya shilingi milioni 300 unaodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wa chama hicho. Wanachama hao ambao ni watumishi chini ya Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo wameingia katika mzozo huo baada ya katazo la kutofanyika kwa mkutano huo...

 

10 years ago

Mwananchi

Nataka tiketi ya kupigana Marekani- Matumla Jr

Bondia Mohamed Matumla Junior atapanda ulingoni leo kumvaa Mchina, Wang Xiu Hua katika pambano la kuwania ubingwa wa Super Bantam wa WBF Eliminator kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sasa Japan inaweza kupigana nje

China imeilaumu Japan kwa kupitisha sheria ambazo zitairuhusu kupeleka jeshi lake kupigana vita nchi za ngambo

 

10 years ago

Mtanzania

Baba amtaka Mayweather kupigana na Amir Khan

Floyd Mayweather Jr., Robert GuerreroLAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia Floyd Mayweather kuchukua ubingwa wa pambano la masumbwi dhidi ya Manny Pacquiao Mei 3 mwaka huu, baba wa bondia huyo amemtaka mwanawe kupigana na Amir Khan katika pambano lake la mwisho.
Mayweather amesisitiza kuwa Septemba mwaka huu anatarajia kustaafu ngumi, hivyo anahitaji pambano moja la mwisho ili kuweza kuachana na mchezo huo, ambapo baba yake anaona bora mwanawe apigane na Amir Khan.
Baba wa Mayweather anaamini kuwa Amir Khan hana uwezo mkubwa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani